< Псалтирь 18 >

1 Начальнику хора. Раба Господня Давида, который произнес слова песни сей к Господу, когда Господь избавил его от рук всех врагов его и от руки Саула. И он сказал: Возлюблю тебя, Господи, крепость моя!
Nakupenda, Yahwe, nguvu yangu.
2 Господь - твердыня моя и прибежище мое, Избавитель мой, Бог мой, скала моя; на Него я уповаю; щит мой, рог спасения моего и убежище мое.
Yahwe ni mwamba wangu, ngome yangu, yeye ambaye aniwekae kweye usalama; yeye ni Mungu wangu, mwamba wangu; ninapata kimbilio kwake. Yeye ni ngao yangu, pembe ya wokovu wangu, na ngome yangu.
3 Призову достопоклоняемого Господа и от врагов моих спасусь.
Nitamuita Yahwe kwa sababu anastahili kusifiwa, na nitaokolewa kutoka kwa adui zangu.
4 Объяли меня муки смертные, и потоки беззакония устрашили меня;
Kamba za mauti zilinizunguka, na mafuriko yakimbiayo yalinielemea.
5 цепи ада облегли меня, и сети смерти опутали меня. (Sheol h7585)
Kamba za kuzimu zilinizunguka; mitego ya mauti ilininasa. (Sheol h7585)
6 В тесноте моей я призвал Господа и к Богу моему воззвал. И Он услышал от чертога Своего голос мой, и вопль мой дошел до слуха Его.
dhiki yangu nilimuita Yahwe; Niliita msaada kwa Mungu. Naye alisikia sauti yangu kutoka hekaluni mwake; kuita kwangu msaada kulienda mpaka uweponi mwake; na kuingia masikioni pake.
7 Потряслась и всколебалась земля, дрогнули и подвиглись основания гор, ибо разгневался Бог;
Kisha nchi ikatikisika na kutetemeka; misingi ya milima pia ilitetemeka na kutikiswa kwa sababu Mungu alikuwa amekasirika.
8 поднялся дым от гнева Его и из уст Его огонь поядающий; горячие угли сыпались от Него.
Moshi ulifuka kutoka kwenye pua zake, na moto mkali ulitokea mdomoni mwake. Makaa yaliwashwa kwa moto huo.
9 Наклонил Он небеса и сошел, - и мрак под ногами Его.
Yeye alizifunua mbingu na alishuka chini, na giza nene lilikuwa chini ya miguu yake.
10 И воссел на херувимов и полетел, и понесся на крыльях ветра.
Alipanda kwenye kerubi na akaruka; alinyiririka kwenye mabawa ya upepo.
11 И мрак сделал покровом Своим, сению вокруг Себя мрак вод, облаков воздушных.
Yahwe alilifanya giza kuwa hema likimzunguka yeye, wingu la mvua zito katika mbingu.
12 От блистания пред Ним бежали облака Его, град и угли огненные.
Mawe ya barafu na makaa ya moto yalianguka kutoka katika mwangaza kabla yake.
13 Возгремел на небесах Господь, и Всевышний дал глас Свой, град и угли огненные.
Yahwe aliongea katika mbingu! Sauti ya aliye juu ilisikika.
14 Пустил стрелы Свои и рассеял их, множество молний, и рассыпал их.
Yeye aliifyatua mishale yake na kuwatawanya adui zake; na radi nyingi zenye mwanga alizitawanya katika maeneo tofauti tofauti.
15 И явились источники вод, и открылись основания вселенной от грозного гласа Твоего, Господи, от дуновения духа гнева Твоего.
Ndipo mifereji ya maji ilitokea; misingi ya dunia ikadhihirishwa kwa mlio wa pigo lako, Yahwe kwa sauti ya pumzi ya pua zako.
16 Он простер руку с высоты и взял меня, и извлек меня из вод многих;
Yeye alishuka chini kutokea juu; akanishikilia mimi! Akanivuta nje ya maji yafurikayo.
17 избавил меня от врага моего сильного и от ненавидящих меня, которые были сильнее меня.
Aliniokoa kutoka kwa maadui zangu wenye nguvu, kutoka kwa wale ambao walinichukia mimi, kwa kuwa walikuwa na nguvu sana kuliko mimi.
18 Они восстали на меня в день бедствия моего, но Господь был мне опорою.
Wao walikuja kinyume na mimi katika siku ile ya dhiki yangu lakini Mungu alikuwa msaada wangu!
19 Он вывел меня на пространное место и избавил меня, ибо Он благоволит ко мне.
Yeye aliniweka huru katika eneo pana la wazi; yeye aliniokoa kwa sababu alipenezwa nami.
20 Воздал мне Господь по правде моей, по чистоте рук моих вознаградил меня,
Yahwe amenitunuku mimi kwa sababu ya haki yangu; yeye amenirejesha mimi kwa sababu mikono yangu ilikuwa misafi.
21 ибо я хранил пути Господни и не был нечестивым пред Богом моим;
Kwa kuwa nimezitunza njia za Yahwe na sijafanya uovu wa kumgeuka Mungu wangu.
22 ибо все заповеди Его предо мною, и от уставов Его я не отступал.
Kwa kuwa amri zake zote za haki zimekuwa mbele yangu; kama asemavyo, sijaenda kinyume nazo.
23 Я был непорочен пред Ним и остерегался, чтобы не согрешить мне;
Pia nimekuwa sina hatia mbele zake, na nimejiweka mwenyewe mbali na dhambi.
24 и воздал мне Господь по правде моей, по чистоте рук моих пред очами Его.
Hivyo Yahwe amenirejesha kwa sababu ya haki yangu, na kwa sababu mikono yangu ilikuwa safi mbele ya macho yake.
25 С милостивым Ты поступаешь милостиво, с мужем искренним - искренно,
Kwa yeyote aliye mwaminifu, jionyeshe wenyewe kuwa mwaminifu; kwa mtu asiye na lawama, jionyeshe mwenyewe kuwa usiye na lawama.
26 с чистым - чисто, а с лукавым - по лукавству его,
Kwa yeyote aliye msafi, jionyeshe mwenyewe safi; bali ni mjanja kwa yeyote aliye geuzwa.
27 ибо Ты людей угнетенных спасаешь, а очи надменные унижаешь.
Kwa kuwa wewe huwaokoa watu walio taabishwa, lakini wewe huwashusha chini wale wenye majivuno, yaani macho yaliyo jinua!
28 Ты возжигаешь светильник мой, Господи; Бог мой просвещает тьму мою.
Kwa kuwa wewe huipa mwanga taa yangu; Yahwe Mungu wangu hutia mwanga giza langu.
29 С Тобою я поражаю войско, с Богом моим восхожу на стену.
Kwa kuwa kwa kupitia wewe ninaweza kuruka juu ya kiwazo kilichowekwa; kupitia Mungu ninaweza kuruka juu ya ukuta.
30 Бог! - Непорочен путь Его, чисто слово Господа; щит Он для всех, уповающих на Него.
Kama kwa Mungu: njia yake ni kamilifu. Neno la Yahwe ni safi! Yeye ni ngao kwa yeyote anaye kimbilia katika yeye.
31 Ибо кто Бог, кроме Господа, и кто защита, кроме Бога нашего?
Kwa kuwa nani ni Mungu ispokuwa Yahwe? Nani ndiye mwamba ispokuwa Mungu wetu?
32 Бог препоясывает меня силою и устрояет мне верный путь;
Ni Mungu anitiaye nguvu ndani yangu kama vile mkanda, ambaye humweka mtu mwenye lawama katika njia yake.
33 делает ноги мои, как оленьи, и на высотах моих поставляет меня;
Yeye hunifanya miguu yangu kuwa myepesi kama mbawala na kuniweka mahali pa juu!
34 научает руки мои брани, и мышцы мои сокрушают медный лук.
Yeye hufunza viganja vyangu kwa ajili ya vita na mikono yangu kupiga upinde wa shaba.
35 Ты дал мне щит спасения Твоего, и десница Твоя поддерживает меня, и милость Твоя возвеличивает меня.
Wewe umenipa mimi ngao ya wokovu. Mkono wako wa kuume umenisaidia, na neema yako imenifanya kuwa mkubwa.
36 Ты расширяешь шаг мой подо мною, и не колеблются ноги мои.
Wewe umetengeneza nafasi pana kwa ajili ya miguu yangu ili miguu yangu isiteleze.
37 Я преследую врагов моих и настигаю их, и не возвращаюсь, доколе не истреблю их;
Ninawashawishi adui zangu na kuwakamata; nami sikurudi nyuma mpaka walipo haribiwa.
38 поражаю их, и они не могут встать, падают под ноги мои,
Niliwashambulia hata hawakuweza kuamka; nao wameangukia chini ya miguu yangu.
39 ибо Ты препоясал меня силою для войны и низложил под ноги мои восставших на меня;
Kwa kuwa unanitia nguvu kama mshipi kwa ajili ya vita; wewe unawaweka chini yangu wale ambao wanainuka kinyume na mimi.
40 Ты обратил ко мне тыл врагов моих, и я истребляю ненавидящих меня:
Wewe ulinipa visogo vya maadui zangu; niliwaagamiza wale walio nichukia.
41 они вопиют, но нет спасающего; ко Господу, - но Он не внемлет им;
Wao waliita msaada lakini hakuna aliye wasaidia; walimuita Yahwe, lakini hakuwaitikia.
42 я рассеваю их, как прах пред лицем ветра, как уличную грязь попираю их.
Niliwapiga wao katika vipande vidogo vidogo kama vile vumbi mbele ya upepo; niliwatupa nje kama udongo mtaani.
43 Ты избавил меня от мятежа народа, поставил меня главою иноплеменников; народ, которого я не знал, служит мне;
Wewe uliniokoa mimi kutoka katika migogoro ya watu. wewe umenifanya kichwa juu ya mataifa. Watu ambao sikuwahi kuwafahamu huntumikia.
44 по одному слуху о мне повинуются мне; иноплеменники ласкательствуют предо мною;
Pindi tu waliposikia kuhusu mimi, wao walinitii; wageni walilazimishwa kunisujudu.
45 иноплеменники бледнеют и трепещут в укреплениях своих.
Wageni walitoka kwenye ngome yao wakitetemeka.
46 Жив Господь и благословен защитник мой! Да будет превознесен Бог спасения моего,
Yahwe anaishi; mwamba wangu usifiwe. Ainuliwe Mungu wa wokovu wangu.
47 Бог, мстящий за меня и покоряющий мне народы,
Yeye ni Mungu ambaye hutelekeza visasi kwa ajili yangu, ambaye huwatiisha mataifa chini yangu.
48 и избавляющий меня от врагов моих! Ты вознес меня над восстающими против меня и от человека жестокого избавил меня.
Nimewekwa huru kutoka kwa adui zangu! wewe uliniinua juu ya wale walioinuka kunyume na mimi! Wewe uliniokoa kutoka kwa watu wenye vurugu.
49 За то буду славить Тебя, Господи, между иноплеменниками и буду петь имени Твоему,
Kwa hiyo nitakushukuru wewe, Yahwe, kati ya mataifa; Nitaliimbia sifa jina lako!
50 величественно спасающий царя и творящий милость помазаннику Твоему Давиду и потомству его во веки.
Mungu hutoa ushindi mkuu kwa mfalme wake, na yeye huonyesha uaminifu wa agano lake kwa mpakwa mafuta wake, kwa Daudi na ukoo wake milele.

< Псалтирь 18 >