< Псалтирь 20 >

1 Начальнику хора. Псалом Давида. Да услышит тебя Господь в день печали, да защитит тебя имя Бога Иаковлева.
Kwa kiongozi wa muziki. Zaburi ya Daudi. Mungu akusaidie wakati wa shida; na jina la Mungu wa Yakobo likulinde
2 Да пошлет тебе помощь из Святилища и с Сиона да подкрепит тебя.
na kutuma msaada kutoka mahali patakatifu kwa ajili ya kukutegemeza wewe kutoka Sayuni.
3 Да воспомянет все жертвоприношения твои и всесожжение твое да соделает тучным.
Naye akumbuke sadaka yako yote na kuipokea sadaka ya kuteketezwa.
4 Да даст тебе по сердцу твоему и все намерения твои да исполнит.
Naye akujalie haja za moyo wako na kutimiza mipango yako yote.
5 Мы возрадуемся о спасении твоем и во имя Бога нашего поднимем знамя. Да исполнит Господь все прошения твои.
Ndipo tutakapo shangilia katika ushindi wako, na, katika jina la Mungu wetu, tutapeperusha bendera. Yahwe naakupe maombi yako yote ya haki.
6 Ныне познал я, что Господь спасает помазанника Своего, отвечает ему со святых небес Своих могуществом спасающей десницы Своей.
Sasa ninajua ya kuwa Yahwe atawaokoa wapakwa mafuta wake; yeye atamjibu yeye kutoka katika mbingu takatifu kwa uweza wa mkono wake wa kuume ambao waweza kumuokoa yeye.
7 Иные колесницами, иные конями, а мы именем Господа Бога нашего хвалимся:
Baadhi hamini katika magari na wengine katika farasi, lakini sisi tumuita Yahwe Mungu wetu.
8 они поколебались и пали, а мы встали и стоим прямо.
Wao watashushwa chini na kuanguka, bali sisi tutainuka na kusimama wima!
9 Господи! спаси царя и услышь нас, когда будем взывать к Тебе
Yahwe, umuokoe mfalme; utusaidie sisi tukuitapo.

< Псалтирь 20 >