< Псалтирь 111 >

1 Аллилуия. Славлю Тебя, Господи, всем сердцем моим в совете праведных и в собрании.
Msifuni Yahwe. Nitamshukuru Yahwe kwa moyo wangu wote katikati ya kusanyiko la wanye haki, na katika mkutano.
2 Велики дела Господни, вожделенны для всех, любящих оные.
Kazi za Yahwe ni kuu, zikisubiriwa na wale wazitamanio.
3 Дело Его - слава и красота, и правда Его пребывает вовек.
Kazi yake ni adhama na utukufu, na haki yake yadumu milele.
4 Памятными соделал Он чудеса Свои; милостив и щедр Господь.
Hufanya mambo makuu ambayo yatakumbukwa; Yahwe ni mwenye huruma na neema.
5 Пищу дает боящимся Его; вечно помнит завет Свой.
Huwapa chakula wafuasi wake waaminifu. Siku zote atalikumbuka agano lake.
6 Силу дел Своих явил Он народу Своему, чтобы дать ему наследие язычников.
Alionesha uweza wa kazi zake kwa watu wake kwa kuwapa urithi wa mataifa.
7 Дела рук Его - истина и суд; все заповеди Его верны,
Kazi za mikono yake ni za kuaminika na haki; maagizo yake yote ni ya kuaminika.
8 тверды на веки и веки, основаны на истине и правоте.
Yamethibitika milele, yamefanywa katika uaminifu na vizuri.
9 Избавление послал Он народу Своему; заповедал на веки завет Свой. Свято и страшно имя Его!
Aliwapa ushindi watu wake; aliliteuwa agano lake milele; jina lake ni takatifu na lakutisha.
10 Начало мудрости - страх Господень; разум верный у всех, исполняющих заповеди Его. Хвала Ему пребудет вовек
Kumcha Yahwe ni mwanzo wa hekima; wale washikao maagizo yake wana uelewa mzuri. Sifa yake yadumu milele.

< Псалтирь 111 >