< Luka 4 >

1 A o Isus, pherdo e Svetone Duhoja, irinđa pe tari len Jordan; i oto Duho inele legardo ki pustinja,
Kisha, Yesu akiwa amejaa Roho Mtakatifu, alirudi kutoka Mto Jordani, na aliongozwa na Roho jangwani
2 kaj inele saranda dive iskušime e bengestar. I na halja ništa adala dive, a kad nakhle adala dive, tegani bokhalilo.
kwa siku arobaini, na huko alijaribiwa na Ibilisi. Wakati huo hakula chochote, na mwisho wa wakati huo alihisi njaa.
3 I o beng phenđa lese: “Te injan o Čhavo e Devlesoro, vaćer akale barese te ovel maro.”
Ibilisi akamwambia, “Kama wewe ni Mwana wa Mungu, liamru jiwe hili kuwa mkate.”
4 A o Isus phenđa lese: “Pisimei ko Sveto lil: ‘O manuš naka živini samo oto maro.’”
Yesu akamjibu, “Imeandikwa; 'mtu hataishi kwa mkate pekee.”
5 I o beng legarđa le ko učo than hem otojekhvar mothovđa lese sa o carstvija e phuvjakere,
Kisha Ibilisi alimwongoza juu kwenye kilele cha mlima, na akamwonyesha falme zote za dunia kwa muda mfupi.
6 i phenđa lese: “Tuće ka dav sa akava zoralipe hem i slava olengiri adalese soi maje dindi, i dava la kase me mangava.
Ibilisi akamwambia, “Nitakupa mamlaka ya kutawala falme hizi zote pamoja na fahari zake. Naweza kufanya hivyo kwa sababu vyote vimekabidhiwa kwangu nivitawale, na ninaweza kumpa yeyote nitakaye kumpa.
7 Adalese, te peljan ko kočija angla mande, sa ka ovel klo.”
Kwahiyo, kama utaniinamia na kuniabudu, vitu hivi vyote vitakuwa vyako.”
8 I o Isus phenđa lese: “Pisimei ko Sveto lil: ‘Per ko kočija samo e Gospodese, te Devlese, hem samo ole kande!’”
Lakini Yesu alijibu na kumwambia, “Imeandikwa, “lazima umwabudu Bwana Mungu wako, na lazima umtumikie Yeye peke yake.”
9 I o beng anđa le ko Jerusalim hem čhivđa le upro najučo than e Hramesoro hem phenđa lese: “Te injan o Čhavo e Devlesoro, frde tut akatar tele!
Baadaye Ibilisi alimwongoza Yesu hadi Yerusalemu na kumweka sehemu ya juu kabisa ya jengo la hekalu na kumwambia, “Kama wewe ni Mwana wa Mungu, jitupe chini kutoka hapa.
10 Adalese soi pisime: ‘Ka naredini ple anđelenđe te arakhen tut,
Kwa sababu imeandikwa, “Atawaagiza malaika zake wakutunze na kukulinda,
11 te akharen tut ko vasta te na khuve tut preja ko bar.’”
na watakuinua juu mikononi mwao ili kwamba usiumize miguu yako juu ya jiwe.”
12 O Isus phenđa lese: “Hem akavai phendo ko Sveto lil: ‘Ma kušin e Gospode, te Devle.’”
Yesu akijibu alimwambia, “Imenenwa, “usimjaribu Bwana Mungu wako.”
13 I kad završinđa đijekh kušnja, o beng cidinđa pe olestar đi nesavi aver prilika.
Ibilisi alipomaliza kumjaribu Yesu, alienda zake na kumwacha hadi wakati mwingine.
14 I o Isus irinđa pe ki regija Galileja ano zoralipe e Duhosoro, i šundilo o glaso olestar ko sa o krajo.
Kisha Yesu alirudi Galilaya kwa nguvu za Roho, na habari kumhusu yeye zikaenea na kusambaa katika mikoa jirani yote.
15 I sikavđa e manušen olenđe ano sinagoge hem inele pohvalime sarijendar.
Alifundisha katika masinagogi yao, na kila mmoja alimsifu.
16 I o Isus alo ki diz Nazaret kote barilo hem, palo plo adeti ko savato, đerdinđa ki sinagoga. Uštino te čitini,
Siku moja alikwenda Nazareti, mji ambao alilelewa na kukulia. Kama ilivyokuwa desturi yake aliingia kwenye sinagogi siku ya sabato, na alisimama kusoma maandiko.
17 a ine lese dindo o lil e prorokosoro e Isaijasoro. Ov phravđa o lil hem arakhlja o than kaj inele pisime:
Alikabidhiwa gombo la nabii Isaya, hivyo, alilifungua gombo na akatafuta sehemu iliyoandikwa,
18 “O Duhoi e Gospodesoro upra mande, adalese so pomazinđa man te vaćerav o šukar lafi e čororenđe. Bičhalđa man te proglasinav e phandlenđe da ka oven oslobodime, e kororenđe da ka irini pe lenđe o dikhiba, e mučimenđe da ka oven slobodna,
“Roho wa Bwana yuu juu yangu, kwa sababu alinitia mafuta kuhubiri habari njema kwa maskini. Amenituma kutangaza uhuru kwa wafungwa, na kuwafanya wasioona waweze kuona tena. Kuwaweka huru wale wanaogandamizwa,
19 te proglasinav o adžićerdo berš oti e Gospodesiri milost.”
kuutangaza mwaka ambao Bwana ataonesha wema wake.”
20 Tegani phandlja o lil, irinđa le e slugaste, i beštino te sikaj. I sare ani sinagoga dikhle ano leste.
Kisha akalifunga gombo, akamrudishia kiongozi wa sinagogi, na akaketi chini. Macho ya watu wote waliokuwa katika sinagogi yalimwangalia yeye.
21 A o Isus lelja te vaćeri lenđe: “Avdive pherdile akala lafija save šunđen tumare kanencar.”
Alianza kuzungumza nao akisema, “Leo andiko hili limetimizwa masikioni mwenu.”
22 I sare šukar vaćerde olestar hem inele zadivime oto šukar lafija save iklile lesere mujestar, i vaćerde: “Nane li ov e Josifesoro čhavo?”
Kila mmoja pale alishuhudia kile alichokisema Yesu, na wengi miongoni mwao walishangazwa na maneno ya hekima yaliyokuwa yakitoka katika kinywa chake. Walikuwa wakisema, “huyu ni kijana tu wa Yusufu, siyo hivyo?”
23 A ov phenđa lenđe: “Čače ka vaćeren maje akaja poslovica: ‘Doktore, sasljar korkore tut!’ So šunđam so ulo ano Kafarnaum, ćer hem akate, ano to than kaj bariljan.”
Yesu akawaambia, “hakika mtasema methali hii kwangu, “Tabibu, jiponye mwenyewe. Chochote tulichosikia ukifanya Kapernaumu, kifanye hapa pia kijijini kwako.”
24 I phenđa: “Čače, vaćerava tumenđe, nijekh proroko nane prihvatime ano plo than kaj barilo.
Pia alisema, “hakika nawaambia ninyi, hakuna nabii anayekubalika katika nchi yake.”
25 I čače, vaćerava tumenđe, inele but udovice ano Izrael e Ilijase ano vreme, kad na pelo bršin trin berš hem šov masek i ulo baro bokhalipe ki sa i phuv.
Lakini nawaambia ninyi kweli kwamba kulikuwa na wajane wengi Israel katika kipindi cha Eliya, wakati mbingu ilipofungwa kusiwe na nvua kwa miaka mitatu na nusu, wakati kulipokuwa na njaa kubwa katika nchi yote.
26 I nijekhaće olendar na inele bičhaldo o Ilija sem e udovicaće ki e abanđijengiri diz Sarepta uzalo Sidon.
Lakini Eliya hakutumwa kwa yeyote mmoja wao, lakini kwa mjane mmoja tu aliyeishi Sarepta karibu na mji wa Sidoni.
27 I inele but gubavci ano Izrael ano vreme e prorokosoro e Jelisejesoro, i nijekh olendar na inele sasljardo, sem o Neman o Sirijco.”
Pia, kulikuwa na wakoma wengi Israel katika kipindi cha Elisha nabii, lakini hakuna hatammoja wao aliyeponywa isipokuwa Naamani mtu wa Siria.
28 I sare ani sinagoga pherdile holi kad šunde adava.
Watu wote ndani ya sinagogi walijawa na gadhabu walipoyasikia haya yote.
29 I uštine hem ispudinde le tari diz, i legarde le upre ko brego upro savo lengiri diz inele vazdime te šaj frden le odupral.
Walisimama na kumsukumizia nje ya mji, na kumwongoza mpaka kwenye ukingo wa mlima wa mji ambapo mji wao ulijengwa juu yake, ili waweze kumtupa chini.
30 Ali o Isus nakhino maškar olende hem dželo.
Lakini alipita salama katikati yao na akaenda zake.
31 I o Isus huljilo ani e galilejakiri diz Kafarnaum, i sikavđa e manušen ko savato.
Kisha alitelemkia Kapernaumu, katika mji wa Galilaya. Sabato moja alikuwa akifundisha watu ndani ya sinagogi.
32 I on inele zadivime lesere sikavibnaja adalese so lesoro vaćeriba inele ano autoritet.
Walishangazwa na mafundisho yake, kwasababu alifundisha kwa mamlaka.
33 A adari, ani sinagoga, inele manuš opsednutime e demonesere bišukare duhoja hem oto sa o glaso vičinđa:
Sasa siku hiyo ndani ya sinagogi, kulikuwa na mtu aliyekuwa na roho ya pepo mchafu, na alilia kwa sauti ya juu,
34 “Oh, so mangeja amendar, Isuse Nazarećanine? Aljan li te uništine amen? Džanav ko tu injan: o Sveco e Devlesoro.”
“Tuna nini nawe, Yesu wa Nazareti? Umekuja kutuangamiza? Ninajua wewe ni nani! Wewe ni mtakatifu wa Mungu!”
35 Tegani o Isus ukorinđa le: “Phand to muj hem ikljov olestar!” I o demoni frdinđa le ki phuv anglo sarijende, iklilo olestar hem ni hari na dukhavđa le.
Yesu alimkemea pepo akisema, “Nyamaza kimya, na umtoke mtu huyu!” Pepo yule alipomtupa mtu yule chini katikati yao, alimtoka yule mtu bila ya kumsababishia maumivu yoyote.
36 I sare but začudinde pe hem vaćerde jekh avereja ađahar: “Savo li vaćeriba adava da ano autoritet hem ano zoralipe naredini e bišukare duhenđe te ikljon i onda ikljona?”
Watu wote walishangaa, na waliendelea kuzungumzia jambo hilo kila mmoja na mwenzake. Wakasema, “Ni maneno ya aina gani haya?” Anawaamuru roho wachafu kwa mamlaka na nguvu na watondoka.”
37 I o glaso e Isusestar šundilo ko sa o pašutne thana.
Hivyo, habari juu ya Yesu zilienea kila sehemu katika maeneo yanayozunguka mkoa huo.
38 O Isus iklilo tari sinagoga hem dželo ko čher e Simonesoro. E Simonesere sasuja inele bari jag. I on zamolinde le te sasljari la.
Kisha Yesu aliondoka katika mji huo na akaingia katika nyumba ya Simoni. Sasa, mama mkwe wake na Simoni alikuwa anaumwa homa kali, na wakamsihi kwa niaba yake.
39 I o Isus terdino uzalo late, naredinđa e jagaće hem oj muklja la. I odmah uštini hem lelja te poslužini len.
Hivyo, Yesu alimsogelea, akaikemea ile homa na ikamwachia. Ghafla alisimama na akaanza kuwatumikia.
40 Kad o kham huljilo, sarijen kolen inele namborme manuša oto razna nambormipa, ande len koro Isus. A ov upra đijekheste olendar čhivđa ple vasta hem sasljarđa len.
Jua lilipokuwa likizama, watu walimletea Yesu kila mmoja aliyekuwa mgonjwa wa maradhi ya aina mbalimbali. Aliweka mikono yake juu ya kila mgonjwa na akawaponya wote.
41 A butendar da iklile o demonja vičindoj hem vaćerindoj: “Tu injan o Čhavo e Devlesoro!” O Isus pretinđa len hem na muklja lenđe te vaćeren adalese so džande dai ov o Hrist.
Mapepo pia yaliwatoka wengi wao yakilia kwa sauti na kusema, “Wewe ni mwana wa Mungu!” Yesu aliwakemea mapepo na hakuwaruhusu waongee, kwa sababu walijua kwamba yeye alikuwa ni Kristo.
42 Kad dislilo, o Isus iklilo tari diz hem dželo ko jekh čučo than. I but džene rodinde le. Ale đi leste hem na mukena le ine te džalfse olendar.
Wakati kulipopambazuka, alienda eneo lisilokuwa na watu. Makutano ya watu walikuwa wakimtafuta na wakaja katika eneo alilokuwapo. Walijaribu kumzuia asiende mbali na wao.
43 A ov phenđa lenđe: “I ko avera dizja valjani te vaćerav o šukar lafi oto carstvo e Devlesoro adalese so zako adava injum bičhaldo.”
Lakini akawaambia, “Lazima pia nihubiri habari njema za ufalme wa Mungu katika miji mingine mingi, kwa kuwa hii ndiyo sababu nilitumwa hapa.”
44 I o Isus nastavinđa te propovedini ano e judejakere sinagoge.
Kisha aliendelea kuhubiri ndani ya masinagogi katika uyahudi wote.

< Luka 4 >