< 2-я Царств 22 >

1 И воспел Давид песнь Господу в день, когда Господь избавил его от руки всех врагов его и от руки Саула, и сказал:
Daudi akamwimbia Yahwe maneno ya wimbo huu siku ile Yahwe alipomwokoa katika mkono wa adui zake wote na katika mkono wa Sauli.
2 Господь - твердыня моя и крепость моя и избавитель мой.
Akaomba hivi, “Yahwe ni mwamba wangu, ngome yangu, aliyeniokoa.
3 Бог мой - скала моя; на Него я уповаю; щит мой, рог спасения моего, ограждение мое и убежище мое; Спаситель мой, от бед Ты избавил меня!
Mungu ni mwamba wangu. Yeye ni kimbilio langu. Ngao yangu, pembe ya wokovu wangu, ngome yangu na kimbilio langu, aniokoaye na mabaya yote.
4 Призову Господа достопоклоняемого и от врагов моих спасусь.
Nitamwita Yahwe, astahiliye kutukuzwa, nami nitaokolewa kutoka kwa adui zangu.
5 Объяли меня волны смерти, и потоки беззакония устрашили меня;
Maana mawimbi ya mauti yalinizunguka, mafuriko ya maji ya uharibifu yakanishinda.
6 цепи ада облегли меня, и сети смерти опутали меня. (Sheol h7585)
Vifungo vya kuzimu vilinizunguka; kamba za mauti zikaninasa. (Sheol h7585)
7 Но в тесноте моей я призвал Господа и к Богу моему воззвал, и Он услышал из святого чертога Своего голос мой, и вопль мой дошел до слуха Его.
Katika shida yangu nalimwita Yahwe; nilimwita Mungu wangu; akaisikia sauti yangu katika hekalu lake, na kilio changu cha msaada kikafika masikioni mwake.
8 Потряслась, всколебалась земля, дрогнули и подвиглись основания небес, ибо разгневался на них Господь.
Ndipo nchi ilipotikisika na kutetemeka. Misingi ya mbingu ikatetemeka na kutikiswa, kwa kuwa Mungu alikasirika.
9 Поднялся дым от гнева Его и из уст Его огонь поядающий; горящие угли сыпались от Него.
Moshi ukatoka katika pua yake, na miale ya moto ikatoka katika kinywa chake. Makaa yakawashwa nayo.
10 Наклонил Он небеса и сошел; и мрак под ногами Его;
Alizifungua mbingu akashuka, na giza totoro lilikuwa chini ya miguu yake.
11 и воссел на херувимов, и полетел, и понесся на крыльях ветра;
Alipanda juu ya kerubi na kuruka. Alionekana katika mawingu ya upepo.
12 и мраком покрыл Себя, как сению, сгустив воды облаков небесных;
Naye akalifanya giza kuwa hema kumzunguka, akakusanya mawingu makubwa ya mvua angani.
13 от блистания пред Ним разгорались угли огненные.
Makaa ya moto yalidondoka mbele zake kutoka katika radi.
14 Возгремел с небес Господь, и Всевышний дал глас Свой;
Yahwe alishuka kutoka katika mbingu. Aliyejuu alipiga kelele.
15 пустил стрелы и рассеял их; блеснул молниею и истребил их.
Alipiga mishale na kuwatawanya adui zake—miale ya radi na kuwasambaratisha.
16 И открылись источники моря, обнажились основания вселенной от грозного гласа Господа, от дуновения духа гнева Его.
Kisha njia za maji zikaonekana; misingi ya dunia ikawa wazi katika kilio cha vita ya Yahweh, katika sauti za pumzi ya pua zake.
17 Простер Он руку с высоты и взял меня, и извлек меня из вод многих;
Kutoka juu alifika chini; akanishikilia! Aliniondoa katika vilindi vya maji.
18 избавил меня от врага моего сильного, от ненавидящих меня, которые были сильнее меня.
Aliniokoa kutoka kwa adui zangu wenye nguvu, kwao walionichukia, kwa maana walikuwa na nguvu sana kwangu.
19 Они восстали на меня в день бедствия моего; но Господь был опорою для меня
Walikuja kinyume changu siku ya shida yangu, lakini Yahwe alikuwa msaada wangu.
20 и вывел меня на пространное место, избавил меня, ибо Он благоволит ко мне.
Pia aliniweka mahali panapo nafasi. Aliniokoa kwa kuwa alipendezwa nami.
21 Воздал мне Господь по правде моей, по чистоте рук моих вознаградил меня.
Yahwe amenituza kwa kipimo cha haki yangu; amenirejesha kwa kiwango cha usafi wa mikono yangu.
22 Ибо я хранил пути Господа и не был нечестивым пред Богом моим,
Kwa maana nimezishika njia za Yahwe na sijafanya uovu kwa kugeuka kutoka kwa Mungu.
23 ибо все заповеди Его предо мною, и от уставов Его я не отступал,
Kwa kuwa maagizo yake yote ya haki yamekuwa mbele yangu; kwa kuwa sheria zake, sikujiepusha nazo.
24 и был непорочен пред Ним, и остерегался, чтобы не согрешить мне.
Nimekuwa bila hatia mbele zake pia, na nimejiepusha na dhambi.
25 И воздал мне Господь по правде моей, по чистоте моей пред очами Его.
Kwa hiyo Yahwe amenirejesha kwa kiasi cha uadilifu wangu, kwa kipimo cha usafi wangu mbele zake.
26 С милостивым Ты поступаешь милостиво, с мужем искренним - искренно,
Kwa mwaminifu, unajionesha kuwa mwaminifu; kwake asiye na hatia; unajionesha kuwa hauna hatia.
27 с чистым - чисто, а с лукавым - по лукавству его.
Kwa usafi unajionesha kuwa msafi, lakini kwa wakaidi unajionesha kuwa mkaidi.
28 Людей угнетенных Ты спасаешь и взором Своим унижаешь надменных.
Unaokoa walioteswa, lakini macho yako ni kinyume cha wenye kiburi, unawashusha chini.
29 Ты, Господи, светильник мой; Господь просвещает тьму мою.
Kwa maana wewe ni taa yangu, Yahwe. Yahwe huangaza katika giza langu.
30 С Тобою я поражаю войско; с Богом моим восхожу на стену.
Maana kwa ajili yake ninaweza kupita vipingamizi; kwa msaada wa Mungu wangu naweza kuruka juu ya ukuta.
31 Бог! - непорочен путь Его, чисто слово Господа, щит Он для всех, надеющихся на Него.
Maana njia za Mungu ni kamilifu. Neno la Yahwe ni safi. Yeye ni ngao yao wanaomkimbilia.
32 Ибо кто Бог, кроме Господа, и кто защита, кроме Бога нашего?
Maana ni nani aliye Mungu isipokuwa Yahwe? Na ni nani aliyemwamba isipokuwa Mungu?
33 Бог препоясует меня силою, устрояет мне верный путь;
Mungu ni kimbilio langu, na umwongoza katika njia yake mtu asiye na hatia.
34 делает ноги мои, как оленьи, и на высотах поставляет меня;
Huifanya myepesi miguu yangu kama kurungu na kuniweka katika vilima virefu.
35 научает руки мои брани и мышцы мои напрягает, как медный лук.
Huifundisha mikono yangu kwa vita, na viganja vyangu kupinda upinde wa shaba.
36 Ты даешь мне щит спасения Твоего, и милость Твоя возвеличивает меня.
Umenipa ngao ya wokovu wako, na matakwa yako yamenifanya mkuu.
37 Ты расширяешь шаг мой подо мною, и не колеблются ноги мои.
Umeitengenezea miguu yangu nafasi chini yangu, hivyo miguu yangu haikujikwaa.
38 Я гоняюсь за врагами моими и истребляю их, и не возвращаюсь, доколе не уничтожу их;
Niliwafuatia adui zangu na kuwaangamiza. Sikurudi nyuma hadi walipoangamizwa.
39 и истребляю их и поражаю их, и не встают и падают под ноги мои.
Niliwararua na kuwasambaratisha; hawawezi kuinuka. Wameanguka chini ya miguu yangu.
40 Ты препоясываешь меня силою для войны и низлагаешь предо мною восстающих на меня;
Unaweka nguvu ndani yangu kama mkanda kwa vita; unawaweka chini yangu wanaoinuka kinyume changu.
41 Ты обращаешь ко мне тыл врагов моих, и я истребляю ненавидящих меня.
Ulinipa migongo ya shingo za adui zangu; niliwaangamiza kabisa wale wanaonichukia.
42 Они взывают, но нет спасающего, - ко Господу, но Он не внемлет им.
Walilia kwa msaada, lakini hakuna aliyewaokoa; walimlilia Yahwe, lakini hakuwajibu.
43 Я рассеваю их, как прах земной, как грязь уличную мну их и топчу их.
Niliwaponda katika vipande kama mavumbi juu ya ardhi, niliwakanyaga kama matope mitaani.
44 Ты избавил меня от мятежа народа моего; Ты сохранил меня, чтоб быть мне главою над иноплеменниками; народ, которого я не знал, служит мне.
Umeniokoa pia kutoka katika mashutumu ya watu wangu. Umeniweka kama kichwa cha mataifa. Watu nisiowajua wananitumikia.
45 Иноплеменники ласкательствуют предо мною; по слуху обо мне повинуются мне.
Wageni walishurutishwa kuniinamia. Mara waliposikia kuhusu mimi, walinitii.
46 Иноплеменники бледнеют и трепещут в укреплениях своих.
Wageni walikuja wakitetemeka kutoka katika ngome zao.
47 Жив Господь и благословен защитник мой! Да будет превознесен Бог, убежище спасения моего,
Yahwe anaishi! Mwamba wangu atukuzwe. Mungu na ainuliwe, mwamba wa wokovu wangu.
48 Бог, мстящий за меня и покоряющий мне народы
Huyu ndiye Mungu anilipiaye kisasi, awawekaye watu chini yangu.
49 и избавляющий меня от врагов моих! Над восстающими против меня Ты возвысил меня; от человека жестокого Ты избавил меня.
Uniweka huru mbali na adui zangu. Hakika, uliniinua juu yao walioinuka kinyume changu. Uliniokoa kutoka kwa watu wenye ghasia.
50 За то я буду славить Тебя, Господи, между иноплеменниками и буду петь имени Твоему,
Kwa hiyo nitakushukuru, Yahwe, kati ya mataifa; nitaliimbia sifa jina lako.
51 величественно спасающий царя Своего и творящий милость помазаннику Своему Давиду и потомству его во веки!
Mungu hutoa ushindi mkuu kwa mfalme wake, na uonesha uaminifu wake wa kiagano kwa mtiwa mafuta wake, kwa Daudi na uzao wake daima.”

< 2-я Царств 22 >