< Псалтирь 36 >

1 Начальнику хора. Раба Господня Давида. Нечестие беззаконного говорит в сердце моем: нет страха Божия пред глазами его,
Dhambi hunena kama unabii katika moyo wa mwovu; machoni mwake hamna hofu ya Mungu.
2 ибо он льстит себе в глазах своих, будто отыскивает беззаконие свое, чтобы возненавидеть его;
Kwa maana yeye hujifariji mwenyewe, akifikiria kuwa dhambi zake hazitagundulika na kuchukiwa.
3 слова уст его - неправда и лукавство; не хочет он вразумиться, чтобы делать добро;
Maneno yake ni yenye dhambi na udanganyifu; hataki kuwa mwenye hekima na kutenda mema.
4 на ложе своем замышляет беззаконие, становится на путь недобрый, не гнушается злом.
Alalapo kitandani, hupanga namna ya kutenda dhambi; yeye hukaa nje kwenye nja ya uovu; yeye hakatai uovu.
5 Господи! милость Твоя до небес, истина Твоя до облаков!
Uaminifu wa agano lako, Yahwe, unafika mbinguni; uaminifu wako unafika mawinguni.
6 Правда Твоя, как горы Божии, и судьбы Твои - бездна великая! Человеков и скотов хранишь Ты, Господи!
Haki yako ni kama milima ya Mungu; hukumu yako ni kama kina kirefu. Yahwe, wewe huwahifadhi wote wanadamu na wanyama.
7 Как драгоценна милость Твоя, Боже! Сыны человеческие в тени крыл Твоих покойны:
Ni jinsi gani uaminifu wa aganao lako ni wa thamani, Mungu! Watu hukimbilia usalama chini ya uvuli wa mbawa zako.
8 насыщаются от тука дома Твоего, и из потока сладостей Твоих Ты напояешь их,
Nao watatoshelezwa tele na utajiri wa chakula nyumbani mwako; utawafanya wanywe kutoka katika mto wa baraka zako za thamani.
9 ибо у Тебя источник жизни; во свете Твоем мы видим свет.
Kwa kuwa mna chemichemi ya uzima; na katika mwanga wako tutaiona nuru.
10 Продли милость Твою к знающим Тебя и правду Твою к правым сердцем,
Uupanue uaminifu wa agano lako kikamilifu kwa wale wanao kujua wewe, ulinzi wako uwe juu ya wanyoofu wa moyo.
11 да не наступит на меня нога гордыни, и рука грешника да не изгонит меня:
Usiuache mguu wa mwenye kiburi unisogelee. Usiiache mkono wa mwovu unitoweshe.
12 там пали делающие беззаконие, низринуты и не могут встать.
Kule wafanyao maovu wameanguka; wameharibiwa hawawezi kuinuka.

< Псалтирь 36 >