< Псалтирь 49 >

1 Начальнику хора. Сынов Кореевых. Псалом. Слушайте сие, все народы; внимайте сему, все живущие во вселенной, -
Sikieni hili, ninyi watu wote; tegeni masikio, ninyi wenyeji wa dunia,
2 и простые и знатные, богатый, равно как бедный.
wote walio chini na walio juu, tajiri na masikini wote pamoja.
3 Уста мои изрекут премудрость, и размышления сердца моего - знание.
Mdomo wangu utazungumza hekima na tafakari ya moyo wangu itakuwa ya uelewa.
4 Приклоню ухо мое к притче, на гуслях открою загадку мою:
Nitaelekeza sikio langu kwenye mfano; nitaanza mfano wangu kwa kinubi.
5 “для чего бояться мне во дни бедствия, когда беззаконие путей моих окружит меня?”
Kwa nini nilazimike kuziogopa siku za uovu, wakati uovu umenizunguka kwenye visigino vyangu?
6 Надеющиеся на силы свои и хвалящиеся множеством богатства своего!
Kwa nini niwaogope wale wanao amini katika mali zao na kujivuna kuhusu utajiri wao?
7 человек никак не искупит брата своего и не даст Богу выкупа за него:
Ni hakika kuwa hakuna yeyote atakaye muokoa ndugu yake au kumpa Mungu pesa kwa ajili yake,
8 дорога цена искупления души их, и не будет того вовек,
Kwa maana ukombozi wa uhai wa mtu ni gharama kubwa, na hakuna awezaye kulipa kile tunacho daiwa.
9 чтобы остался кто жить навсегда и не увидел могилы.
Hakuna yeyote atakaye ishi milele ili mwili wake usioze.
10 Каждый видит, что и мудрые умирают, равно как и невежды и бессмысленные погибают и оставляют имущество свое другим.
Maana yeye ataona uozo. Watu wenye hekima hufa; wajinga pia huangamia na kuacha mali zao kwa wengine.
11 В мыслях у них, что домы их вечны, и что жилища их в род и род, и земли свои они называют своими именами.
Mawazo yao ya ndani ni kuwa familia zao zitaishi milele, na mahali waishipo, kwa vizazi vyote; wanaita ardhi zao kwa majina yao wenyewe.
12 Но человек в чести не пребудет; он уподобится животным, которые погибают.
Lakini mtu, kuwa na mali, haimaanishi atabaki hai; kama wanyama walioangamia.
13 Этот путь их есть безумие их, хотя последующие за ними одобряют мнение их.
Hii ni hatma ya wafanyao ujinga baada ya kufa, .................
14 Как овец, заключат их в преисподнюю; смерть будет пасти их, и наутро праведники будут владычествовать над ними; сила их истощится; могила - жилище их. (Sheol h7585)
Kama kondoo wamechaguliwa kwa ajili ya kuzimu na kifo kitakuwa mchungaji wao. Nao watatawaliwa na wenye haki ifikapo asubuhi, na miili yao italiwa kuzimuni, wakiwa hawana afasi ya kuishi kwa ajili yao. (Sheol h7585)
15 Но Бог избавит душу мою от власти преисподней, когда примет меня. (Sheol h7585)
Bali Mungu ataufufua uhai wangu kutoka katika nguvu ya kuzimu; naye atanipokea. (Selah) (Sheol h7585)
16 Не бойся, когда богатеет человек, когда слава дома его умножается:
Msifadhaike mtu awapo tajiri, utukufu wa nyumba yake uongezekapo.
17 ибо умирая не возьмет ничего; не пойдет за ним слава его;
Maana atakapo kufa hataondoka na chochote; utukufu wake hautamfuata yeye.
18 хотя при жизни он ублажает душу свою, и прославляют тебя, что ты удовлетворяешь себе,
Yeye huifurahisha nafsi yake awapo hai na watu hukusifu wewe uishipo maisha yako mwenyewe-
19 но он пойдет к роду отцов своих, которые никогда не увидят света.
naye atakwenda kwenye ukoo wa baba zake naye kamwe hataiona nuru tena.
20 Человек, который в чести и неразумен, подобен животным, которые погибают.
Yule ambaye ana mali lakini hana ufahamu ni kama wanyama, ambao wataangamia.

< Псалтирь 49 >