< Псалтирь 113 >

1 Аллилуия. Хвалите, рабы Господни, хвалите имя Господне.
Msifuni Yahwe. Msifuni yeye, enyi watumishi wa Yahwe; lisifuni jina la Yahwe.
2 Да будет имя Господне благословенно отныне и вовек.
Litukuzwe jina la Yahwe, tangu sasa na hata milele.
3 От восхода солнца до запада да будет прославляемо имя Господне.
Toka maawio ya jua hata machweo yake, Jina la Yahwe lazima lisifiwe.
4 Высок над всеми народами Господь; над небесами слава Его.
Yahwe ameinuliwa juu ya mataifa yote, na utukufu wake wafika juu mbinguni.
5 Кто, как Господь, Бог наш, Который, обитая на высоте,
Ni nani aliye kama Yahwe Mungu wetu, aliye na kiti chake juu,
6 приклоняется, чтобы призирать на небо и на землю;
atazamaye chini angani na duniani?
7 из праха поднимает бедного, из брения возвышает нищего,
Humwinua maskini toka mavumbini na kumpandisha muhitaji kutoka jaani,
8 чтобы посадить его с князьями, с князьями народа его;
ili amketishe pamoja na wakuu, pamoja na wakuu wa watu wake.
9 неплодную вселяет в дом матерью, радующеюся о детях? Аллилуия!
Humpa watoto wanamke aliye tasa, humfanya yeye kuwa mama wa watoto mwenye furaha. Msifuni Yahwe!

< Псалтирь 113 >