< Иов 34 >

1 И продолжал Елиуй и сказал:
Zaidi ya hayo, Elihu aliendelea kusema:
2 выслушайте, мудрые, речь мою, и приклоните ко мне ухо, рассудительные!
“Sikilizeni maneno yangu, ninyi watu wenye hekima; nisikieni, ninyi mlio na maarifa.
3 Ибо ухо разбирает слова, как гортань различает вкус в пище.
Kwa kuwa sikio huyajaribu maneno kama ambavyo kaakaa huonja chakula.
4 Установим между собою рассуждение и распознаем, что хорошо.
Na tujichagulie sisi wenyewe yale yenye adili: na tujigundulie miongoni mwetu yale yaliyo mazuri.
5 Вот, Иов сказал: я прав, но Бог лишил меня суда.
Kwa kuwa Ayubu amesema, 'mimi ni mwenye haki, lakini Mungu ameondoa haki zangu.
6 Должен ли я лгать на правду мою? Моя рана неисцелима без вины.
Pamoja na haki zangu, ninaangaliwa kama mwongo. Kidonda changu hakiponyeki, ingawa mimi sina dhambi.'
7 Есть ли такой человек, как Иов, который пьет глумление, как воду,
Ni mtu gani aliye kama Ayubu ambaye hunywa dharau kama maji,
8 вступает в сообщество с делающими беззаконие и ходит с людьми нечестивыми?
ambaye huzunguka katika ushirika wa watu ambao ni waovu, na ambaye hutembea pamoja na watu waovu?
9 Потому что он сказал: нет пользы для человека в благоугождении Богу.
Kwa kuwa anasema, ' Hakuna faida kwa mtu kujifurahisha kwa kufanya mambo ambayo Mungu anayataka.'
10 Итак послушайте меня, мужи мудрые! Не может быть у Бога неправда или у Вседержителя неправосудие,
Basi nisikilizeni mimi, enyi watu wenye ufahamu: na iwe mbali na Mungu kwamba atatenda uovu;
11 ибо Он по делам человека поступает с ним и по путям мужа воздает ему.
na iwe mbali na Mwenye enzi kwamba atatenda dhambi. Kwa kuwa humlipa mtu kutokana na kazi yake; na humfanya mtu apate thawabu za njia zake mwenyewe.
12 Истинно, Бог не делает неправды и Вседержитель не извращает суда.
Kwa hakika, Mungu hatendi uovu, wala Mwenye nguvu hajaIpotosha haki.
13 Кто кроме Его промышляет о земле? И кто управляет всею вселенною?
Ni nani aliyemweka kuwa mtawala wa dunia? Ni nani aliyeiweka dunia yote chini yake?
14 Если бы Он обратил сердце Свое к Себе и взял к Себе дух ее и дыхание ее, -
Ikiwa aliweka makusudio yake juu yake mwenyewe, na kama amejikusanyia mwenyewe nafsi yake na pumzi yake,
15 вдруг погибла бы всякая плоть, и человек возвратился бы в прах.
basi miili yote itateketea pamoja; mwanadamu angerudi mavumbini tena.
16 Итак, если ты имеешь разум, то слушай это и внимай словам моим.
Kama sasa mna ufahamu, sikilizeni haya; sikilizeni sauti ya maneno yangu.
17 Ненавидящий правду может ли владычествовать? И можешь ли ты обвинить Всеправедного?
Je yeye anayeichukia haki aweza kutawala? Je mtamhukumu Mungu kuwa ni mwenye makosa, ambaye ni mwenye haki na mwenye nguvu?
18 Можно ли сказать царю: ты - нечестивец, и князьям: вы - беззаконники?
Mungu ambaye humwambia mfalme, ' Wewe ni mbaya; au huwaambia wenye kuheshimiwa, 'Ninyi ni waovu'?
19 Но Он не смотрит и на лица князей и не предпочитает богатого бедному, потому что все они дело рук Его.
Mungu ambaye haoneshi upendeleo kwa viongozi na ambaye hawakubali zaidi watu matajiri kuliko masikini, kwa kuwa wote ni kazi ya mikono yake.
20 Внезапно они умирают; среди ночи народ возмутится, и они исчезают; и сильных изгоняют не силою.
Watakufa kwa muda mfupi; wakati wa usiku watu watatikiswa na watapita; watu wenye nguvu watatwaliwa mbali, lakini si kwa mikono ya wanadamu.
21 Ибо очи Его над путями человека, и Он видит все шаги его.
Kwa kuwa macho ya Mungu yako juu ya njia za mtu; anaziona hatua zake zote.
22 Нет тьмы, ни тени смертной, где могли бы укрыться делающие беззаконие.
Hakuna giza, wala hakuna weusi mzito ambao watenda mabaya wanaweza kujificha wao wenyewe.
23 Потому Он же не требует от человека, чтобы шел на суд с Богом.
Kwa kuwa Mungu hahitaji kumchunguza mtu zaidi; wala hakuna haja kwa mtu yeyote kwenda mbele zake kwa hukumu.
24 Он сокрушает сильных без исследования и поставляет других на их места;
Huwavunja vipande vipande watu wenye nguvu kwa ajili ya njia zao ambazo hazihitaji uchunguzi zaidi; huwaweka watu wengine katika nafasi zao.
25 потому что Он делает известными дела их и низлагает их ночью, и они истребляются.
Kwa namna hii ana maarifa juu ya matendo yao; huwatupa watu hawa wakati wa usiku; nao wameangamizwa.
26 Он поражает их, как беззаконных людей, пред глазами других,
Huwaua kwa matendo yao mabaya kama wakosaji dhahiri mbele za watu wengine
27 за то, что они отвратились от Него и не уразумели всех путей Его,
kwasababu wamegeuka na kuacha kumfuata yeye na wamekataa kuzisadiki njia zake zozote.
28 так что дошел до Него вопль бедных, и Он услышал стенание угнетенных.
Na kwa namna hii, wamekifanya kilio cha watu masikini kimfikie; amekisikia kilio cha watu walioteswa.
29 Дарует ли Он тишину, кто может возмутить? скрывает ли Он лице Свое, кто может увидеть Его? Будет ли это для народа, или для одного человека,
Na wakati akaapo kimya, nani aweza kumhukumu kuwa mkosaji? Kama akiuficha uso wake, ni nani awezaye kumjua? Anatawala sawa sawa juu ya taifa na mtu pia,
30 чтобы не царствовал лицемер к соблазну народа.
ili kwamba watu wasiomjua Mungu wasije wakatawala, ili kwamba asiwepo mtu wa kuwanasa watu.
31 К Богу должно говорить: я потерпел, больше не буду грешить.
Fikiria mtu akimwambia Mungu, ' Mimi ni mwenye hatia kabisa, lakini sitatenda dhambi tena;
32 А чего я не знаю, Ты научи меня; и если я сделал беззаконие, больше не буду.
nifunze kile ambacho siwezi kukiona; nimetenda dhambi, lakini sitafanya tena.'
33 По твоему ли рассуждению Он должен воздавать? И как ты отвергаешь, то тебе следует избирать, а не мне; говори, что знаешь.
Je unadhani kwamba Mungu ataiadhibu dhambi ya mtu huyo, kwa kuwa unayachukia yale ambayo Mungu huyatenda? Ni lazima uchague, siyo mimi. Basi sema yale ambayo unayajua.
34 Люди разумные скажут мне, и муж мудрый, слушающий меня:
Watu wenye ufahamu wataniambia, kwa kweli, kila mtu mwenye hekima ambaye hunisikia atasema,
35 Иов не умно говорит, и слова его не со смыслом.
Ayubu anazungumza bila maarifa; maneno yake hayana hekima.'
36 Я желал бы, чтобы Иов вполне был испытан, по ответам его, свойственным людям нечестивым.
Kama Ayubu alijaribiwa kwa kitu kidogo kabisa katika kesi yake kwasababu ya kuongea kwake kama watu waovu.
37 Иначе он ко греху своему прибавит отступление, будет рукоплескать между нами и еще больше наговорит против Бога.
Kwa kuwa anaongeza uasi juu ya dhambi yake; anapiga makofi ya dharau kati yetu; anaweka maneno kinyume na Mungu.”

< Иов 34 >