< Псалтирь 13 >

1 Начальнику хора. Псалом Давида. Доколе, Господи, будешь забывать меня вконец, доколе будешь скрывать лице Твое от меня?
Mpaka lini, Yahweh, utaendelea kunisahau? Ni kwa muda gani utauficha uso wako nisiuone?
2 Доколе мне слагать советы в душе моей, скорбь в сердце моем день и ночь? Доколе врагу моему возноситься надо мною?
Ni kwa muda gani nitalazimika kuhofu na kuhuzunika moyoni mwangu kila siku? Ni kwa muda gani adui zangu watanishida?
3 Призри, услышь меня, Господи Боже мой! Просвети очи мои, да не усну я сном смертным;
Unitazame na unijibu, Yahwe Mungu wangu! Nipe mwanga machoni pangu, vinginevyo nitalala katika mauti.
4 да не скажет враг мой: “я одолел его”. Да не возрадуются гонители мои, если я поколеблюсь.
Usimuache adui yangu aseme, “Nimemshinda huyu,” ili kwamba asiweze kusema, “Nimemtawala adui yangu;” la sivyo, maadui zangu watafurahia nitakapo shushwa chini.
5 Я же уповаю на милость Твою; сердце мое возрадуется о спасении Твоем;
Lakini nimeamini katika uaminifu wa agano lako; moyo wangu wafurahia katika wokovu wako.
6 воспою Господу, облагодетельствовавшему меня.
Nitamuimbia Yahwe kwa kuwa ameniganga kwa ukarimu kabisa.

< Псалтирь 13 >