< Иов 20 >

1 И отвечал Софар Наамитянин и сказал:
Ndipo Sofari, Mnaamathi alijibu na kusema,
2 размышления мои побуждают меня отвечать, и я поспешаю выразить их.
“Mawazo yangu yananifanya mimi nijibu kwa haraka kwa sababu ya mashaka yaliyomo ndani yangu mimi.
3 Упрек, позорный для меня, выслушал я, и дух разумения моего ответит за меня.
Mimi ninasikia kukemewa ambako kunaniondolea heshima mimi, lakini roho kutoka katika ufahamu wangu hunijibu mimi.
4 Разве не знаешь ты, что от века, - с того времени, как поставлен человек на земле, -
Je, unafahamu kwamba ukweli huu kutoka enzi za kale, wakati Mungu alipomweka mwanadamu juu ya nchi:
5 веселье беззаконных кратковременно, и радость лицемера мгновенна?
ushindi wa mtu mwovu ni mfupi, na furaha ya mtu asiyemcha Mungu hudumu kwa kitambo tu?
6 Хотя бы возросло до небес величие его, и голова его касалась облаков, -
Ingawa urefu wake yeye hufikia juu kwenye mbingu, na kichwa chake yeye kufikia kwenye mawingu,
7 как помет его, на веки пропадает он; видевшие его скажут: где он?
bado mtu huyo atapotea siku zote kama mavi yake yeye mwenyewe; wale waliokuwa wamemuona yeye watasema, 'Yuko wapi yeye'?
8 Как сон, улетит, и не найдут его; и, как ночное видение, исчезнет.
Yeye atapaa mbali kama ndoto na hataonekana; ndivyo ilivyo, yeye atakuwa amefukuzwa mbali kama ono la
9 Глаз, видевший его, больше не увидит его, и уже не усмотрит его место его.
usiku. Jicho ambalo lilimuona yeye halitamuona yeye tena; mahali pake hapatamuona yeye tena.
10 Сыновья его будут заискивать у нищих, и руки его возвратят похищенное им.
Watoto wake wataomba msamaha kwa watu maskini, mikono yake itaweza kurudisha utajiri wake.
11 Кости его наполнены грехами юности его, и с ним лягут они в прах.
Mifupa yake imejaa nguvu za ujanani, lakini zitalala naye chini katika mavumbi.
12 Если сладко во рту его зло, и он таит его под языком своим,
Japokuwa uovu ni mtamu katika mdomo wake yeye, japokuwa yeye anauficha chini ya ulimi wake yeye,
13 бережет и не бросает его, а держит его в устах своих,
japokuwa anaushikilia pale na hauruhusu kwenda lakini bado huushikilia katika mdomo wake yeye -
14 то эта пища его в утробе его превратится в желчь аспидов внутри его.
chakula katika koromeo lake yeye hugeuka kuwa uchungu; hugeuka kuwa sumu ya majoka ndani yake yeye.
15 Имение, которое он глотал, изблюет: Бог исторгнет его из чрева его.
Yeye humeza chini utajiri, lakini yeye atautapika tena; Mungu atautoa nje kutoka katika tumbo lake yeye.
16 Змеиный яд он сосет; умертвит его язык ехидны.
Yeye atamumunya sumu ya majoka; ulimi wa nyoka mwenye sumu utamwua yeye.
17 Не видать ему ручьев, рек, текущих медом и молоком!
Yeye hatafurahia vijito vya maji, wingi wa asali na siagi.
18 Нажитое трудом возвратит, не проглотит; по мере имения его будет и расплата его, а он не порадуется.
Yeye atayarudisha matunda ya kazi yake na hataweza kuyala; yeye hatafurahia utajiri alioupata kwa biashara zake yeye.
19 Ибо он угнетал, отсылал бедных; захватывал дома, которых не строил;
Kwa kuwa yeye amewakandamiza na kuwasahau watu maskini; yeye kwa uonevu, amezichukua mbali nyumba ambazo hakuzijenga yeye.
20 не знал сытости во чреве своем и в жадности своей не щадил ничего.
Kwa sababu yeye mwenyewe hakujua utoshelevu wowote, yeye hataweza kuokoa kitu chochote katika kile ambacho alijifurahisha.
21 Ничего не спаслось от обжорства его, зато не устоит счастье его.
Hakuna chochote kilichoachwa ambacho yeye hakukimeza; kwa hiyo mafanikio yake yeye hayatakuwa ya kudumu.
22 В полноте изобилия будет тесно ему; всякая рука обиженного поднимется на него.
katika wingi wa utajiri wake yeye ataanguka katika mahangaiko; mkono wa kila mmoja ambaye yuko katika umaskini utakuja kinyume chake yeye.
23 Когда будет чем наполнить утробу его, Он пошлет на него ярость гнева Своего и одождит на него болезни в плоти его.
Wakati akiwa katika kulijaza tumbo lake, Mungu atatupa hasira ya ghadhabu yake juu yake yeye; Mungu ataunyeshea chini juu yake yeye wakati yeye anakula.
24 Убежит ли он от оружия железного, - пронзит его лук медный;
Ingawa mtu huyo atakimbia kutoka katika silaha ya chuma, upinde wa shaba utampiga yeye.
25 станет вынимать стрелу, - и она выйдет из тела, выйдет, сверкая сквозь желчь его; ужасы смерти найдут на него!
Mshale utatoboa kupitia mgongoni mwake na utatokezea; ni dhahiri, ncha inayong'ra itatokezea nje kupitia ini lake yeye; watesi huja tena juu yake.
26 Все мрачное сокрыто внутри его; будет пожирать его огонь, никем не раздуваемый; зло постигнет и оставшееся в шатре его.
Giza lliilo kamilika limetunzwa kwa akiba zake; moto usiopulizwa utamla yeye kwa haraka; utameza kile kilichoachwa katika hema yake.
27 Небо откроет беззаконие его, и земля восстанет против него.
Mbingu zitauweka wazi uovu wake, na nchi itainuka juu dhidi yake yeye kama shahidi.
28 Исчезнет стяжание дома его; все расплывется в день гнева Его.
Utajiri wa nyumba yake utatoweka; bidhaa zake zitamwagika mbali siku ya ghadhabu ya Mungu.
29 Вот удел человеку беззаконному от Бога и наследие, определенное ему Вседержителем!
Hii ndiyo sehemu ya mtu mwovu kutoka kwa Mungu, urithi uliotunzwa akiba na Mungu kwa ajili yake yeye.”

< Иов 20 >