< Псалтирь 6 >

1 Начальнику хора. На восьмиструнном. Псалом Давида. Господи! не в ярости Твоей обличай меня и не во гневе Твоем наказывай меня.
Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za muziki. Mtindo wa sheminithi. Zaburi ya Daudi. Ee Bwana, usinikemee katika hasira yako, wala usiniadhibu katika ghadhabu yako.
2 Помилуй меня, Господи, ибо я немощен; исцели меня, Господи, ибо кости мои потрясены;
Unirehemu Bwana, kwa maana nimedhoofika; Ee Bwana, uniponye, kwa maana mifupa yangu ina maumivu makali.
3 и душа моя сильно потрясена; Ты же, Господи, доколе?
Nafsi yangu ina uchungu mwingi. Mpaka lini, Ee Bwana, mpaka lini?
4 Обратись, Господи, избавь душу мою, спаси меня ради милости Твоей,
Geuka Ee Bwana, unikomboe, uniokoe kwa sababu ya fadhili zako.
5 ибо в смерти нет памятования о Тебе: во гробе кто будет славить Тебя? (Sheol h7585)
Hakuna mtu anayekukumbuka akiwa amekufa. Ni nani awezaye kukusifu akiwa kuzimu? (Sheol h7585)
6 Утомлен я воздыханиями моими: каждую ночь омываю ложе мое, слезами моими омочаю постель мою.
Nimechakaa kwa kulia kwa huzuni; usiku kucha nafurikisha kitanda changu kwa machozi; nimelowesha viti vyangu vya fahari kwa machozi.
7 Иссохло от печали око мое, обветшало от всех врагов моих.
Macho yangu yamedhoofika kwa kuhuzunika, yamedhoofika kwa sababu ya adui zangu wote.
8 Удалитесь от меня все, делающие беззаконие, ибо услышал Господь голос плача моего,
Kaeni mbali nami, ninyi nyote mtendao mabaya, kwa maana Bwana amesikia kulia kwangu.
9 услышал Господь моление мое; Господь примет молитву мою.
Bwana amesikia kilio changu kwa huruma, Bwana amekubali sala yangu.
10 Да будут постыжены и жестоко поражены все враги мои; да возвратятся и постыдятся мгновенно.
Adui zangu wote wataaibika na kufadhaika, watarudi nyuma kwa aibu ya ghafula.

< Псалтирь 6 >