< Luka 4 >

1 O Isus pherdo Svetone Duxosa irisajlo tari len o Jordan. O Duxo inđarda le ani pustinja,
Kisha, Yesu akiwa amejaa Roho Mtakatifu, alirudi kutoka Mto Jordani, na aliongozwa na Roho jangwani
2 kaj iskušisada le o beng saranda đive. Gola đive o Isus khanči ni xalja thaj kana nakhle e saranda đive, bokhajlo.
kwa siku arobaini, na huko alijaribiwa na Ibilisi. Wakati huo hakula chochote, na mwisho wa wakati huo alihisi njaa.
3 Tegani vaćarda lese o beng: “Te san e Devleso Čhavo, phen kale barese te avol mangro.”
Ibilisi akamwambia, “Kama wewe ni Mwana wa Mungu, liamru jiwe hili kuwa mkate.”
4 O Isus phenda lese: “Ano Sveto lil si pisimo: ‘O manuš ni ka avol džuvdo samo taro mangro [nego tare dži jekh Lafi e Devleso].’”
Yesu akamjibu, “Imeandikwa; 'mtu hataishi kwa mkate pekee.”
5 Pale gova ikalda le o beng ko učo than thaj tari jekh drom sikada lese sa e carstvura ki phuv.
Kisha Ibilisi alimwongoza juu kwenye kilele cha mlima, na akamwonyesha falme zote za dunia kwa muda mfupi.
6 O beng vaćarda e Isusese: “Tuće ka dav sa kava lengo zuralipe thaj i slava, golese kaj manđe dija pe thaj me ka dav la kase mangav.
Ibilisi akamwambia, “Nitakupa mamlaka ya kutawala falme hizi zote pamoja na fahari zake. Naweza kufanya hivyo kwa sababu vyote vimekabidhiwa kwangu nivitawale, na ninaweza kumpa yeyote nitakaye kumpa.
7 Ako pere pe koča angle mande, sa ka avol ćiro.”
Kwahiyo, kama utaniinamia na kuniabudu, vitu hivi vyote vitakuwa vyako.”
8 O Isus vaćarda lese: “Ano Sveto lil si pisimo: ‘Per ke koča e Gospodese e Devlese ćirese thaj lese jekhese kande.’”
Lakini Yesu alijibu na kumwambia, “Imeandikwa, “lazima umwabudu Bwana Mungu wako, na lazima umtumikie Yeye peke yake.”
9 Pale gova inđarda le o beng ano Jerusalim, čhuta le najučeste po Hram thaj vaćarda lese: “Te san e Devleso Čhavo, čhude tu katar tele.
Baadaye Ibilisi alimwongoza Yesu hadi Yerusalemu na kumweka sehemu ya juu kabisa ya jengo la hekalu na kumwambia, “Kama wewe ni Mwana wa Mungu, jitupe chini kutoka hapa.
10 Golese kaj ano Sveto lil si pisimo: ‘Vov ka phenol pe melekurenđe te aračhen tut,’
Kwa sababu imeandikwa, “Atawaagiza malaika zake wakutunze na kukulinda,
11 thaj: ‘Von ka len tut ke vasta te ma čalave tut ko bar ćire pingresa.’”
na watakuinua juu mikononi mwao ili kwamba usiumize miguu yako juu ya jiwe.”
12 O Isus vaćarda lese: “Ano Sveto lil si pisimo: ‘Ma iskuši e Gospode, e Devle ćire.’”
Yesu akijibu alimwambia, “Imenenwa, “usimjaribu Bwana Mungu wako.”
13 Kana o beng završisada sa lese iskušenjura, đelo lestar dži aver nesavo vreme.
Ibilisi alipomaliza kumjaribu Yesu, alienda zake na kumwacha hadi wakati mwingine.
14 O Isus irisajlo ano zuralipe e Duxoso ani Galileja thaj o lafi lestar đelo pe sa e phuva.
Kisha Yesu alirudi Galilaya kwa nguvu za Roho, na habari kumhusu yeye zikaenea na kusambaa katika mikoa jirani yote.
15 Sikada ane lenđe sinagoge thaj savore šukar lestar vaćarde.
Alifundisha katika masinagogi yao, na kila mmoja alimsifu.
16 Tegani avilo o Isus ano foro Nazaret kaj barilo thaj ko savato palo piro adeti, đelo ani sinagoga thaj uštilo te čitil.
Siku moja alikwenda Nazareti, mji ambao alilelewa na kukulia. Kama ilivyokuwa desturi yake aliingia kwenye sinagogi siku ya sabato, na alisimama kusoma maandiko.
17 Dije le o Lil e prorokoso e Isaijaso, vov putarda o Lil thaj arakhlja than kaj sasa pisimo:
Alikabidhiwa gombo la nabii Isaya, hivyo, alilifungua gombo na akatafuta sehemu iliyoandikwa,
18 “O Duxo e Gospodeso si pe mande, golese kaj pomazisada man te anav o Lačho Lafi e čororenđe, [bičhalda man te sastarav len, saven isi dukhade ile], thaj te vaćarav e phanglenđe kaj ka aven oslobodime, thaj e korenđe kaj ka dičhen, thaj e mučime kaj ka aven slobodna,
“Roho wa Bwana yuu juu yangu, kwa sababu alinitia mafuta kuhubiri habari njema kwa maskini. Amenituma kutangaza uhuru kwa wafungwa, na kuwafanya wasioona waweze kuona tena. Kuwaweka huru wale wanaogandamizwa,
19 te vaćarav taro lačho berš taro milost e Gospodeso.”
kuutangaza mwaka ambao Bwana ataonesha wema wake.”
20 Tegani phanglja o Lil, dija le e kandinese thaj bešlo. Savore ani sinagoga dikhlje ane leste
Kisha akalifunga gombo, akamrudishia kiongozi wa sinagogi, na akaketi chini. Macho ya watu wote waliokuwa katika sinagogi yalimwangalia yeye.
21 thaj o Isus lija te vaćarol lenđe: “Ađive pherdile kala lafura so akana šunden.”
Alianza kuzungumza nao akisema, “Leo andiko hili limetimizwa masikioni mwenu.”
22 Savore lestar vaćarde šukar thaj sesa zadivime gole šukar lafurencar so iklilo andaro leso muj thaj pučlje pe: “Naj li kava e Josifeso čhavo?”
Kila mmoja pale alishuhudia kile alichokisema Yesu, na wengi miongoni mwao walishangazwa na maneno ya hekima yaliyokuwa yakitoka katika kinywa chake. Walikuwa wakisema, “huyu ni kijana tu wa Yusufu, siyo hivyo?”
23 O Isus vaćarda lenđe: “Čače tumen manđe ka vaćaren kaja poslovica: ‘Lekarona, sastar korkore tut!’ So šundam kaj ćerdan ano Kafarnaum, čher i kate ane ćiro than kaj bariljan.”
Yesu akawaambia, “hakika mtasema methali hii kwangu, “Tabibu, jiponye mwenyewe. Chochote tulichosikia ukifanya Kapernaumu, kifanye hapa pia kijijini kwako.”
24 Tegani vaćarda: “Čače vaćarav tumenđe, nijekh proroko naj manglo ane piro than kaj barilo.
Pia alisema, “hakika nawaambia ninyi, hakuna nabii anayekubalika katika nchi yake.”
25 A čače vaćarav tumenđe: But romnja kase roma mule sesa ano Izrael ano vreme e Ilijaso kana o bršnd ni pelo trin berš thaj šov čhon thaj sasa baro bokhalipe pe sa i phuv.
Lakini nawaambia ninyi kweli kwamba kulikuwa na wajane wengi Israel katika kipindi cha Eliya, wakati mbingu ilipofungwa kusiwe na nvua kwa miaka mitatu na nusu, wakati kulipokuwa na njaa kubwa katika nchi yote.
26 Al o Ilija ni sasa bičhaldo ni jekhaće lendar, sasa bičhaldo ki jekh džuvli kaso rom mulo ke abandžijengo foro Sarepta pašo Sidon.
Lakini Eliya hakutumwa kwa yeyote mmoja wao, lakini kwa mjane mmoja tu aliyeishi Sarepta karibu na mji wa Sidoni.
27 Thaj but gubava sesa ano Izrael ko vreme e prorokoso e Jelisijeso. Thaj khoni lendar ni thodilo, nego thodilo o Neman o Sirijanco.”
Pia, kulikuwa na wakoma wengi Israel katika kipindi cha Elisha nabii, lakini hakuna hatammoja wao aliyeponywa isipokuwa Naamani mtu wa Siria.
28 Savore ani sinagoga pherdile holi kana kava šunde.
Watu wote ndani ya sinagogi walijawa na gadhabu walipoyasikia haya yote.
29 Uštile thaj tradije le avral taro foro. Inđarde le ko brego najuče kaj sasa ćerdo lengo foro te čhuden le odupral natele.
Walisimama na kumsukumizia nje ya mji, na kumwongoza mpaka kwenye ukingo wa mlima wa mji ambapo mji wao ulijengwa juu yake, ili waweze kumtupa chini.
30 Al o Isus nakhlo maškar lende thaj đelo pe dromesa.
Lakini alipita salama katikati yao na akaenda zake.
31 Pale gova o Isus ulilo ano Kafarnaum ano Galilejsko foro thaj sikada ko savato.
Kisha alitelemkia Kapernaumu, katika mji wa Galilaya. Sabato moja alikuwa akifundisha watu ndani ya sinagogi.
32 E manuša čudisajle lese sikajimasa, golese kaj ane lese lafura sasa vlast.
Walishangazwa na mafundisho yake, kwasababu alifundisha kwa mamlaka.
33 Gothe ani sinagoga sasa manuš ane kaste sasa o bilačho duxo thaj dija vika zurale:
Sasa siku hiyo ndani ya sinagogi, kulikuwa na mtu aliyekuwa na roho ya pepo mchafu, na alilia kwa sauti ya juu,
34 “So manđe amendar, Isuse taro Nazaret? Aviljan li te uništi amen? Džanav ko san tu: Sveco e Devleso!”
“Tuna nini nawe, Yesu wa Nazareti? Umekuja kutuangamiza? Ninajua wewe ni nani! Wewe ni mtakatifu wa Mungu!”
35 O Isus pretisada le: “Phande ćo muj thaj iklji lestar!” Tegani o beng perada e manuše angle sa e manuša, iklilo lestar thaj khanči ni ćerda lese bilačhe.
Yesu alimkemea pepo akisema, “Nyamaza kimya, na umtoke mtu huyu!” Pepo yule alipomtupa mtu yule chini katikati yao, alimtoka yule mtu bila ya kumsababishia maumivu yoyote.
36 Ane savorende avili i dar thaj čudisajle thaj jekh averese vaćarde: “Save si kala lafura! Ano autoritet thaj ano zuralipe vaćarol e bilačhe duxurenđe te ikljon thaj von ikljen!”
Watu wote walishangaa, na waliendelea kuzungumzia jambo hilo kila mmoja na mwenzake. Wakasema, “Ni maneno ya aina gani haya?” Anawaamuru roho wachafu kwa mamlaka na nguvu na watondoka.”
37 Thaj đelo o lafi lestar ane sa e pašutne thana.
Hivyo, habari juu ya Yesu zilienea kila sehemu katika maeneo yanayozunguka mkoa huo.
38 O Isus uštilo gothar andari sinagoga thaj avilo ano čher e Simoneso. E Simonese sasuja sasa la bari jag thaj rodije lestar te sastarol la.
Kisha Yesu aliondoka katika mji huo na akaingia katika nyumba ya Simoni. Sasa, mama mkwe wake na Simoni alikuwa anaumwa homa kali, na wakamsihi kwa niaba yake.
39 O Isus ačhilo paše late, pretisada e jagaće thaj i jag mukhlja la. Sigate uštili thaj kandija len.
Hivyo, Yesu alimsogelea, akaikemea ile homa na ikamwachia. Ghafla alisimama na akaanza kuwatumikia.
40 Kana pelo o kham, ande angle leste savoren saven sesa nasvale manuša tare dži jekh nasvalipe. Vov pe savorende čhuta pe vasta thaj sastarda len.
Jua lilipokuwa likizama, watu walimletea Yesu kila mmoja aliyekuwa mgonjwa wa maradhi ya aina mbalimbali. Aliweka mikono yake juu ya kila mgonjwa na akawaponya wote.
41 Tare pherdo manuša iklile e benga thaj dije vika vaćarindoj: “Tu san o Čhavo e Devleso!” Al o Isus darada len te ma vaćaren khanikase golese kaj džanglje kaj si vov o Hrist.
Mapepo pia yaliwatoka wengi wao yakilia kwa sauti na kusema, “Wewe ni mwana wa Mungu!” Yesu aliwakemea mapepo na hakuwaruhusu waongee, kwa sababu walijua kwamba yeye alikuwa ni Kristo.
42 Kana đivesajlo, o Isus iklilo thaj đelo ani pustinja. E manuša rodije le thaj avile leste thaj manglje te ačhaven le te ma džal lendar.
Wakati kulipopambazuka, alienda eneo lisilokuwa na watu. Makutano ya watu walikuwa wakimtafuta na wakaja katika eneo alilokuwapo. Walijaribu kumzuia asiende mbali na wao.
43 Al o Isus vaćarda lenđe: “Trubul i ane avera forura te vaćarav o Lačho Lafi taro Carstvo e Devleso, golese kaj sem paše gova bičhaldo.”
Lakini akawaambia, “Lazima pia nihubiri habari njema za ufalme wa Mungu katika miji mingine mingi, kwa kuwa hii ndiyo sababu nilitumwa hapa.”
44 Thaj ni ačhada te vaćarol ane sinagoge ani Judeja.
Kisha aliendelea kuhubiri ndani ya masinagogi katika uyahudi wote.

< Luka 4 >