< Иов 36 >

1 И продолжал Елиуй и сказал:
Elihu aliendelea na kusema,
2 подожди меня немного, и я покажу тебе, что я имею еще что сказать за Бога.
“Niruhusu niseme kidogo zaidi, nami nitakuonesha baadhi ya mambo kwasababu nina maneno machache ya kusema kwa ajili ya Mungu.
3 Начну мои рассуждения издалека и воздам Создателю моему справедливость,
Nitapata maarifa yangu kutoka mbali; nitatambua kwamba haki ni ya Muumba wangu.
4 потому что слова мои точно не ложь: пред тобою - совершенный в познаниях.
Kwa kweli, maneno yangu hayatakuwa ya uongo; mtu fulani aliyekomaa katika maarifa yu pamoja nawe.
5 Вот, Бог могуществен и не презирает сильного крепостью сердца;
Angalia, Mungu ni mwenye nguvu, na hamdharau mtu yeyote; yeye ni mwenye nguvu katika uweza wa ufahamu.
6 Он не поддерживает нечестивых и воздает должное угнетенным;
Yeye huwa hayahifadhi maisha ya watu waovu bali badala yake hufanya yaliyo ya haki kwa wale wanaoteseka.
7 Он не отвращает очей Своих от праведников, но с царями навсегда посаждает их на престоле, и они возвышаются.
Haondoi macho yake kwa wenye haki bali badala yake huwaweka juu ya viti vya enzi kama wafalme milele, nao wameinuliwa juu.
8 Если же они окованы цепями и содержатся в узах бедствия,
Ikiwa wamefungwa minyororo na kunaswa katika kamba za mateso,
9 то Он указывает им на дела их и на беззакония их, потому что умножились,
kisha huwafunulia kile walichokifanya, na maovu yao na kiburi chao.
10 и открывает их ухо для вразумления и говорит им, чтоб они отстали от нечестия.
Hufungua pia masikio yao kwa ajili ya agizo lake, na huwaamuru wageuke kutoka katika uovu.
11 Если послушают и будут служить Ему, то проведут дни свои в благополучии и лета свои в радости;
Ikiwa watamsikiliza na kumwabudu yeye, wataishi katika mafanikio katika siku zao, na miaka yao katika hali ya kuridhika.
12 если же не послушают, то погибнут от стрелы и умрут в неразумии.
Hata hivyo, kama hawatasikiliza, wataangamia kwa upanga; watakufa kwasababu hawana maarifa.
13 Но лицемеры питают в сердце гнев и не взывают к Нему, когда Он заключает их в узы;
Na wale wasiomjua Mungu hutunza hasiria zao katika mioyo; hawaombi msaada hata wakati ambapo Mungu huwafunga.
14 поэтому душа их умирает в молодости и жизнь их с блудниками.
Hawa hufa katika ujana wao; na maisha yao hukoma kati ya makahaba.
15 Он спасает бедного от беды его и в угнетении открывает ухо его.
Mungu huwainua watu walioonewa kwa njia ya mateso yao; hufungua masikio yao kwa njia ya uonevu wao.
16 И тебя вывел бы Он из тесноты на простор, где нет стеснения, и поставляемое на стол твой было бы наполнено туком;
Kwa hakika, yeye angependa kuwatoa ninyi katika mateso na kuwaweka katika sehemu pana ambapo hakuna masumbufu na mahali ambapo meza yenu ingewekwa ikiwa na chakula kilichojaa mafuta.
17 но ты преисполнен суждениями нечестивых: суждение и осуждение - близки.
Lakini wewe umejaa hukumu juu ya watu waovu; hukumu na haki umeziachilia.
18 Да не поразит тебя гнев Божий наказанием! Большой выкуп не спасет тебя.
Usiuache utajiri ukuvute katika udanganyifu; na sehemu kubwa ya rushwa isikugeuze upande kutoka katika haki.
19 Даст ли Он какую цену твоему богатству? Нет, - ни золоту и никакому сокровищу.
Je utajiri wako waweza kukunufaisha, ili kwamba usiwe katika taabu, au nguvu zako zote za uwezo zaweza kukusaidia?
20 Не желай той ночи, когда народы истребляются на своем месте.
Usiutamani usiku ili utende dhambi dhidi ya wengine wakati ambapo mataifa hukatiliwa mbali katika nafasi zao.
21 Берегись, не склоняйся к нечестию, которое ты предпочел страданию.
Uwe mwangalifu ili kwamba usigeukie dhambi kwasababu unajaribiwa kwa mateso ili kwamba ukae mbali na dhambi.
22 Бог высок могуществом Своим, и кто такой, как Он, наставник?
Angalia, Mungu ameinuliwa katika nguvu zake; ni nani aliye mwalimu kama yeye?
23 Кто укажет Ему путь Его; кто может сказать: Ты поступаешь несправедливо?
Ni nani alishamwalekeza njia yake? Nani anayeweza kumwambia, 'Wewe umetenda mambo yasiyo ya haki?'
24 Помни о том, чтобы превозносить дела Его, которые люди видят.
Kumbuka kuyasifu matendo yake, ambayo watu wameyaimba.
25 Все люди могут видеть их; человек может усматривать их издали.
Watu wote wameshayatazama hayo matendo, lakini wanayaona tu matendo hayo kwa mbali sana.
26 Вот, Бог велик, и мы не можем познать Его; число лет Его неисследимо.
Tazama, Mungu ni mkuu, lakini sisi hatumfahamu yeye vizuri; hesabu ya miaka yake haihesabiki.
27 Он собирает капли воды; они во множестве изливаются дождем:
Kwa kuwa yeye huvuta matone ya maji ili kuyachuja kama mvua katka mvuke wake,
28 из облаков каплют и изливаются обильно на людей.
ambayo mawingu yake huyamwaga chini na kuyandondosha kwa wingi kwa mwanadamu.
29 Кто может также постигнуть протяжение облаков, треск шатра Его?
Hakika, kuna hata mmoja awezaye kuelewa kwa undani kusambaa kwa mawingu na radi kutoka katika nyumba yake?
30 Вот, Он распространяет над ним свет Свой и покрывает дно моря.
Angalia, hueneza mwanga wake kumzunguka na kufunika mizizi ya bahari.
31 Оттуда Он судит народы, дает пищу в изобилии.
Kwa namna hii huyahukumu mataifa na kuwapa chakula kwa wingi.
32 Он сокрывает в дланях Своих молнию и повелевает ей, кого разить.
Yeye huuijaza mikono yake kwa mwanga mpaka pale anapouamuru kupiga shabaha yake.
33 Треск ее дает знать о ней; скот также чувствует происходящее.
Na muungurumo wake huonya kwa dhoruba, wanyama wanaweza kusikia kuja kwake.

< Иов 36 >