< Иисус Навин 12 >

1 Вот цари той земли, которых поразили сыны Израилевы и которых землю взяли в наследие по ту сторону Иордана к востоку солнца, от потока Арнона до горы Ермона, и всю равнину к востоку:
Basi hawa ndio wafalme wa nchi, ambao watu wa Israeli walishindwa. Waisraeli walichukua miliki ya nchi katika upande wa mashariki mwa Yordani sehemu ambako jua huchomoza, kutoka bonde la Mto Arnoni hadi Mlima Hermoni, na nchi yote ya Araba kuelekea kusini.
2 Сигон, царь Аморрейский, живший в Есевоне, владевший от Ароера, что при береге потока Арнона, и от средины потока, половиною Галаада, до потока Иавока, предела Аммонитян,
Sihoni, mfalme wa Waamori, aliishi katika Heshiboni. Alitawala kutoka Aroeri, ambayo iko juu ya bonde la Arnoni kutoka katikati ya bonde, na nusu ya Geleadi kushuka mpaka Mto Yaboki katika mpaka wa Waamori.
3 и равниною до самого моря Хиннерефского к востоку и до моря равнины, моря Соленого, к востоку по дороге к Беф-Иешимофу, а к югу местами, лежащими при подошве Фасги;
Sihoni pia alitawala juu ya Araba mpaka Bahari ya Kinerethi, kwenda mashariki, kuelekea Bahari ya Araba (Bahari ya Chumvi) upande wa mashariki, hadi huko Bethi Yeshimothi na upande wa kusini, kuelekea chini ya miteremko wa Mlima Pisiga.
4 сопредельный ему Ог, царь Васанский, последний из Рефаимов, живший в Астарофе и в Едреи,
Ogu, mfalme wa Bashani, mmoja kati ya mabaki ya Rephaimu, aliyeishi huko Shatarothi na Edrei.
5 владевший горою Ермоном и Салхою и всем Васаном, до предела Гессурского и Маахского, и половиною Галаада, до предела Сигона, царя Есевонского.
Alitawala juu ya Mlima Hermoni, Saleka, na Bahani yote, hadi mpaka wa watu wa Geshuri na Wamakathi, na nusu ya Gleadi, hadi kufika mpaka wa Sihohi, mfalme wa Heshboni.
6 Моисей, раб Господень, и сыны Израилевы убили их; и дал ее Моисей, раб Господень, в наследие колену Рувимову и Гадову и половине колена Манассиина.
Musa mtumishi wa Yahweh, na watu wa Israeli walikuwa wamewashinda, na Musa mtumishi wa Yahweh aliwapa nchi kama mali ya Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase.
7 И вот цари Аморрейской земли, которых поразил Иисус и сыны Израилевы по эту сторону Иордана к западу, от Ваал-Гада на долине Ливанской до Халака, горы, простирающейся к Сеиру, которую отдал Иисус коленам Израилевым в наследие, по разделению их,
Hawa ndio wafalme wa nchi ambayo Yoshua na watu wa Israeli waliwashinda katika upande wa magharibi mwa mto Yordani, kutoka Baali Gadi katika bonde karibu na Lebanoni hadi Mlima Halaki karibu na Edom. Yoshua aliyapa nchi makabila ya Israeli ili yaimiliki.
8 на горе, на низменных местах, на равнине, на местах, лежащих при горах, и в пустыне и на юге, Хеттеев, Аморреев, Хананеев, Ферезеев, Евеев и Иевусеев:
Aliwapa nchi ya milima, tambarare, Araba, sehemu za milima, nyika na Negevu, nchi ya Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi.
9 один царь Иерихона, один царь Гая, что близ Вефиля,
Wafalme hawa walikuwa ni mfalme wa Yeriko, mfalme wa Ai iliyo karibu na Betheli,
10 один царь Иерусалима, один царь Хеврона,
mfalme wa Yerusalemu, mfalme wa Enaimu,
11 один царь Иармуфа, один царь Лахиса,
mfalme wa Yarmuthi, mfalme wa Lakishi,
12 один царь Еглона, один царь Газера,
mfalme wa Egloni, mfalme wa Gezeri,
13 один царь Давира, один царь Гадера,
mfalme wa Debiri, mfalme wa Gederi,
14 один царь Хормы, один царь Арада,
mfalme wa Horima, mfalme wa Aradi,
15 один царь Ливны, один царь Одоллама,
mfalme wa Libna, mfalme wa Adula,
16 один царь Македа, один царь Вефиля,
mfalme wa Makeda, mfalme wa Betheli,
17 один царь Таппуаха, один царь Хефера.
mfalme wa Tapua, mfalme wa Heferi,
18 Один царь Афека, один царь Шарона,
mfalme wa Afeki, mfalme wa Lasharoni,
19 один царь Мадона, один царь Асора,
mfalme wa Madoni, mfalme wa Hazori,
20 один царь Шимрон-Мерона, один царь Ахсафа,
mfalme wa Shimroni - Meroni, mfalme wa Akshafu.
21 один царь Фаанаха, один царь Мегиддона,
mfalme wa Taanaki, mfalme wa Megido,
22 один царь Кедеса, один царь Иокнеама при Кармиле,
mfalme wa Kedeshi, mfalme wa Jokineamu katika Karmeli,
23 один царь Дора при Нафаф-Доре, один царь Гоима в Галгале,
mfalme wa Dori katika Nafutali Dori, mfalme Goyimu katika Giligali, na
24 один царь Фирцы. Всех царей тридцать один.
mfalme Tiriza. Hesabu ya wafalme ilikuwa ni thelathini na moja kwa ujumla wake.

< Иисус Навин 12 >