< Псалтирь 25 >

1 Псалом Давида. К Тебе, Господи, возношу душу мою.
Kwako, Yahwe, nayainua maisha yangu!
2 Боже мой! на Тебя уповаю, да не постыжусь, да не восторжествуют надо мною враги мои,
Mungu wangu, ninaamini katika wewe. Usiniache niaibishwe; usiwaache maadui zangu wafurahie ushindi wao kwangu.
3 да не постыдятся и все надеющиеся на Тебя: да постыдятся беззаконнующие втуне.
Asiaibishwe mtu yeyote anaye kutumaini bali waaibishwe wale watendao hila bila sababu!
4 Укажи мне, Господи, пути Твои и научи меня стезям Твоим.
Unijulishe njia zako, Yahwe; unifundishe njia zako.
5 Направь меня на истину Твою и научи меня, ибо Ты Бог спасения моего; на Тебя надеюсь всякий день.
Uniongoze kwenye kweli yako na unifundishe, kwa kuwa wewe ni Mungu wa wokovu wangu; ninakutumainia wewe siku zote za maisha yangu.
6 Вспомни щедроты Твои, Господи, и милости Твои, ибо они от века.
Kumbuka, Yahwe, matendo yako ya huruma na uaminifu wa agano lako; kwa kuwa vimekuwapo siku zote.
7 Грехов юности моей и преступлений моих не вспоминай; по милости Твоей вспомни меня Ты, ради благости Твоей, Господи!
Usizikumbuke dhambi za ujana wangu wala uasi wangu; Uniweke akilini mwako pamoja na uaminifu wa agano kwa zababu ya uzuri wa wako, Yahwe!
8 Благ и праведен Господь, посему наставляет грешников на путь,
Yahwe ni mzuri na mwenye haki; kwa hiyo yeye huwafundisha njia mwenye dhambi.
9 направляет кротких к правде, и научает кротких путям Своим.
Yeye huwaelekeza wanyenyekevu kwa kile kilicho sahihi na yeye huwafundisha wao njia yake.
10 Все пути Господни - милость и истина к хранящим завет Его и откровения Его.
Njia zote za Yahwe ni za upendo wa kudumu na niaminifu kwa wote wanao tunza agano na maagizo ya amri zake.
11 Ради имени Твоего, Господи, прости согрешение мое, ибо велико оно.
Kwa ajili ya jina lako, Yahwe, unisamehe dhambi zangu, kwa kuwa ni nyingi mno.
12 Кто есть человек, боящийся Господа? Ему укажет Он путь, который избрать.
Ni nani ambaye anamuogopa Yahwe? Bwana atamfundisha yeye katika njia ambayo anapaswa kuichagua.
13 Душа его пребудет во благе, и семя его наследует землю.
Maisha yake yataenenda katika uzuri; na uzao wake utairithi nchi.
14 Тайна Господня - боящимся Его, и завет Свой Он открывает им.
Urafiki wa Yahwe ni kwa ajili ya wale wanao mheshimu yeye, naye hulifanya agano lake lijulikane kwao.
15 Очи мои всегда к Господу, ибо Он извлекает из сети ноги мои.
Siku zote macho yangu yanamtazama Yahwe, kwa kuwa yeye ataifungua miguu yangu kwenye nyavu.
16 Призри на меня и помилуй меня, ибо я одинок и угнетен.
Unigeukie mimi na unihurumie; kwa maana niko peke yangu na niliye matesoni.
17 Скорби сердца моего умножились; выведи меня из бед моих,
Maumivu ya moyo wangu yameongezeka; uniondoe katika dhiki hii!
18 призри на страдание мое и на изнеможение мое и прости все грехи мои.
Tazama mateso yangu na taabu yangu; unisamehe dhambi zangu zote.
19 Посмотри на врагов моих, как много их, и какою лютою ненавистью они ненавидят меня.
Ona maadui zangu, kwa maana ni wengi; wananichukia kwa chuki ya kikatili.
20 Сохрани душу мою и избавь меня, да не постыжусь, что я на Тебя уповаю.
Uyalinde maisha yangu na uniokoe; usiniache niaibishwe, Kwa kuwa kwako nakimbilia usalama!
21 Непорочность и правота да охраняют меня, ибо я на Тебя надеюсь.
Uadilifu na unyofu vinihifadhi, kwa kuwa nina kutumainia wewe.
22 Избавь, Боже, Израиля от всех скорбей его.
Mungu, uiokoe Israeli, na shida yake yote!

< Псалтирь 25 >