< Luka 13 >

1 Ane gova vreme odori sesa nesave save phende e Isusese tare Galilejcura savengo rat o Pilat mešisada lenđe kurbanurencar.
Kwa wakataihuo huo, kulikuwa na baadhi watu waliomtaarifu juu ya Wagalilaya ambao Pilato aliwaua na kuchanganya damu yao na sadaka zao.
2 O Isus phenda lenđe: “Tumen li den gođi kaj gola Galilejcura so sesa mudarde si pogrešna tare avera Galilejcura?
Yesu akajibu na kuwaambia, “Je mwadhani kuwa Wagalilaya hao walikuwa na dhambi kuliko Wagalilaya wengine wote ndiyo maana wamepatwa na mabaya hayo?
3 Na! Phenav tumenđe, al ako ni irin tumen tare grehura, sa tumen gija ka meren.
Hapana, nawaambia, lakini msipotubu, nanyi mtaangamia vivyo hivyo.
4 Il, so si kole dešohtonecar pe kaste pelo o toranj ano Siloam thaj mudarda len? Tumen li den gođi kaj von sesa po grešna tare sa avera manuša so bešen ano Jerusalim?
Au wale watu kumi na nane katika Siloamu ambao mnara ulianguka na kuwaua, mnafikiri wao walikuwa wenye dhambi zaidi kuliko watu wengine katika Yerusalemu?
5 Na! Phenav tumenđe, al ako ni irin tumen tare grehura, sa tumen gija ka meren.”
Hapana, mimi nasema, lakini kama msipotubu, ninyi nyote pia mtaangamia.
6 O Isus vaćarda lenđe kaja paramič: “Jekhe manuše sasa smokva sadime ano vinograd. Kana avilo te dičhol dal anda bijandipe, ni arakhlja pe late khanči.
Yesu aliwaambia mfano huu, “Mtu mmoja alikuwa na mtini umepandwa katika shamba lake na alikwenda kutafuta matunda juu yake lakini hakupata.
7 Tegani vaćarda e manušese savo ćerda bući ko vinograd: ‘Ak, trito berš sar avav te rodav bijandipe pi kaja smokva, al ni arakhav khanči. Čhin la! Sose te šućarol i phuv?’
Akamwambia mtunza bustani, 'Tazama, kwa miaka mitatu nimekuja na kujaribu kutafuta matunda kwenye mtini huu lakini sikupata. Uukate. Kwani ulete uharibifu wa ardhi?
8 Kova manuš lese phenda: ‘Gospodarona! Ačhav la vadži kava berš te hunav paše late thaj te čhudav laće gunoj.
Mtunza bustani akajibu na kusema, 'uache mwaka huu ili niupalilie na kuweka mbolea juu yake.
9 Šaj ka bijanol aver berš. Te na, ka čhine la.’”
Kama ukizaa matunda mwaka ujao, ni vema; lakini kama hautazaa, uukate!”'
10 Kana o Isus sikavola ani jekh sinagoga ko savato
Sasa Yesu alikuwa akifundisha katika mojawapo ya Masinagogi wakati wa Sabato.
11 sasa gothe jekh džuvli savi sasa banđardi dumesa taro bilačho duxo thaj sasa nasvali dešohto berš thaj naštine te ispravil pe.
Tazama, alikuwepo mama mmoja ambaye kwa miaka kumi na minane alikuwa na rohomchafu wa udhaifu, na yeye alikuwa amepinda na hana uwezo kabisa wa kusimama.
12 Kana o Isus dikhlja la, dija la vika thaj phenda laće: “Džuvlije! Oslobodimi san tare ćiro nasvalipe!”
Yesu alipomwona, alimwita, akamwambia, “Mama, umewekwa huru kutoka kwenye udhaifu wako.”
13 Čhuta pe late pe vasta, thaj voj sigate ispravisajli thaj hvalisada e Devle.
Akaweka mikono yake juu yake, na mara mwili wake akajinyoosha na akamtukuza Mungu.
14 Tegani o starešina tari sinagoga but holajlo sose o Isus sastarda ko savato thaj vaćarda e manušenđe: “Isi šov đive ano kurko ke save šaj ćerol pe bući! Aven ke gola đive te sastardon, a na ko savato!”
Lakini mkuu wa sinagogi alikasirika kwa sababu Yesu alikuwa amemponya siku ya Sabato. Hivyo mtawala akajibu akawambia makutano, “Kuna siku sita ambazo ni lazima kufanya kazi. Njoni kuponywa basi, si katika siku ya Sabato. '
15 O Gospod o Isus tegani phenda lenđe: “Dujemujenđe! Tumen li ni putren tumare guruve il e here tari jasla thaj ni inđaren le te pijol paj?
Bwana akamjibu na akasema, “wanafiki! Hakuna kila mmoja wenu kufungua punda wako au ng'ombe kutoka zizini na kuwaongoza kumpeleka kunywa siku ya Sabato?
16 A kala čheja tare Avraamesi kuštik sava o Satana phanglja ak dešohto berš, sose te na putrol pe ko savato?”
Hivyo pia binti wa Abrahamu, ambaye Shetani amemfunga kwa miaka kumi na minane, je haikumpasa kifungo chake kisifunguliwe siku ya sabato?”
17 Kana kava šunde, ladžajle savore save sesa protiv leste, al sa avere manuša sesa baxtale paše sa e šukar buća so o Isus ćerda.
Alipokuwa akisema maneno hayo, wale wote waliompinga waliona aibu, bali makutano wote wa wengine walishangilia kwa ajili ya mambo ya ajabu aliyotenda.
18 Tegani o Isus vaćarda: “Savo si o Carstvo e Devleso? Thaj sosa te uporediv le?
Yesu akasema, “Ufalme wa Mungu unafanana na nini, na naweza kuulinganisha na nini?
19 Vov si sar seme e gorušicako, savo lol o manuš thaj čhudol le ane piro vrt. Vov barol thaj ćerdol baro kaš thaj e čiriklja aven thaj ćeren pese gnezdura ane lese raja.”
Ni kama mbegu ya haradari aliyoitwaa mtu mmoja na kuipanda shambani mwake, na ikamea ikawa mti mkubwa, na ndege wa mbinguni wakajenga viota vyao katika matawi yake.
20 Thaj palem o Isus vaćarda: “Savo si o Carstvo e Devleso? Thaj sosa te uporediv le?
Tena akasema, “Niufananishe na nini ufalme wa Mungu?
21 Vov si sar kvasaco savo i džuvli dospil ani bari vangla aresa, sa dži kaj ni šukljol.”
Ni kama chachu ambayo mwanamke aliichukua na kuchanganyakwenye vipimo vitatu vya unga hata ukaumuka.”
22 Dok o Isus phirda pe dromesa ano Jerusalim, nakhlo maškare forura thaj maškare gava thaj sikavola e manušen.
Yesu alitembelea kila mji na kijiji njiani akielekea Yerusalemu na kuwafundisha.
23 Khoni pučlja le: “Gospode, dal samo zala ka aven spasime?” O Isus phenda lenđe:
Mtu mmoja akauliza, “Bwana, ni watu wachache tu watakaookolewa?” Hivyo akawaambia,
24 “Trudin tumen te den ko tesno vudar e neboso, golese kaj but džene, vaćarav tumenđe, ka manđen te den, al ni ka šaj.
“Jitahidi kuingia kwa kupitia mlango mwembamba, kwa sababu wengi watajaribu na hawataweza kuingia.
25 Kana o čherutno uštol thaj phandol e vudara tare piro čher, ka avol tumenđe but kasno. Tegani ka ačhen avral, ka čalaven ko vudar thaj ka den vika: ‘Gospode! Putar amenđe e vudara!’ Al vov ka vaćarol tumenđe: ‘Ni pindžarav tumen katar sen.’
Mara baada ya mmiliki wa nyumba kusimama na kufunga mlango, basi mtasimama nje na kupiga hodi mlangoni na kusema, Bwana, Bwana, tufungulie yeye atajibu na kuwaambia, siwajui ninyi wala mtokako.'
26 Tegani ka vaćaren: ‘Amen xaljam thaj piljam tusa thaj pe amare droma sikadan!’
Ndipo mtasema, Tulikula na kunywa mbele yako na wewe ulifundisha katika mitaa yetu.”
27 Al vov ka phenol: ‘Vaćarav tumenđe: Ni pindžarav tumen katar sen. Crden tumen mandar save bilačhipe ćeren!’
Lakini yeye atawajibu, `nawaambia, siwajui mtokako, ondokeni kwangu, ninyi watenda maovu!'
28 Gothe ka roven thaj ka ka škripin dandencar, kana ka dičhen e Avraame, e Isaako thaj e Jakove thaj sa e prorokuren ano Carstvo e Devleso, a tumen ka aven ikalde avral.
Kutakuwa na kilio na kusaga meno wakati mtakapowaona Abrahamu, Isaka, Yakobo na manabii wote katika ufalme wa Mungu, lakini ninyi wenyewe mumetupwa nje.
29 But džene ka aven taro istok thaj taro zapad, taro sever thaj taro jug thaj ka bešen pašo astali ano Carstvo e Devleso.
Watafika kutoka Mashariki, Magharibi, Kaskazini na Kusini, na kupumzika katika meza ya chakula cha jioni katika ufalme wa Mungu.
30 Thaj dikh, kola so si akana anglal odori ka aven empalal, a kola save si empalal odori ka aven emanglal.”
Na tambua hili, wa mwisho ni wa kwanza na wa kwanza atakuwa wa mwisho.”
31 Ane gova đive avile nesave fariseja te phenen e Isusese: “Iklji thaj dža akatar, golese so o caro o Irod manđol te mudarol tut!”
Muda mfupi baadaye, baadhi ya Mafarisayo walikuja na kumwambia, “Nenda na ondoka hapa kwa sababu Herode anataka kukuua.”
32 O Isus phenda lenđe: “Džan thaj vaćaren gole lisicaće: ‘Ak, ikalav e benđen thaj sastarav ađive thaj theara, a trito đive ka završiv.’
Yesu akasema, “Nendeni mkamwambie yule mbweha, `Tazama, ninawafukuza pepo na kufanya uponyaji leo na kesho, na siku ya tatu nitatimiza lengo langu.
33 Al ađive, theara thaj prektheara trubul te džav mingre dromesa, golese kaj o proroko našti mudardol avral taro Jerusalim.
Katika hali yoyote, ni muhimu kwa ajili yangu kuendelea leo, kesho, na siku iliyofuata, kwa vile haikubaliki kumuua nabii mbali na Yerusalemu.
34 Jerusalime, Jerusalime, tu savo mudare e prorokuren thaj čhude bara pe kola saven bičhalda o Dol tuće! Kozom droma mangljem te ćidav ćire čhavoren sar i khanji pe pujoren tale pe phaka, al ni mangljen!
Yerusalemu, Yerusalemu, nani anawaua manabii na kuwapiga mawe wale waliotumwa kwenu. Mara ngapi nimetaka kuwakusanya watoto wenu kama vile kuku anavyokusanya vifaranga vyake chini ya mbawa zake, lakini humkulitaka hili.
35 Ak, tumaro čher ka avol pusto. A me vaćarav tumenđe: Ni ka dičhen man sa dok ni vaćaren: ‘Blagoslovimo si kova savo avol ano alav e Gospodeso.’”
Tazama, nyumba yako imetelekezwa. Nami nawaambia, hamuwezi kuniona hata mtakaposema 'Amebarikiwa huyo ajaye kwa jina la Bwana.'”

< Luka 13 >