< Числа 29 >

1 И в седьмой месяц, в первый день месяца, да будет у вас священное собрание; никакой работы не работайте; пусть будет это у вас день трубного звука;
“‘Katika siku ya kwanza ya mwezi wa saba mtakuwa na kusanyiko takatifu na msifanye kazi ya kawaida. Ni siku kwa ajili yenu ya kupiga tarumbeta.
2 и приносите всесожжение в приятное благоухание Господу: одного тельца, одного овна, семь однолетних агнцев, без порока,
Mtatayarisha sadaka ya kuteketezwa kama harufu nzuri impendezayo Bwana ya fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja, na wana-kondoo saba wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.
3 и при них в приношение хлебное пшеничной муки, смешанной с елеем, три десятых части ефы на тельца, две десятых части ефы на овна,
Pamoja na fahali, andaeni sadaka ya nafaka sehemu ya kumi tatu za efa za unga laini uliochanganywa na mafuta; kwa kondoo dume, andaa unga sehemu ya kumi mbili za efa;
4 и одну десятую часть ефы на каждого из семи агнцев,
na pamoja na wana-kondoo saba kila mmoja aandaliwe na sehemu ya kumi ya efa ya unga.
5 и одного козла в жертву за грех, для очищения вас,
Ongeza beberu mmoja kama sadaka ya dhambi kufanya upatanisho kwa ajili yenu.
6 сверх новомесячного всесожжения и хлебного приношения его, и сверх постоянного всесожжения и хлебного приношения его, и возлияний их, по уставу, в приятное благоухание Господу.
Hivi ni nyongeza ya sadaka za kuteketezwa kila mwezi na kila siku pamoja na sadaka zake za nafaka na sadaka za vinywaji kama ilivyoainishwa. Ni sadaka zinazotolewa kwa Bwana kwa moto, harufu inayopendeza.
7 И в десятый день сего седьмого месяца пусть будет у вас священное собрание: смиряйте тогда души ваши и никакого дела не делайте;
“‘Kwenye siku ya kumi ya mwezi huu wa saba mtakuwa na kusanyiko takatifu. Mtajikana wenyewe na msifanye kazi.
8 и приносите всесожжение Господу в приятное благоухание: одного тельца, одного овна, семь однолетних агнцев; без порока пусть будут они у вас;
Toeni sadaka ya kuteketezwa ya fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja, na wana-kondoo saba wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari, kama harufu nzuri inayompendeza Bwana.
9 и при них в приношение хлебное пшеничной муки, смешанной с елеем, три десятых части ефы на тельца, две десятых части ефы на овна,
Pamoja na fahali, andaeni sadaka ya nafaka sehemu ya kumi tatu za efa za unga laini uliochanganywa na mafuta; pamoja na kondoo dume, sehemu ya kumi mbili za efa za unga laini;
10 и по десятой части ефы на каждого из семи агнцев,
na kwa kila mmoja wa wana-kondoo saba andaa sehemu ya kumi ya unga laini kwa kila mmoja.
11 и одного козла в жертву за грех, для очищения вас, сверх жертвы за грех, приносимой в день очищения, и сверх всесожжения постоянного и хлебного приношения его, и возлияния их, по уставу приносимых в приятное благоухание, в жертву Господу.
Ongeza beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, katika nyongeza ya sadaka ya dhambi kwa ajili ya upatanisho, na sadaka ya kawaida ya kuteketezwa pamoja na sadaka yake ya nafaka, na sadaka zake za vinywaji.
12 И в пятнадцатый день седьмого месяца пусть будет у вас священное собрание; никакой работы не работайте и празднуйте праздник Господень семь дней;
“‘Katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba, mtakuwa na kusanyiko takatifu, na hamtafanya kazi za kawaida. Adhimisheni sikukuu kwa Bwana kwa siku saba.
13 и приносите всесожжение, жертву, приятное благоухание Господу: тринадцать тельцов, двух овнов, четырнадцать однолетних агнцев; без порока пусть будут они;
Toeni sadaka ya kuteketezwa mafahali wachanga kumi na watatu, kondoo dume wawili, na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari, kama harufu nzuri inayompendeza Bwana.
14 и при них в приношение хлебное пшеничной муки, смешанной с елеем, три десятых части ефы на каждого из тринадцати тельцов, две десятых части ефы на каждого из двух овнов,
Pamoja na hao mafahali kumi na watatu, kila mmoja aandaliwe na sadaka ya nafaka sehemu ya kumi tatu za efa za unga laini uliochanganywa na mafuta; kwa kondoo dume wawili, kila mmoja aandaliwe sehemu ya kumi mbili za efa za unga laini;
15 и по десятой части ефы на каждого из четырнадцати агнцев,
na kwa wana-kondoo kumi na wanne, kila mmoja aandaliwe sehemu ya kumi ya efa ya unga laini.
16 и одного козла в жертву за грех, сверх всесожжения постоянного и хлебного приношения его и возлияния его.
Ongeza beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, kwa nyongeza ya sadaka ya kawaida ya kuteketezwa, na sadaka yake ya nafaka, pamoja na sadaka ya vinywaji.
17 И во второй день двенадцать тельцов, двух овнов, четырнадцать однолетних агнцев, без порока,
“‘Katika siku ya pili andaeni mafahali wachanga kumi na wawili, kondoo dume wawili, na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.
18 и при них приношение хлебное и возлияние для тельцов, овнов и агнцев, по числу их, по уставу,
Pamoja na mafahali, kondoo dume, na wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka na sadaka za vinywaji, kulingana na idadi iliyoainishwa.
19 и одного козла в жертву за грех, сверх всесожжения постоянного и хлебного приношения и возлияния их.
Weka beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, kwa nyongeza ya kawaida ya sadaka ya kuteketezwa, na sadaka yake ya nafaka, pamoja na sadaka zao za vinywaji.
20 И в третий день одиннадцать тельцов, двух овнов, четырнадцать однолетних агнцев, без порока,
“‘Katika siku ya tatu andaeni mafahali wachanga kumi na wawili, kondoo dume wawili, na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.
21 и при них приношение хлебное и возлияние для тельцов, овнов и агнцев, по числу их, по уставу,
Pamoja na mafahali, kondoo dume, na wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka na sadaka za vinywaji, kulingana na idadi iliyoainishwa.
22 и одного козла в жертву за грех, сверх всесожжения постоянного и хлебного приношения и возлияния его.
Weka beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, kwa nyongeza ya kawaida ya sadaka ya kuteketezwa, na sadaka yake ya nafaka, pamoja na sadaka zao za vinywaji.
23 И в четвертый день десять тельцов, двух овнов, четырнадцать однолетних агнцев, без порока,
“‘Katika siku ya nne andaeni mafahali wachanga kumi na wawili, kondoo dume wawili, na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.
24 и при них приношение хлебное и возлияние для тельцов, овнов и агнцев, по числу их, по уставу,
Pamoja na mafahali, kondoo dume, na wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka na sadaka za vinywaji, kulingana na idadi iliyoainishwa.
25 и одного козла в жертву за грех, сверх всесожжения постоянного и хлебного приношения и возлияния его.
Weka beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, kwa nyongeza ya kawaida ya sadaka ya kuteketezwa, na sadaka yake ya nafaka, pamoja na sadaka zao za vinywaji.
26 И в пятый день девять тельцов, двух овнов, четырнадцать однолетних агнцев, без порока,
“‘Katika siku ya tano andaeni mafahali tisa, kondoo dume wawili na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.
27 и при них приношение хлебное и возлияние для тельцов, овнов и агнцев, по числу их, по уставу,
Pamoja na mafahali, kondoo dume na wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka na sadaka za kinywaji kulingana na idadi iliyoainishwa.
28 и одного козла в жертву за грех, сверх всесожжения постоянного и хлебного приношения и возлияния его.
Ongeza beberu mmoja kama sadaka ya dhambi katika nyongeza ya sadaka ya kawaida ya kuteketezwa na sadaka yake ya nafaka pamoja na sadaka ya kinywaji.
29 И в шестой день восемь тельцов, двух овнов, четырнадцать однолетних агнцев, без порока,
“‘Katika siku ya sita andaeni mafahali wachanga kumi na wawili, kondoo dume wawili, na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.
30 и при них приношение хлебное и возлияние для тельцов, овнов и агнцев, по числу их, по уставу,
Pamoja na mafahali, kondoo dume, na wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka na sadaka za vinywaji, kulingana na idadi iliyoainishwa.
31 и одного козла в жертву за грех, сверх всесожжения постоянного и хлебного приношения и возлияния его.
Weka beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, kwa nyongeza ya kawaida ya sadaka ya kuteketezwa, na sadaka yake ya nafaka, pamoja na sadaka zao za vinywaji.
32 И в седьмой день семь тельцов, двух овнов, четырнадцать однолетних агнцев, без порока,
“‘Katika siku ya saba andaeni mafahali wachanga kumi na wawili, kondoo dume wawili, na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.
33 и при них приношение хлебное и возлияние для тельцов, овнов и агнцев, по числу их, по уставу,
Pamoja na mafahali, kondoo dume, na wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka na sadaka za vinywaji, kulingana na idadi iliyoainishwa.
34 и одного козла в жертву за грех, сверх всесожжения постоянного и хлебного приношения и возлияния его.
Weka beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, kwa nyongeza ya kawaida ya sadaka ya kuteketezwa, na sadaka yake ya nafaka, pamoja na sadaka zao za vinywaji.
35 В восьмой день пусть будет у вас отдание праздника; никакой работы не работайте;
“‘Katika siku ya nane mtakuwa na kusanyiko, na msifanye kazi ya kawaida.
36 и приносите всесожжение, жертву, приятное благоухание Господу: одного тельца, одного овна, семь однолетних агнцев, без порока,
Toeni sadaka ya kuteketezwa kama harufu nzuri inayompendeza Bwana, sadaka ya kuteketezwa ya fahali mmoja, kondoo dume mmoja, na wana-kondoo dume saba wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.
37 и при них приношение хлебное и возлияние для тельца, овна и агнцев по числу их, по уставу,
Pamoja na fahali, kondoo dume na wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka, na sadaka za vinywaji, kulingana na idadi iliyoainishwa.
38 и одного козла в жертву за грех, сверх всесожжения постоянного и приношения хлебного и возлияния его.
Ongeza beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, katika nyongeza ya sadaka ya kawaida ya kuteketezwa, na sadaka yake ya nafaka pamoja na sadaka ya kinywaji.
39 Приносите это Господу в праздники ваши, сверх приносимых вами, по обету или по усердию, всесожжений ваших и хлебных приношений ваших, и возлияний ваших и мирных жертв ваших.
“‘Zaidi ya kile unachoweka nadhiri na sadaka zenu za hiari, andaeni hizi kwa ajili ya Bwana kwenye sikukuu zenu zilizoamriwa: sadaka zenu za kuteketezwa, sadaka za nafaka, sadaka za vinywaji, pamoja na sadaka zenu za amani.’”
40 И пересказал Моисей сынам Израилевым все, что повелел Господь Моисею.
Mose akawaambia Waisraeli yale yote Bwana alimwagiza.

< Числа 29 >