< Иов 5 >

1 Взывай, если есть отвечающий тебе. И к кому из святых обратишься ты?
Ita sasa; je kuna yeyote ambaye atakujibu? Utamrudia yupi katika watakatifu hao?
2 Так, глупца убивает гневливость, и несмысленного губит раздра-жительность.
Kwa kuwa hasira huua mtu mpumbavu; wivu huua mjinga.
3 Видел я, как глупец укореняется, и тотчас проклял дом его.
Nimemuona mtu mpumbavu akishika mzizi, lakini ghafla niliyalaani makazi yake.
4 Дети его далеки от счастья, их будут бить у ворот, и не будет заступника.
Watoto wake wako mbali na uzima; wameangamia langoni mwa mji. Hakuna yeyote atakaye waponya.
5 Жатву его съест голодный и из-за терна возьмет ее, и жаждущие поглотят имущество его.
Mwenye njaa hula mavuno yao; hata huyachukua katikati ya miiba. Wenye kiu huzihemea mali zao.
6 Так, не из праха выходит горе, и не из земли вырастает беда;
Kwa kuwa magumu hayatoki udongoni; wala taabu haichipuki katika nchi.
7 но человек рождается на страдание, как искры, чтобы устремляться вверх.
Badala yake, wanadamu huzaliwa kwaajili ya taabu, kama tu cheche za moto zirukavyo juu.
8 Но я к Богу обратился бы, предал бы дело мое Богу,
Lakini kwa mimi, ningemrudia Mungu mwenyewe; kwake ningeaminisha kusudi langu -
9 Который творит дела великие и неисследимые, чудные без числа,
yeye afanyae makuu na mambo yasiyochunguzika, mambo ya ajabu yasiyo na hesabu.
10 дает дождь на лице земли и посылает воды на лице полей;
Hutoa mvua juu ya nchi, na huyapeleka maji mashambani.
11 униженных поставляет на высоту, и сетующие возносятся во спасение.
Hufanya haya kwaajili ya kuwainua juu hao walio chini; huwapandisha sehemu salama hao waombolezao.
12 Он разрушает замыслы коварных, и руки их не довершают предприятия.
Yeye huharibu mipango ya watu wenye hila, ili mikono yao isipate mafanikio.
13 Он уловляет мудрецов их же лукавством, и совет хитрых становится тщетным:
Yeye huwanasa watu wenye hekima katika matendo ya hila zao wenyewe; mipango ya watu waliogeuzwa huharibika haraka.
14 днем они встречают тьму и в полдень ходят ощупью, как ночью.
Wao hupatwa na giza wakati wa mchana, na hupapasa mchana kama vile ni usiku.
15 Он спасает бедного от меча, от уст их и от руки сильного.
Lakini yeye huokoa maskini kwa upanga wa vinywa vyao na mhitaji kwa mkono wa mtu mwenye nguvu.
16 И есть несчастному надежда, и неправда затворяет уста свои.
Hivyo mtu maskini ana matumaini, na udhalimu hufumba kinywa chake mwenyewe.
17 Блажен человек, которого вразумляет Бог, и потому наказания Вседержителева не отвергай,
Tazama, amebarikiwa mtu ambaye hutiwa adabu na Mungu; kwa sababu hiyo, usidharau uongozi wa Mwenyezi.
18 ибо Он причиняет раны и Сам обвязывает их; Он поражает, и Его же руки врачуют.
Kwa kuwa yeye hujeruhi na kisha huuguza; yeye hutia jeraha na kisha mikono yake huponya.
19 В шести бедах спасет тебя, и в седьмой не коснется тебя зло.
Yeye atakuokoa na mateso sita; kweli, katika mateso saba, hakuna uovu utakao kugusa.
20 Во время голода избавит тебя от смерти, и на войне - от руки меча.
Wakati wa njaa atakukomboa na kifo, na kwa uwezo wa upanga wakati wa vita.
21 От бича языка укроешь себя и не убоишься опустошения, когда оно придет.
Wewe utafichwa na mateso ya ulimi; na usitishike na uharibifu utakapokuja.
22 Опустошению и голоду посмеешься и зверей земли не убоишься,
Wewe utaufurahia uharibifu na njaa, na hutatishika na wanyama wakali wa nchi.
23 ибо с камнями полевыми у тебя союз, и звери полевые в мире с тобою.
Kwa kuwa wewe utakuwa na mapatano na mawe ya shambani mwako, na wanyama wa mwituni watakuwa na amani na wewe.
24 И узнаешь, что шатер твой в безопасности, и будешь смотреть за домом твоим, и не согрешишь.
Wewe utajua kwamba hema lako lina usalama; utatembelea zizi la kondoo wako na hutakosa kitu chochote.
25 И увидишь, что семя твое многочисленно, и отрасли твои, как трава на земле.
Pia utafahamu kwamba uzao wako utakuwa mwingi, na vizazi vyako vitakuwa kama nyasi ardhini.
26 Войдешь во гроб в зрелости, как укладываются снопы пшеницы в свое время.
Wewe utafika kaburini kwako mwenye umri kamili, kama vile rundo la mashuke ya nafaka liendavyo juu wakati wake.
27 Вот, что мы дознали; так оно и есть: выслушай это и заметь для себя.
Tazama, tumelipeleleza jambo hili; ndivyo lilivyo; lisikie, na ulifahamu kwa ajili yako mwenyewe.”

< Иов 5 >