< Неемия 12 >

1 Вот священники и левиты, которые пришли с Зоровавелем, сыном Салафииловым, и с Иисусом: Сераия, Иеремия, Ездра,
Hawa ndio makuhani na Walawi waliokuja pamoja na Zerubabeli mwana wa Shealueli, pamoja na Yoshua Seraya, Yeremia, Ezra,
2 Амария, Маллух, Хаттуш,
Amaria, Maluki, Hatushi,
3 Шехания, Рехум, Меремоф,
Shekania, Harimu na Meremothi.
4 Иддо, Гиннефой, Авия,
Kulikuwa na Iddo, Ginethoni, Abiya,
5 Миямин, Маадия, Вилга,
Miyamini, Maazia, Bilgai,
6 Шемаия, Иоиарив, Иедаия,
Shemaya, Yoyaribu, Yedaya,
7 Саллу, Амок, Хелкия, Иедаия. Это главы священников и братья их во дни Иисуса.
Salu, Amoki, Hilkia, na Yedaya. Hawa walikuwa wakuu wa makuhani na washirika wao katika siku za Yoshua.
8 А левиты: Иисус, Биннуй, Кадмиил, Шеревия, Иуда, Матфания, главный при славословии, он и братья его,
Walawi walikuwa Yeshua, Binui, Kadmieli, Sherebia, Yuda, na Matania, aliyekuwa akiongoza nyimbo za shukrani, pamoja na washirika wake.
9 и Бакбукия и Унний, братья их, наряду с ними державшие стражу.
Bakbukia na Uno, washirika wao, walisimama pembeni yao wakati wa huduma.
10 Иисус родил Иоакима, Иоаким родил Елиашива, Елиашив родил Иоиаду,
Yoshua alikuwa babaye Yoyakimu, Yoyakimu alikuwa baba wa Eliashibu, Eliashibu alikuwa babaye Yoyada,
11 Иоиада родил Ионафана, Ионафан родил Иаддуя.
Yoyada alimzaa Yonathani, Yonathani akamzaa Yadua.
12 Во дни Иоакима были священники, главы поколений: из дома Сераии Мераия, из дома Иеремии Ханания,
Katika siku za Yoyakimu hawa walikuwa makuhani, wakuu wa jamaa; Meraya alikuwa mkuu wa Seraya, Hanania alikuwa kiongozi wa Yeremia,
13 из дома Ездры Мешуллам, из дома Амарии Иоханан,
Meshulam alikuwa kiongozi wa Ezra, Yehohanani alikuwa kiongozi wa Amaria,
14 из дома Мелиху Ионафан, из дома Шевании Иосиф,
Yonathani alikuwa kiongozi wa Maluki, na Yusufu alikuwa kiongozi wa Shekania.
15 из дома Харима Адна, из дома Мераиофа Хелкия,
Ili kuendelea, Adna alikuwa kiongozi wa Harimu, Helkai kiongozi wa Meremothi,
16 из дома Иддо Захария, из дома Гиннефона Мешуллам,
Zekaria alikuwa kiongozi wa Ido, Meshulamu alikuwa kiongozi wa Ginethoni, na
17 из дома Авии Зихрий, из дома Миниамина, из дома Моадии Пилтай,
Zikri alikuwa kiongozi wa Abia wa Miyaamini. Piltai alikuwa kiongozi wa Maazia.
18 из дома Вилги Шаммуй, из дома Шемаии Ионафан,
Shamua alikuwa kiongozi wa Bilgai, Yehonathani alikuwa kiongozi wa Shemaya,
19 из дома Иоиарива Мафнай, из дома Иедаии Уззий,
Matenai alikuwa kiongozi wa Yoyaribu, Uzi alikuwa kiongozi wa Yedaya,
20 из дома Саллая Каллай, из дома Амока Евер,
Kalai alikuwa kiongozi wa Salu, Eberi alikuwa kiongozi wa Amok,
21 из дома Хелкии Хашавия, из дома Иедаии Нафанаил.
Hashabia alikuwa kiongozi wa Hilkia, na Nethanel alikuwa kiongozi wa Yedaya.
22 Левиты, главы поколений, внесены в запись во дни Елиашива, Иоиады, Иоханана и Иаддуя, и также священники в царствование Дария Персидского.
Katika siku za Eliashibu, Walawi Eliashibu, Yoyada, Yohana, na Yadua waliandikwa kama vichwa vya familia, na makuhani waliandikwa wakati wa utawala wa Dariyo wa Persia.
23 Сыновья Левия, главы поколений, вписаны в летописи до дней Иоханана, сына Елиашивова.
Wana wa Lawi na viongozi wao wa familia waliandikwa katika Kitabu cha tarehe hadi siku za Yohana mwana wa Eliashibu.
24 Главы левитов: Хашавия, Шеревия, и Иисус, сын Кадмиила, и братья их, при них поставленные для славословия при благодарениях, по установлению Давида, человека Божия - смена за сменою.
Wakuu wa Walawi walikuwa Hashabia, Sherebia, na Yeshua mwana wa Kadmieli, pamoja na washirika wao, waliokuwa wamesimama mbele yao kumtukuza na kumshukuru, akijibu sehemu kwa sehemu, kwa kutii amri ya Daudi, mtu wa Mungu.
25 Матфания, Бакбукия, Овадия, Мешуллам, Талмон, Аккув - стражи, привратники на страже у порогов ворот.
Matania, Bakbukia, Obadiya, Meshulamu, Talmoni na Akubu walikuwa walinzi wa malango waliokuwa wakiwa wamesimama katika vyumba vya hazina penye malango.
26 Они были во дни Иоакима, сына Иисусова, сына Иоседекова, и во дни областеначальника Неемии и книжника Ездры, священника.
Walitumika katika siku za Yoyakimu, mwana wa Yoshua, mwana wa Yosadaki, na katika siku za Nehemiya, gavana na Ezra kuhani na mwandishi.
27 При освящении стены Иерусалимской потребовали левитов из всех мест их, приказывая им прийти в Иерусалим для совершения освящения и радостного празднества со славословиями и песнями при звуке кимвалов, псалтирей и гуслей.
Katika kujitolea kwa ukuta wa Yerusalemu, watu walitafuta Walawi popote walipokuwa wakiishi, wakawaleta Yerusalemu ili kusherehekea kujitolea kwa furaha, pamoja na shukrani na kuimba kwa ngoma, vinanda na vinubi.
28 И собрались сыновья певцов из округа Иерусалимского и из сел Нетофафских,
Ushirika wa waimbaji walikusanyika pamoja kutoka wilaya iliyozunguka Yerusalemu na kutoka vijiji vya Wanetofathi.
29 и из Беф-Гаггилгала, и с полей Гевы и Азмавета, потому что певцы выстроили себе села в окрестностях Иерусалима.
Walikuja kutoka Beth-gilgali na kutoka katika mashamba ya Geba na Azmawethi, kwa kuwa waimbaji walikuwa wamejijengea vijiji karibu na Yerusalemu.
30 И очистились священники и левиты, и очистили народ и ворота, и стену.
Makuhani na Walawi wakajitakasa, kisha wakawatakasa watu, milango na ukuta.
31 Тогда я повел начальствующих в Иудее на стену и поставил два больших хора для шествия, и один из них шел по правой стороне стены к Навозным воротам.
Kisha nilikuwa na viongozi wa Yuda kwenda juu ya ukuta, na mimi kuteua mikutano miwili mikubwa ya hao walioshukuru. Mmoja alienda upande wa kulia juu ya ukuta kuelekea lango la jaa.
32 За ними шел Гошаия и половина начальствующих в Иудее,
Hoshaya na nusu ya viongozi wa Yuda walimfuata,
33 Азария, Ездра и Мешуллам,
na baada yake akaenda Azaria, Ezra na Meshulamu,
34 Иуда и Вениамин, и Шемаия и Иеремия,
Yuda, Benyamini, Shemaya, Yeremia
35 а из сыновей священнических с трубами: Захария, сын Ионафана, сын Шемаии, сын Матфании, сын Михея, сын Закхура, сын Асафа,
na wana wa makuhani waliokuwa na tarumbeta, na Zekaria mwana wa Yonathani, mwana wa Shemaya, mwana wa Mataniya, mwana wa Mikaya, mwana wa Zakuri, mwana wa Asafu.
36 и братья его: Шемаия, Азариил, Милалай, Гилалай, Маай, Нафанаил, Иуда и Хананий с музыкальными орудиями Давида, человека Божия, и книжник Ездра впереди них.
Na pia jamaa za Zekaria, Shemaya, Azareli, Milalai, Gilalai, Maai, Nethaneli, Yuda, Hanani, pamoja na vyombo vya muziki vya Daudi mtu wa Mungu. Ezra mwandishi alikuwa mbele yao.
37 Подле ворот Источника, против них, они взошли по ступеням города Давидова, по лестнице, ведущей на стену сверх дома Давидова до Водяных ворот к востоку.
Na kwa Lango la Chemchemi walikwenda moja kwa moja na madaraja ya mji wa Daudi juu ya kupanda kwa ukuta, juu ya nyumba ya Daudi, kwenye lango la Maji upande wa mashariki.
38 Другой хор шел напротив них, и за ним я и половина народа, по стене от Печной башни и до широкой стены,
Na waimbaji wengine ambao walishukuru wakaenda upande mwingine. Niliwafuata juu ya ukuta pamoja na nusu ya watu, juu ya mnara wa vinyago, hadi kuta kubwa,
39 и от ворот Ефремовых, мимо старых ворот и ворот Рыбных, и башни Хананела, и башни Меа, к Овечьим воротам, и остановились у ворот Темничных.
na juu ya lango la Efraimu, na mlango wa kale, na kwa lango la samaki na mnara wa Hananeli na mnara wa Hamea, kwa lango la Kondoo, na wakasimama kwenye mlango wa walinzi.
40 Потом оба хора стали у дома Божия, и я и половина начальствующих со мною,
Kwa hiyo, mikutano miwili ya wale waliomshukuru walipata nafasi yao katika nyumba ya Mungu, na mimi pia nikachukua nafasi yangu na nusu ya viongozi pamoja nami.
41 и священники: Елиаким, Маасея, Миниамин, Михей, Елиоенай, Захария, Ханания с трубами,
Na makuhani wakachukua nafasi zao Eliakimu, Maaseya, Miyamini, Mikaya, Elioenai, Zekaria, na Hanania wenye tarumbeta,
42 и Маасея и Шемаия, и Елеазар и Уззий, и Иоханан и Малхия, и Елам и Езер. И пели певцы громко; главным у них был Израхия.
Maaseya, na Shemaya, Eleazari, Uzi, Yehohanani, Malkiya, Elamu, Ezeri. Waimbaji waliimba na Yezrahia kama wasimamizi.
43 И приносили в тот день большие жертвы и веселились, потому что Бог дал им великую радость. Веселились и жены и дети, и веселие Иерусалима далеко было слышно.
Walitoa dhabihu kubwa siku ile, wakafurahi, kwa sababu Mungu alikuwa amewafurahisha kwa furaha kubwa. Pia wanawake na watoto walifurahi. Hivyo furaha ya Yerusalemu ikasikiwa toka mbali.
44 В тот же день приставлены были люди к кладовым комнатам для приношений начатков и десятин, чтобы собирать с полей при городах части, положенные законом для священников и левитов, потому что Иудеям радостно было смотреть на стоящих священников и левитов,
Siku hiyo watu waliteuliwa juu ya nyumba ya hazina kwa ajili ya michango, matunda ya kwanza, na zaka, ili kuzikusanya ndani yao sehemu zinazohitajika katika sheria za makuhani na Walawi. Kila mmoja aliteuliwa kufanya kazi mashambani karibu na miji. Kwa maana Yuda alifurahi juu ya makuhani na Walawi waliokuwa wamesimama mbele yao.
45 которые совершали службу Богу своему и дела очищения и были певцами и привратниками по установлению Давида и сына его Соломона.
Walifanya utumishi wa Mungu wao, na huduma ya utakaso, kwa mujibu wa amri ya Daudi na ya mwanawe Sulemani, na hivyo
46 Ибо издавна во дни Давида и Асафа были установлены главы певцов и песни Богу, хвалебные и благодарственные.
Zamani za kale, katika siku za Daudi na Asafu, kulikuwa na wasimamizi wa waimbaji, na kulikuwa na nyimbo za sifa na shukrani kwa Mungu.
47 Все Израильтяне во дни Зоровавеля и во дни Неемии давали части певцам и привратникам на каждый день и отдавали святыни левитам, а левиты отдавали святыни сынам Аарона.
Katika siku za Zerubabeli na katika siku za Nehemia, Israeli wote walitoa sehemu za kila siku kwa waimbaji na walinzi wa mlango. Wakaweka pembeni sehemu ya Walawi, na Walawi waliweka sehemu ya wana wa Haruni.

< Неемия 12 >