< Luka 13 >

1 Ăn vrijamjaja avinjit la Isusu njeki om karje ja rubit k rimski upravitelju Pilat anaredit p njeka lumje d regija Galileja s lji muară pănd duča žrtvă ăn Hram ăn Jeruzalem.
Kwa wakataihuo huo, kulikuwa na baadhi watu waliomtaarifu juu ya Wagalilaya ambao Pilato aliwaua na kuchanganya damu yao na sadaka zao.
2 A Isusu lja zăs: “Dal găndic k lumja d regija Galileja aša afost umurăc daja ča fost grešni maj mult d toc alcă lumje ăn regija Galileja?
Yesu akajibu na kuwaambia, “Je mwadhani kuwa Wagalilaya hao walikuwa na dhambi kuliko Wagalilaya wengine wote ndiyo maana wamepatwa na mabaya hayo?
3 Nipošto! Istina je, akă nu vu okrinic dăla grešală, š voj isto osă propanic!
Hapana, nawaambia, lakini msipotubu, nanyi mtaangamia vivyo hivyo.
4 Š če găndic d ăštja optsprjače p karje sa duburăt kula ăn Siloam ăn Jeruzalem š lja murăt? Dal găndic k afost grešni maj mult d toc alcă lumja ăn Jeruzalem?
Au wale watu kumi na nane katika Siloamu ambao mnara ulianguka na kuwaua, mnafikiri wao walikuwa wenye dhambi zaidi kuliko watu wengine katika Yerusalemu?
5 Nipošto! Istina je, akă nu vu okrinic dăla grešală, š voj isto osă propanic!”
Hapana, mimi nasema, lakini kama msipotubu, ninyi nyote pia mtaangamia.
6 Atunča Isusu lji rubjaštje asta vorbă: “Njeki om avut smokvă karje asadit ăn vinograd aluj. Vinja ăn tot anu s vjadje dal arodit, ali na găsăt p ja ničuna smokvă.
Yesu aliwaambia mfano huu, “Mtu mmoja alikuwa na mtini umepandwa katika shamba lake na alikwenda kutafuta matunda juu yake lakini hakupata.
7 Azăs atunča alu omu karje s pobrinjaštje d vinograd: ‘Jakă već trje aj viuv s vjed dal jaštje plod p smokvasta, ali nu l găsăsk. Tajoj. Dăče s iscrpjaskă pămăntu?’
Akamwambia mtunza bustani, 'Tazama, kwa miaka mitatu nimekuja na kujaribu kutafuta matunda kwenye mtini huu lakini sikupata. Uukate. Kwani ulete uharibifu wa ardhi?
8 A omula azăs: ‘Gospodarulje, las još u an. Osă surp š osă puj păngl ja gnoju.
Mtunza bustani akajibu na kusema, 'uache mwaka huu ili niupalilie na kuweka mbolea juu yake.
9 Akă aja fiča la anu, možda osă rudjaskă smokva. Akă nu, atunča osă utaj d tinje.’”
Kama ukizaa matunda mwaka ujao, ni vema; lakini kama hautazaa, uukate!”'
10 Isusu una sămbătă ănvăca ăn sinagogă.
Sasa Yesu alikuwa akifundisha katika mojawapo ya Masinagogi wakati wa Sabato.
11 Jakă, afost ănklo una mujarje ăn karje afost optsprjače aj sufljetu alu rov karje ufiča bulnavă. Afost grbavă š nikako na putut s s ispravljaskă.
Tazama, alikuwepo mama mmoja ambaye kwa miaka kumi na minane alikuwa na rohomchafu wa udhaifu, na yeye alikuwa amepinda na hana uwezo kabisa wa kusimama.
12 Kănd Isusu avizut p ja, akimato la jel š ja zăs: “Mujarje, oslobodită ješt d bualasta!”
Yesu alipomwona, alimwita, akamwambia, “Mama, umewekwa huru kutoka kwenye udhaifu wako.”
13 Atunča apus mănilje aluj p ja. Mujarja dăturdată sa ispravit š ančiput s slavjaskă p Dimizov.
Akaweka mikono yake juu yake, na mara mwili wake akajinyoosha na akamtukuza Mungu.
14 Omu karje vudjaštje sinagoga sa nikăžăt. Agăndit k Isusu prekršaštje zakonu alu Mojsije daja če likuja ăn sămbătă. Š azăs alu naroduluj: “Šasă zălje ăn duminikă zakonu alu nostru dopustjaštje s lukrizăm. Ăn zuviljalja vinjic s likujic, a nu sămbătă!”
Lakini mkuu wa sinagogi alikasirika kwa sababu Yesu alikuwa amemponya siku ya Sabato. Hivyo mtawala akajibu akawambia makutano, “Kuna siku sita ambazo ni lazima kufanya kazi. Njoni kuponywa basi, si katika siku ya Sabato. '
15 Domnu Isusu ja zăs: “Voj lumjo karje avjec duavă licje! Š voj lukrizăc sămbătă. Toc voj dizljigăc ăn sămbătă p volu ili p magaracu š l skutjec dăn štală la apă s bja, dal nu?
Bwana akamjibu na akasema, “wanafiki! Hakuna kila mmoja wenu kufungua punda wako au ng'ombe kutoka zizini na kuwaongoza kumpeleka kunywa siku ya Sabato?
16 Asta mujarje karje je sămănca alu Abraham karje Sotona acănăto ljigată optsprjače d aj. Dal stvarno găndic k na atribut s fije dizljigată ăn sămbătă dăla asta buală ku karje irja ljigată?”
Hivyo pia binti wa Abrahamu, ambaye Shetani amemfunga kwa miaka kumi na minane, je haikumpasa kifungo chake kisifunguliwe siku ya sabato?”
17 P vorbilje alu Isusuluj, sa posramit toc dušmani aluj, a toc alcă sa radujit d čudurj karje afukut Isusu.
Alipokuwa akisema maneno hayo, wale wote waliompinga waliona aibu, bali makutano wote wa wengine walishangilia kwa ajili ya mambo ya ajabu aliyotenda.
18 Isusu azăs: “Kum izglidjaštje cara alu Dimizov? Ku čaja s ju usporidjesk?
Yesu akasema, “Ufalme wa Mungu unafanana na nini, na naweza kuulinganisha na nini?
19 Cara alu Dimizov je kašă sămănca mikă alu gorušice karje omu asadit ăn baštjava aluj. Aja krjaštje marje kašă ljemnu š puji vinje s gnizdjaštje ăn krăči aluj.”
Ni kama mbegu ya haradari aliyoitwaa mtu mmoja na kuipanda shambani mwake, na ikamea ikawa mti mkubwa, na ndege wa mbinguni wakajenga viota vyao katika matawi yake.
20 Jar antribat: “Ku čaja s ju usporidjesk cara alu Dimizov?
Tena akasema, “Niufananishe na nini ufalme wa Mungu?
21 Aja je kašă germa karje mujarja alato š amišăto ăn marje količină d pjelm pănd tot zolu nu sa drikă.”
Ni kama chachu ambayo mwanamke aliichukua na kuchanganyakwenye vipimo vitatu vya unga hata ukaumuka.”
22 Isusu putuja ăn Jeruzalem. Pănd triča p trgurj š p saturj š p drum ănvăca,
Yesu alitembelea kila mji na kijiji njiani akielekea Yerusalemu na kuwafundisha.
23 njeko la antribat: “Domnulje, dal Dimizov samo osă spasaskă pucăn lumje dăla sud?” Isusu azăs:
Mtu mmoja akauliza, “Bwana, ni watu wachache tu watakaookolewa?” Hivyo akawaambia,
24 “Cara alu Dimizov je kašă kasa karje arje ušă strămtă. Trudicăvă s untrăc p ja. Istina je, mult lumje vrja s untrje, ali nusă puată.
“Jitahidi kuingia kwa kupitia mlango mwembamba, kwa sababu wengi watajaribu na hawataweza kuingia.
25 Kănd toc ažuns š gospodaru sa skulat š ankis uša, nusă kutizăc s untrăc. Atunča osă stăc afar š osă bătjec la ušă. Osă zăčec: ‘Domnulje, diškidje nuavă!’ A jel osă zăkă: ‘Nu štiuv činje ištjec š dundje vinjic.’
Mara baada ya mmiliki wa nyumba kusimama na kufunga mlango, basi mtasimama nje na kupiga hodi mlangoni na kusema, Bwana, Bwana, tufungulie yeye atajibu na kuwaambia, siwajui ninyi wala mtokako.'
26 Atunča osă rubic: ‘Noj ku tinje amănkat š abut, š tu nji ănvăcaj p trgurje alji noštri!’
Ndipo mtasema, Tulikula na kunywa mbele yako na wewe ulifundisha katika mitaa yetu.”
27 A jel vuavă osă zăkă: ‘Nu štiuv činje ištjec š dundje vinjic. Fuđic dăla minje, toc voj lumjo karje fičec rov!’
Lakini yeye atawajibu, `nawaambia, siwajui mtokako, ondokeni kwangu, ninyi watenda maovu!'
28 Ănklo osă plănđec š osă škrcijic d dinc ăn tugă kănd vidjec p Abraham, p Izak š p Jakov š p toc prorokurlje la gozbă ăn cara alu Dimizov, k voj săngurj afost putiric.
Kutakuwa na kilio na kusaga meno wakati mtakapowaona Abrahamu, Isaka, Yakobo na manabii wote katika ufalme wa Mungu, lakini ninyi wenyewe mumetupwa nje.
29 Š osă vije lumja d tuatje părc alu pămăntuluj, čak š ălja karje nuje Židovj, š osă mălănče la gozbă ăn cara alu Dimizov.
Watafika kutoka Mashariki, Magharibi, Kaskazini na Kusini, na kupumzika katika meza ya chakula cha jioni katika ufalme wa Mungu.
30 Jakă njeki karje akuma s smatrjaštje k je maj mič osă fije atunča maj marje, a njeki karje akuma s smatrjaštje k je maj marje osă fije atunča maj mič.”
Na tambua hili, wa mwisho ni wa kwanza na wa kwanza atakuwa wa mwisho.”
31 Ăn vrijamaja, kănd Isusu azavršăt ku vorba, avinjit la jel njeki farizeji š azăs alu Isusuluj: “Fuđ da iča daja če Herod vrja s t muarje!”
Muda mfupi baadaye, baadhi ya Mafarisayo walikuja na kumwambia, “Nenda na ondoka hapa kwa sababu Herode anataka kukuua.”
32 A Isusu lja zăs: “Fuđic š zăčec alu aja lukavăj lisicăj: ‘Jakă, jo osă putirjesk p sufljeti alji rovj š likujaskă astăz š mănje š aldă trje zălje osă dovršăsk lukru alu mjov.’
Yesu akasema, “Nendeni mkamwambie yule mbweha, `Tazama, ninawafukuza pepo na kufanya uponyaji leo na kesho, na siku ya tatu nitatimiza lengo langu.
33 Da, astăz, mănje š dăpă mănje mora s nastavjesk p drum. Dali nuje aja ăn Jeruzalem undje umuară p tot proroku? Kum aputja s mor bilo undje altu?
Katika hali yoyote, ni muhimu kwa ajili yangu kuendelea leo, kesho, na siku iliyofuata, kwa vile haikubaliki kumuua nabii mbali na Yerusalemu.
34 O Jeruzaleme, o Jeruzaleme, tu karje umorj p prorokurlje š umorj ku buluvanji p ălja karje Dimizov atrimjes la tinje! Kăt vorj avrut s străng p lumja ata kum kloca sakupljaštje p puji š punje dusu ja, ali tu nu ma dat!
Yerusalemu, Yerusalemu, nani anawaua manabii na kuwapiga mawe wale waliotumwa kwenu. Mara ngapi nimetaka kuwakusanya watoto wenu kama vile kuku anavyokusanya vifaranga vyake chini ya mbawa zake, lakini humkulitaka hili.
35 Dimizov osă napustjaskă p tinje. Istina je, nu maj m vjez više tot pănd nu vinje vrijamja pănd god nu zăčec: ‘Blagoslovit ăla p karje Domnu atrimjes!’”
Tazama, nyumba yako imetelekezwa. Nami nawaambia, hamuwezi kuniona hata mtakaposema 'Amebarikiwa huyo ajaye kwa jina la Bwana.'”

< Luka 13 >