< Иов 24 >

1 Почему не сокрыты от Вседержителя времена, и знающие Его не видят дней Его?
Kwa nini nyakati za kuwahukumu waovu hazikuwekwa na Mwenyezi? Kwa nini siyo wale waliowaaminifu kwa Mungu huziona siku za hukumu zikija?
2 Межи передвигают, угоняют стада и пасут у себя.
Kuna waovu waondoao alama za mipaka; kuna waovu walichukua kundi kwa nguvu na kulifanya lao.
3 У сирот уводят осла, у вдовы берут в залог вола;
Wanawadhurumu wanyonge punda wao; wanachukua ng'ombe wa mjane kuwa dhamana.
4 бедных сталкивают с дороги, все уничиженные земли принуждены скрываться.
Wanawaondoa wahitaji katika njia zao kwa lazima; masikini wa dunia yote wanajificha kutoka kwao.
5 Вот они, как дикие ослы в пустыне, выходят на дело свое, вставая рано на добычу; степь дает хлеб для них и для детей их;
Tazama, masikini hawa huenda kufanya kazi kama punda-mwitu mwituni, akitafuta chakula kwa uangalifu; pengine Araba itawapatia chakula kwa ajili ya watoto wao.
6 жнут они на поле не своем и собирают виноград у нечестивца;
Masikini huvuna katika mashamba ya wengine usiku; wanakusanya zabibu kidogo kutokana na mapato ya waovu.
7 нагие ночуют без покрова и без одеяния на стуже;
Wana lala bila kujifunika wakati wa usiku; hawana cha kujifunika wakati wa baridi.
8 мокнут от горных дождей и, не имея убежища, жмутся к скале;
Wanalowanishwa na mvua ya milimani; wanalala pembeni mwa miamba mikubwa kwani hawana makao.
9 отторгают от сосцов сироту и с нищего берут залог;
Kuna waovu wanaowapokonya yatima katika kifua cha mama zao, na waovu wawachukuao watoto kama dhamana kutoka kwa masikini.
10 заставляют ходить нагими, без одеяния, и голодных кормят колосьями;
Lakini masikini wanatembea uchi; wajapokaa na njaa, wanabebea wengine chakula.
11 между стенами выжимают масло оливковое, топчут в точилах и жаждут.
Masikini wanazalisha vinono ndani ya nyumba za waovu; wanakanyaga mashinikizo ya waovu, lakini wanakiu.
12 В городе люди стонут, и душа убиваемых вопит, и Бог не воспрещает того.
Watu wananung'unika mjini; waliojeruhiwa wanaomboleza, lakini Mungu hasikilizi maombi yao.
13 Есть из них враги света, не знают путей его и не ходят по стезям его.
Baadhi ya waovu hawa wanaiasi nuru; hawafahamu njia zake, wala kukaa katika njia zake.
14 С рассветом встает убийца, умерщвляет бедного и нищего, а ночью бывает вором.
Muaji huinuka na nuru; huuwa masikini na waitaji; ni kama mwizi wakati wa usiku.
15 И око прелюбодея ждет сумерков, говоря: ничей глаз не увидит меня, - и закрывает лице.
Pia, mzinifu hungoja wakati wa usiku; husema, 'Hakuna anionaye.' Hujibadilisha.
16 В темноте подкапываются под дома, которые днем они заметили для себя; не знают света.
Waovu huingia katika nyumba gizani, lakini hujifungia wakati wa mchana; hawajari nuru.
17 Ибо для них утро смертная тень, так как они знакомы с ужасами смертной тени.
Kwa kuwa asubuhi kwao wote ni kama giza totoro; wanaamani na vitisho vya giza totoro.
18 Легок такой на поверхности воды, проклята часть его на земле, и не смотрит он на дорогу садов виноградных.
Wanapotea polepole, lakini, kama povu juu ya maji; shamba lao limelaaniwa; hakuna anayekwenda kufanya kazi katika mashamba yao ya mizabibu.
19 Засуха и жара поглощают снежную воду: так преисподняя - грешников. (Sheol h7585)
Kiangazi na joto huondoa barafu; ndivyo kuzimu pia kunavyowaaribu waliotenda dhambi. (Sheol h7585)
20 Пусть забудет его утроба матери; пусть лакомится им червь; пусть не остается о нем память; как дерево, пусть сломится беззаконник,
Mama yake atamsahau; polepole funza watamuuma; hatakumbukwa tena; kwa hiyo, waovu watavunjika kama mti.
21 который угнетает бездетную, не рождавшую, и вдове не делает добра.
Mwovu anamrarua mgumba; hawatendi jema lolote kwa mjane.
22 Он и сильных увлекает своею силою; он встает и никто не уверен за жизнь свою.
Bado Mungu huwaondoa wenye nguvu kwa nguvu zake; huinuka na kuwadhoofisha.
23 А Он дает ему все для безопасности, и он на то опирается, и очи Его видят пути их.
Mungu huwaacha wajione wako salama, na wanalifurahia hilo, lakini anayaangalia maisha yao.
24 Поднялись высоко, - и вот, нет их; падают и умирают, как и все, и, как верхушки колосьев, срезываются.
Watu hawa wanatukuzwa; bado, kitambo tu, watapotea; hakika, watashushwa; watakusanywa kama wengine wote; wataondolewa kama sehemu ya juu ya masikio ya nafaka.
25 Если это не так, - кто обличит меня во лжи и в ничто обратит речь мою?
Ikiwa sivyo, nani atanithibitisha kuwa mwongo; atakaye fanya maneno yangu kuwa si kitu?”

< Иов 24 >