< Псалтирь 19 >

1 Начальнику хора. Псалом Давида. Небеса проповедуют славу Божию, и о делах рук Его вещает твердь.
Kwa kiongozi wa muziki. Zaburi ya Daudi. Mbingu za tangaza utukufu wa Mungu, na mawingu hufanya kazi ya mikono yake ijulikane!
2 День дню передает речь, и ночь ночи открывает знание.
Siku hadi siku hotuba hutokea; usiku hadi usiku hufunua maarifa.
3 Нет языка, и нет наречия, где не слышался бы голос их.
Hakuna hotuba wala misemo; sauti zao hazisikiki.
4 По всей земле проходит звук их, и до пределов вселенной слова их. Он поставил в них жилище солнцу,
Bali maneno yao husambaa nje duniani kote, na hotuba zao hata mwisho wa dunia. Yeye ametengeneza hema kwa ajili ya jua kati yao.
5 и оно выходит, как жених из брачного чертога своего, радуется, как исполин, пробежать поприще:
Jua liko kama mfano wa bwana harusi akitokea chumbani kwake na kama mtu shujaa ambaye hushangila pale anapokimbia mbio zake.
6 от края небес исход его, и шествие его до края их, и ничто не укрыто от теплоты его.
Jua huchomoza kutokea upeo wa macho na likikatisha winguni kwenda jingine; hakuna chochote kinacho epuka joto lake.
7 Закон Господа совершен, укрепляет душу; откровение Господа верно, умудряет простых.
Sheria ya Yahwe ni kamilifu, huokoa roho; ushuhuda wa Yahwe ni wa kuaminika, ukifanya hekima nyepesi.
8 Повеления Господа праведны, веселят сердце; заповедь Господа светла, просвещает очи.
Maelekezo ya Yahwe ni ya hakika, yakiufanya moyo kuwa na furaha; amri ya Yahwe ni safi, ikileta mwanga kwenye macho yetu.
9 Страх Господень чист, пребывает вовек. Суды Господни истина, все праведны;
Hofu ya Yahwe ni safi, inadumu milele; amri za haki ya Yahwe ni za kweli na zote ni za hakika!
10 они вожделеннее золота и даже множества золота чистого, слаще меда и капель сота;
Nazo zina thamani kuliko dhahabu, nazo ni tamu kuliko asali na matone ya asali kutoka sega la asali (sega la nyuki).
11 и раб Твой охраняется ими, в соблюдении их великая награда.
Ndiyo, kupitia hizo mtumishi wako anaonywa; na katika kuziamini kuna thawabu.
12 Кто усмотрит погрешности свои? От тайных моих очисти меня
Ni nani ambaye aweza kuyatambua makosa yake yote mwenyewe? Unitakase makosa yaliyo fichika.
13 и от умышленных удержи раба Твоего, чтобы не возобладали мною. Тогда я буду непорочен и чист от великого развращения.
Pia umuepushe mtumishi wako na dhambi za majivuno; usiziruhusu kunitawala. Ndipo nitakuwa mkamilifu, na mimi sitakuwa na hatia ya makosa mengi.
14 Да будут слова уст моих и помышление сердца моего благоугодны пред Тобою, Господи, твердыня моя и Избавитель мой!
Maneno ya midomo yangu na mawazo ya moyo wangu nayakubalike machoni pako, ewe Yahwe, mwamba wangu na mkombozi wangu.

< Псалтирь 19 >