< Псалтирь 116 >

1 Аллилуия. Я радуюсь, что Господь услышал голос мой, моление мое;
Ninampenda Bwana kwa maana amesikia sauti yangu; amesikia kilio changu ili anihurumie.
2 приклонил ко мне ухо Свое, и потому буду призывать Его во все дни мои.
Kwa sababu amenitegea sikio lake, nitamwita siku zote za maisha yangu.
3 Объяли меня болезни смертные, муки адские постигли меня; я встретил тесноту и скорбь. (Sheol h7585)
Kamba za mauti zilinizunguka, maumivu makuu ya kuzimu yalinipata, nikalemewa na taabu na huzuni. (Sheol h7585)
4 Тогда призвал я имя Господне: Господи! избавь душу мою.
Ndipo nikaliitia jina la Bwana: “Ee Bwana, niokoe!”
5 Милостив Господь и праведен, и милосерд Бог наш.
Bwana ni mwenye neema na haki, Mungu wetu ni mwingi wa huruma.
6 Хранит Господь простодушных: я изнемог, и Он помог мне.
Bwana huwalinda wanyenyekevu, nilipokuwa katika shida kubwa, aliniokoa.
7 Возвратись, душа моя, в покой твой, ибо Господь облагодетельствовал тебя.
Ee nafsi yangu, tulia tena, kwa kuwa Bwana amekuwa mwema kwako.
8 Ты избавил душу мою от смерти, очи мои от слез и ноги мои от преткновения.
Kwa kuwa wewe, Ee Bwana, umeniokoa nafsi yangu na mauti, macho yangu kutokana na machozi, miguu yangu kutokana na kujikwaa,
9 Буду ходить пред лицем Господним на земле живых.
ili niweze kutembea mbele za Bwana, katika nchi ya walio hai.
10 Аллилуия. Я веровал, и потому говорил: я сильно сокрушен.
Niliamini, kwa hiyo nilisema, “Mimi nimeteseka sana.”
11 Я сказал в опрометчивости моей: всякий человек ложь.
Katika taabu yangu nilisema, “Wanadamu wote ni waongo.”
12 Что воздам Господу за все благодеяния Его ко мне?
Nimrudishie Bwana nini kwa wema wake wote alionitendea?
13 Чашу спасения прииму и имя Господне призову.
Nitakiinua kikombe cha wokovu na kulitangaza jina la Bwana.
14 Обеты мои воздам Господу пред всем народом Его.
Nitazitimiza nadhiri zangu kwa Bwana mbele za watu wake wote.
15 Дорога в очах Господних смерть святых Его!
Kifo cha watakatifu kina thamani machoni pa Bwana.
16 О, Господи! я раб Твой, я раб Твой и сын рабы Твоей; Ты разрешил узы мои.
Ee Bwana, hakika mimi ni mtumishi wako, mimi ni mtumishi wako, mwana wa mjakazi wako; umeniweka huru toka katika minyororo yangu.
17 Тебе принесу жертву хвалы, и имя Господне призову.
Nitakutolea dhabihu ya kukushukuru na kuliita jina la Bwana.
18 Обеты мои воздам Господу пред всем народом Его,
Nitazitimiza nadhiri zangu kwa Bwana mbele za watu wake wote,
19 во дворах дома Господня, посреди тебя, Иерусалим! Аллилуия.
katika nyua za nyumba ya Bwana, katikati yako, ee Yerusalemu. Msifuni Bwana.

< Псалтирь 116 >