< Псалтирь 115 >

1 Не нам, Господи, не нам, но имени Твоему дай славу, ради милости Твоей, ради истины Твоей.
Sio kwetu, Yahwe, sio kwetu, bali kwa jina lako ulete heshima, kwa ajili ya uaminifu wa agano lako na uaminifu wako.
2 Для чего язычникам говорить: “где же Бог их”?
Kwa nini mataifa yalazimike kusema, “Yuko wapi Mungu wako?”
3 Бог наш на небесах и на земле; творит все, что хочет.
Mungu wetu aliye mbinguni; hufanya chochote apendacho.
4 А их идолы - серебро и золото, дело рук человеческих.
Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu, kazi ya mikono ya wanadamu.
5 Есть у них уста, но не говорят; есть у них глаза, но не видят;
Sanamu hizo zina vinywa, lakini haziongei; zina macho, lakini hazioni;
6 есть у них уши, но не слышат; есть у них ноздри, но не обоняют;
zina masikio, lakini hazisikii; zina pua lakini hazinusi.
7 есть у них руки, но не осязают; есть у них ноги, но не ходят; и они не издают голоса гортанью своею.
Sanamu hizo zina mikono, lakini hazishiki; zina miguu, lakini haziwezi kutembea; wala haziongei kutoka viywani mwao.
8 Подобны им да будут делающие их и все, надеющиеся на них.
Wale wanao zitengeneza wanafanana nazo, vile vile yeyote anaye amini katika hizo.
9 Дом Израилев! уповай на Господа: Он наша помощь и щит.
Israeli, amini katika Yahwe; yeye ni msaada wako na ngao yako.
10 Дом Ааронов! уповай на Господа: Он наша помощь и щит.
Nyumba ya Haruni, amini katika Yahwe; yeye ni msaada wako na ngao yako.
11 Боящиеся Господа! уповайте на Господа: Он наша помощь и щит.
Ninyi mnao mheshumu Yahwe, mwamini yeye; yeye ni msaada wenu na ngao yenu.
12 Господь помнит нас, благословляет нас, благословляет дом Израилев, благословляет дом Ааронов;
Yahwe hutukumbuka sisi na atatubariki; ataibariki familia ya Israeli; atabariki familia ya Haruni.
13 благословляет боящихся Господа, малых с великими.
Atawabariki wale wanao muheshimu yeye, wote vijana na wazee.
14 Да приложит вам Господь более и более, вам и детям вашим.
Yahwe na awaongeze ninyi zaidi na zaidi, ninyi pamoja na watoto wenu.
15 Благословенны вы Господом, сотворившим небо и землю.
Yahwe na awabariki, aliyeziumba mbingu na nchi.
16 Небо - небо Господу, а землю Он дал сынам человеческим.
Mbingu ni za Yahwe; lakini nchi amewapa wanadamu.
17 Ни мертвые восхвалят Господа, ни все нисходящие в могилу;
Wafu hawamsifu Yahwe, wala wote washukao chini kwenye ukimya;
18 но мы живые будем благословлять Господа отныне и вовек. Аллилуия
bali tutamtukuza Yahwe sasa na hata milele. Msifuni Yahwe.

< Псалтирь 115 >