< Притчи 13 >

1 Мудрый сын слушает наставление отца, а буйный не слушает обличения.
Mwana mwenye hekima husikia mafundisho ya baba yake, bali mwenye dhihaka hatasikiliza karipio.
2 От плода уст своих человек вкусит добро, душа же законопреступников - зло.
Mtu hufurahia vitu vizuri kutokana na matunda ya kinywa chake, bali hamu ya wadanganyifu ni jeuri.
3 Кто хранит уста свои, тот бережет душу свою; а кто широко раскрывает свой рот, тому беда.
Yeye anayelinda kinywa chake huyalinda maisha, bali anayefumbua sana midomo yake atajiangamiza mwenyewe.
4 Душа ленивого желает, но тщетно; а душа прилежных насытится.
Hamu ya watu wavivu ni uchu lakini hawapati kitu, bali hamu ya watu wenye bidii hutoshelezwa sana.
5 Праведник ненавидит ложное слово, а нечестивый срамит и бесчестит себя.
Atendaye haki huchukia uongo, bali mtu mwovu hukinzana mwenyewe, na kufanya ya kuaibisha.
6 Правда хранит непорочного в пути, а нечестие губит грешника.
Wenye haki huwalinda wale ambao ni wakamilifu katika mapito yao, bali uovu huwaangusha wale watendao dhambi.
7 Иной выдает себя за богатого, а у него ничего нет; другой выдает себя за бедного, а у него богатства много.
Kuna mtu ambaye hujitajirisha mwenyewe, lakini hana chochote na kuna mtu ambaye hutoa kila kitu, bado ni tajiri kweli.
8 Богатством своим человек выкупает жизнь свою, а бедный и угрозы не слышит.
Mtu tajiri anaweza kufidia maisha yake kwa mali zake, bali mtu masikini hatapokea kitisho cha aina hiyo.
9 Свет праведных весело горит, светильник же нечестивых угасает. Души коварные блуждают в грехах, а праведники сострадают и милуют.
Mwanga wa mtu atendaye haki hufurahia, bali taa ya waovu itazimika.
10 От высокомерия происходит раздор, а у советующихся - мудрость.
Kiburi huzaa mafarakano, bali kwa wale wasikiao shauri jema kuna hekima.
11 Богатство от суетности истощается, а собирающий трудами умножает его.
Penye majivuno mengi utajiri hufifia, bali yeye apataye pesa kwa kufanya kazi kwa mkono wake pesa zake zitaongezeka.
12 Надежда, долго не сбывающаяся, томит сердце, а исполнившееся желание - как древо жизни.
Tumaini linapoachwa, huvunja moyo, bali kukamilishwa kwa shauku ni mti wa uzima.
13 Кто пренебрегает словом, тот причиняет вред себе; а кто боится заповеди, тому воздается. У сына лукавого ничего нет доброго, а у разумного раба дела благоуспешны, и путь его прямой.
Yule ambaye anadharau fundisho bado atakuwa chini ya utawala wake, bali yeye ambaye anaheshimu amri atapewa thawabu.
14 Учение мудрого - источник жизни, удаляющий от сетей смерти.
Mafundisho ya mtu mwenye hekima ni chemchemi ya uzima, yanakuondoa kutoka kwenye mitego ya mauti.
15 Добрый разум доставляет приятность, путь же беззаконных жесток.
Busara njema huleta fadhila, bali njia ya wadanganyifu haina mwisho.
16 Всякий благоразумный действует с знанием, а глупый выставляет напоказ глупость.
Watu wenye busara hutenda kwa maarifa kwa kila uamuzi, bali mpumbavu huonyesha upuuzi wake.
17 Худой посол попадает в беду, а верный посланник - спасение.
Mjumbe mbaya huangukia kwenye shida, bali balozi mwaminifu huleta upatanisho.
18 Нищета и посрамление отвергающему учение; а кто соблюдает наставление, будет в чести.
Yeye ambaye hupuuza kurudiwa atapata umasikini na aibu, bali heshima itamjia yeye ambaye hujifunza kutokana na masahihisho.
19 Желание исполнившееся - приятно для души; но несносно для глупых уклоняться от зла.
Shauku iliyotambuliwa ni tamu kwa hamu, bali wapumbavu huchukia kuacha uovu.
20 Общающийся с мудрыми будет мудр, а кто дружит с глупыми, развратится.
Tembea pamoja na watu wenye hekima nawe utakuwa na hekima, bali rafiki wa wapumbavu atateseka.
21 Грешников преследует зло, а праведникам воздается добром.
Maafa huwakimbilia wenye dhambi, bali wale watendao haki hupewa thawabu kwa mema.
22 Добрый оставляет наследство и внукам, а богатство грешника сберегается для праведного.
Mtu mwema huacha urithi kwa wajukuu wake, bali mali ya mwenye dhambi huwekwa akiba kwa yule atendaye haki.
23 Много хлеба бывает и на ниве бедных; но некоторые гибнут от беспорядка.
Shamba la masikini lisilolimwa linaweza huzalisha chakula kingi, bali huchukuliwa kwa udhalimu.
24 Кто жалеет розги своей, тот ненавидит сына; а кто любит, тот с детства наказывает его.
Yeye ambaye hamrudi mwanawe humchukia, bali yule anayempenda mwanawe humjali kwa kumwadibisha.
25 Праведник ест до сытости, а чрево беззаконных терпит лишение.
Yeye atendaye haki hula hadi kutosheleza hamu yake bali tumbo la mwovu linanjaa daima.

< Притчи 13 >