< Иов 11 >

1 И отвечал Софар Наамитянин и сказал:
Ndipo Sofari Mnaamathi alijibu na kusema,
2 разве на множество слов нельзя дать ответа, и разве человек многоречивый прав?
“Huo wingi wa maneno haupaswi kujibiwa? Mtu huyu, aliyejaa maneno mengi awe wa kuaminiwa?
3 Пустословие твое заставит ли молчать мужей, чтобы ты глумился, и некому было постыдить тебя?
Kujivuna kwako kunapaswa kuwafanya wengine wabaki wamenyamaza? Wakati unapoyadhihaki mafundisho yetu, hakuna awaye yote atakayekufanya wewe ujisikie mwenye aibu?
4 Ты сказал: суждение мое верно, и чист я в очах Твоих.
Kwa kuwa wewe unasema kwa Mungu, 'Imani yangu ni safi, Mimi sina waa lolote machoni pako.'
5 Но если бы Бог возглаголал и отверз уста Свои к тебе
Lakini, laiti, Mungu huyo angesema na kufungua midomo yake dhidi yako;
6 и открыл тебе тайны премудрости, что тебе вдвое больше следовало бы понести! Итак знай, что Бог для тебя некоторые из беззаконий твоих предал забвению.
hivyo angekuonyesha wewe siri za hekima! Kwa kuwa yeye ni mkuu katika ufahamu. Tena tambua huyo Mungu anataka kutoka kwako kidogo kuliko uovu wako unavyostahili.
7 Можешь ли ты исследованием найти Бога? Можешь ли совершенно постигнуть Вседержителя?
Je, wewe unaweza kumfahamu Mungu kwa kumtafuta yeye? Unaweza kumtambua aliye mkuu kwa ukamilifu?
8 Он превыше небес, - что можешь сделать? глубже преисподней, - что можешь узнать? (Sheol h7585)
Upeo uko juu kama mbingu; unaweza kufanya nini wewe? Ni wenye kina kirefu kuliko kuzimu; waweza kufahamu nini wewe? (Sheol h7585)
9 Длиннее земли мера Его и шире моря.
Vipimo vyake ni virefu kuliko nchi, na vipana kuliko bahari.
10 Если Он пройдет и заключит кого в оковы и представит на суд, то кто отклонит Его?
kama yeye akipita kati na kumyamazisha mtu yeyote, kama yeye akimwita mtu yeyote hukumuni, tena ni nani anayeweza kumzuia yeye?
11 Ибо Он знает людей лживых и видит беззаконие, и оставит ли его без внимания?
Kwa maana anawajua watu waongo; wakati anapoona uovu, hawezi yeye kuukumbuka?
12 Но пустой человек мудрствует, хотя человек рождается подобно дикому осленку.
Lakini watu wapumbavu hawana ufahamu; wataupata wakati punda mwitu atakapozaa mtu.
13 Если ты управишь сердце твое и прострешь к Нему руки твои,
Lakini ikiwa umeuelekeza moyo wako kwa haki na umeunyosha mkono wako karibu na Mungu;
14 и если есть порок в руке твоей, а ты удалишь его и не дашь беззаконию обитать в шатрах твоих,
ikiwa huo uovu ulikuwa katika mikono yako, lakini hivyo tena unauweka mbali nawe, na haukuruhusu kutokuwa mwenye haki kukaa hemani mwako.
15 то поднимешь незапятнанное лице твое и будешь тверд и не будешь бояться.
Ndipo kwa hakika ungeinua juu uso wako bila ishara ya aibu; Ni dhahiri, ungethibitika na usingeogopa.
16 Тогда забудешь горе: как о воде протекшей, будешь вспоминать о нем.
Wewe ungesahau mateso yako; ungeyakumbuka hayo tu kama maji ambayo yametiririka mbali.
17 И яснее полдня пойдет жизнь твоя; просветлеешь, как утро.
Maisha yako yangekuwa angavu kuliko adhuhuri; japokuwa kulikuwa na giza, litakuwa kama asubuhi.
18 И будешь спокоен, ибо есть надежда; ты огражден, и можешь спать безопасно.
Ungekuwa salama kwa sababu kuna tumaini; ni dhahiri, wewe utapata usalama juu yako na utachukua pumziko lako katika usalama.
19 Будешь лежать, и не будет устрашающего, и многие будут заискивать у тебя.
Pia ungelala chini katika pumziko, na hakuna ambaye angekufanya wewe uogope; hakika wengi wangetafuta upendeleo wako.
20 А глаза беззаконных истают, и убежище пропадет у них, и надежда их исчезнет.
Lakini macho ya watu waovu yatashindwa; hawatakuwa na njia ya kukimbia; tumaini lao la pekee litakuwa pumzi yao ya mwisho ya uhai.

< Иов 11 >