< Иов 9 >

1 И отвечал Иов и сказал:
Kisha Ayubu akajibu na kusema,
2 правда! знаю, что так; но как оправдается человек пред Богом?
“kweli najua kwamba ndivyo hivyo. Lakini ni kwa namna gani mtu anakuwa na haki kwa Mungu?
3 Если захочет вступить в прение с Ним, то не ответит Ему ни на одно из тысячи.
Kama akitaka kujibishana na Mungu, hatamjibu yeye mara moja katika elfu zaidi.
4 Премудр сердцем и могущ силою; кто восставал против Него и оставался в покое?
Mungu ni mwenye hekima moyoni na ukuu katika nguvu; ni nani daima aliyejifanya mwenyewe kuwa mgumu dhidi yake na akafanikiwa? -
5 Он передвигает горы, и не узнают их: Он превращает их в гневе Своем;
ambaye huiondoa milima bila kumtahadharisha yeyote wakati akiipindua katika hasira zake -
6 сдвигает землю с места ее, и столбы ее дрожат;
ambaye huitikisa nchi itoke mahali pake na mihimili yake hutikisika.
7 скажет солнцу, - и не взойдет, и на звезды налагает печать.
Ni Mungu yule yule ambaye huliamuru jua lisichomoze, nalo halichomozi, na ambaye huzihifadhi nyota,
8 Он один распростирает небеса и ходит по высотам моря;
ambaye peke yake ni mwenye kupanua mbingu na kuyatuliza mawimbi ya bahari,
9 сотворил Ас, Кесиль и Хима и тайники юга;
ambaye huumba Dubu, Orioni, kilima, na makundi ya nyota ya kusini.
10 делает великое, неисследимое и чудное без числа!
Ni Mungu yule yule atendaye mambo makuu, mambo yasiyofahamika - hasa, mambo ya ajabu yasiyohesabika.
11 Вот, Он пройдет предо мною, и не увижу Его; пронесется, и не замечу Его.
Tazama, huenda karibu nami, na siwezi kumuona yeye; pia hupita kwenda mbele, lakini ni simtambue.
12 Возьмет, и кто возбранит Ему? кто скажет Ему: что Ты делаешь?
Kama akichukua kitu chochote, nani atamzuia? Nani awezaye kumuuliza, 'unafanya nini?'
13 Бог не отвратит гнева Своего; пред Ним падут поборники гордыни.
Mungu hataondoa hasira yake; wamsaidiao Rahabu huinama chini yake.
14 Тем более могу ли я отвечать Ему и приискивать себе слова пред Ним?
Je ni upungufu kiasi gani mimi nitamjibu, je nichague maneno kuhojiana naye?
15 Хотя бы я и прав был, но не буду отвечать, а буду умолять Судию моего.
Hata kama ni mwenye haki, nisingelimjibu; ningeomba msamaha tu kwa hukumu yangu.
16 Если бы я воззвал, и Он ответил мне, - я не поверил бы, что голос мой услышал Тот,
Hata kama ningelimwita na yeye akanitikia, nisingeamini kuwa ameisikia sauti yangu.
17 Кто в вихре разит меня и умножает безвинно мои раны,
kwa kuwa yeye anidhoofishaye kwa dhoruba na kuyaongeza majeraha yangu pasipo sababu.
18 не дает мне перевести духа, но пресыщает меня горестями.
Yeye hataki hata kuniruhusu nipate kuvuta pumzi; badala yake, hunijaza uchungu.
19 Если действовать силою, то Он могуществен; если судом, кто сведет меня с Ним?
Kama ni habari ya nguvu, tazama! yeye ni mwenye uwezo! Kama ni habari ya haki, ni nani atakaye mhukumu?
20 Если я буду оправдываться, то мои же уста обвинят меня; если я невинен, то Он признает меня виновным.
Ingawa ni mwenye haki, kinywa changu mwenyewe kitanihukumu; na ingawa ni mtakatifu, maneno yangu yatashuhudia kuwa ni mwenye kosa.
21 Невинен я; не хочу знать души моей, презираю жизнь мою.
Mimi ni mtakatifu, lakini siijali zaidi nafsi yangu; Naudharau uhai wangu mwenyewe.
22 Все одно; поэтому я сказал, что Он губит и непорочного и виновного.
Haileti tofauti yoyote, kwa sababu hiyo nasema kwamba yeye huangamiza watu wasio na makosa na waovu pia.
23 Если этого поражает Он бичом вдруг, то пытке невинных посмеивается.
Kama hilo pigo likiua ghafla, yeye atafurahi mateso yake mtu asiye na kosa.
24 Земля отдана в руки нечестивых; лица судей ее Он закрывает. Если не Он, то кто же?
Dunia imetiwa mkononi mwa watu waovu; Mungu hufunika nyuso za waamuzi wake. kama si yeye hufanya, ni nani basi?
25 Дни мои быстрее гонца, - бегут, не видят добра,
Siku zangu zinapita haraka kuliko tarishi akimbiae; siku zangu zinakimbia mbali; wala hazioni mema mahali popote.
26 несутся, как легкие ладьи, как орел стремится на добычу.
Zinapita kama mashua zilizoundwa kwa mafunjo ziendazo kwa kasi, na zinakasi kama tai ashukaye upesi katika mawindo yake.
27 Если сказать мне: забуду я жалобы мои, отложу мрачный вид свой и ободрюсь;
Kama ni kisema kwamba mimi nitasahau kuhusu manung'uniko yangu, kwamba nitaacha kuonyesha sura ya huzuni na kuwa na furaha,
28 то трепещу всех страданий моих, зная, что Ты не объявишь меня невинным.
Mimi nitaziogopa huzuni zangu zote kwa sababu nafahamu kuwa hutanihesabu kuwa sina hatia.
29 Если же я виновен, то для чего напрасно томлюсь?
Nitahukumiwa; kwa nini, basi, nitaabike bure?
30 Хотя бы я омылся и снежною водою и совершенно очистил руки мои,
Kama najiosha mwenyewe kwa maji ya theluji na kuitakasa mikono yangu na kuwa safi zaidi,
31 то и тогда Ты погрузишь меня в грязь, и возгнушаются мною одежды мои.
Mungu atanitumbukiza shimoni, na nguo zangu mwenyewe zitanichukia.
32 Ибо Он не человек, как я, чтоб я мог отвечать Ему и идти вместе с Ним на суд!
Kwa kuwa Mungu si mtu, kama mimi, kwamba naweza kumjibu, hata tukaribiane katika hukumu.
33 Нет между нами посредника, который положил бы руку свою на обоих нас.
Hakuna hakimu baina yetu awezaye kuweka mkono wake juu yetu sote.
34 Да отстранит Он от меня жезл Свой, и страх Его да не ужасает меня,
Hakuna hakimu mwingine ambaye anaweza kuniondolea fimbo ya Mungu, awezaye kuzuia kitisho chake kisinitie hofu. kisha ningesema na nisimuogope.
35 и тогда я буду говорить и не убоюсь Его, ибо я не таков сам в себе.
Lakini kama mambo yalivyo sasa, sitaweza kufanya hivyo.

< Иов 9 >