< Romanos 9 >

1 Eu digo a verdade em Cristo. Não estou mentindo, minha consciência testemunhando comigo no Espírito Santo
Nasema ukweli mtupu; nimeungana na Kristo nami sisemi uongo. Dhamiri yangu ikiongozwa na Roho Mtakatifu inanithibitishia jambo hili pia.
2 que tenho grande tristeza e incessante dor em meu coração.
Nataka kusema hivi: nina huzuni kubwa na maumivu yasiyopimika moyoni mwangu
3 Pois eu mesmo poderia desejar ser amaldiçoado por Cristo por meus irmãos, meus parentes segundo a carne
kwa ajili ya watu wangu, walio damu moja nami! Kama ingekuwa kwa faida yao, ningekuwa radhi kulaaniwa na kutengwa na Kristo.
4 que são israelitas; de quem é a adoção, a glória, as alianças, a entrega da lei, o serviço e as promessas;
Hao ndio watu wa Israeli ambao Mungu aliwateua wawe watoto wake, akawashirikisha utukufu wake; aliagana nao, akawapa Sheria yake, imani ya kweli na ahadi zake.
5 de quem são os pais, e de quem é Cristo quanto à carne, que é sobre todos, Deus, bendito para sempre. Amém. (aiōn g165)
Wao ni wajukuu wa mababu, naye Kristo, kadiri ya ubinadamu wake, ametoka katika ukoo wao. Mungu atawalaye juu ya yote, na atukuzwe milele! Amina. (aiōn g165)
6 Mas não é como se a palavra de Deus tivesse dado em nada. Pois nem todos eles são de Israel.
Sisemi kwamba ahadi ya Mungu imebatilika; maana si watu wote wa Israeli ni wateule wa Mungu.
7 Nem, porque são descendentes de Abraão, são todos crianças. Mas, “sua descendência será contabilizada como de Isaac”.
Wala, si wazawa wote wa Abrahamu ni watoto wake wa kweli. Ila, kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: “Wazao wake watatokana na Isaka.”
8 Ou seja, não são os filhos da carne que são filhos de Deus, mas os filhos da promessa são contados como herdeiros.
Nido kusema, wale waliozaliwa kimaumbile ndio watoto wa Mungu, bali wale waliozaliwa kutokana na ahadi ya Mungu ndio watakaoitwa watoto wake.
9 Pois esta é uma palavra de promessa: “Na hora marcada eu virei, e Sara terá um filho”.
Maana ahadi yenyewe ni hii: “Nitakujia wakati maalum, naye Sara atapata mtoto.”
10 Não somente assim, mas Rebeca também concebida por um, por nosso pai Isaac.
Tena si hayo tu ila pia Rebeka naye alipata mapacha kwa baba mmoja, yaani Isaka, babu yetu.
11 Por ainda não ter nascido, nem ter feito nada de bom ou de ruim, para que o propósito de Deus, segundo a eleição, pudesse permanecer, não de obras, mas daquele que chama,
Lakini, ili Mungu aonekane kwamba anao uhuru wa kuchagua, hata kabla wale ndugu hawajazaliwa na kabla hawajaweza kupambanua jema na baya,
12 foi-lhe dito: “O mais velho servirá aos mais novos”.
Rebeka aliambiwa kwamba yule mtoto wa kwanza atamtumikia yule wa nyuma. Hivyo uchaguzi wa Mungu unategemea jinsi anavyoita mwenyewe, na si matendo ya binadamu.
13 Mesmo como está escrito, “Jacob eu amava, mas Esaú eu odiava”.
Kama Maandiko Matakatifu yasemavyo: “Yakobo nilimpenda, lakini Esau nilimchukia.”
14 O que devemos dizer então? Existe injustiça com Deus? Que nunca seja!
Basi, tuseme nini? Je, Mungu amekosa haki? Hata kidogo!
15 Pois ele disse a Moisés: “Terei piedade de quem tenho piedade, e terei compaixão de quem tenho compaixão”.
Maana alimwambia Mose: “Nitamhurumia mtu yeyote ninayetaka kumhurumia; nitamwonea huruma mtu yeyote ninayetaka.”
16 Então não é dele que quer, nem daquele que corre, mas de Deus que tem misericórdia.
Kwa hiyo, yote hutegemea huruma ya Mungu, na si bidii au mapenzi ya mtu.
17 Pois a Escritura diz ao Faraó: “Por este mesmo propósito vos fiz subir, para mostrar em vós meu poder, e para que meu nome seja proclamado em toda a terra”.
Maana Maandiko Matakatifu yasema hivi kwa Farao: “Nilikufanya mfalme ili kwa njia yako, uwezo wangu ujulikane, na jina langu litangazwe popote duniani.”
18 Portanto, ele tem misericórdia de quem deseja e endurece quem deseja.
Ni wazi, basi, kwamba Mungu humhurumia yeyote anayetaka kumhurumia, na akipenda kumfanya mtu awe mkaidi, hufanya hivyo.
19 Você me dirá então: “Por que ele ainda encontra falhas? Para quem resiste à sua vontade”?
Labda utaniuliza: “Ikiwa mambo yako hivyo, Mungu anawezaje kumlaumu mtu? Nani awezaye kuyapinga mapenzi yake?”
20 Mas de fato, ó homem, quem é você para responder contra Deus? Será que a coisa formada lhe perguntará quem a formou: “Por que você me fez assim?”
Lakini, ewe binadamu, u nani hata uthubutu kumhoji Mungu? Je, chungu chaweza kumwuliza mfinyanzi wake: “Kwa nini umenitengeneza namna hii?”
21 Ou não tem o oleiro um direito sobre o barro, do mesmo caroço para fazer de uma parte um vaso para honra, e de outra para desonra?
Mfinyanzi anaweza kuutumia udongo apendavyo na kufinyanga vyungu viwili kwa udongo uleule; kimoja kwa matumizi ya heshima, na kingine kwa matumizi ya kawaida.
22 E se Deus, disposto a mostrar sua ira e a fazer conhecer seu poder, suportasse com muita paciência vasos de ira preparados para a destruição,
Hivyo ndivyo ilivyo kwa Mungu. Alitaka kuonyesha ghadhabu yake na kujulisha uwezo wake, Basi, alikuwa na saburi sana, akiwavumilia wale ambao walikuwa lengo la ghadhabu yake, ambao walistahili kuangamizwa.
23 e que pudesse fazer conhecer as riquezas de sua glória em vasos de misericórdia, que ele preparou de antemão para a glória -
Alitaka pia kudhihirisha wingi wa utukufu wake ambao alitumiminia sisi tulio lengo la huruma yake; sisi ambao alikwisha kututayarisha kuupokea utukufu wake.
24 nós, que ele também chamou, não só dos judeus, mas também dos gentios?
Maana sisi ndio hao aliowaita, si tu kutoka miongoni mwa Wayahudi bali pia kutoka kwa watu wa mataifa mengine.
25 Como ele também diz em Oséias, “Vou chamá-los de 'meu povo', que não eram meu povo; e sua 'amada', que não era amada”.
Maana ndivyo asemavyo katika kitabu cha Hosea: “Wale waliokuwa Si watu wangu nitawaita: Watu wangu! Naye Sikupendi ataitwa: Mpenzi wangu!
26 “Será que no lugar onde foi dito a eles, “Vocês não são meu povo”. lá eles serão chamados 'filhos do Deus vivo'”.
Na pale walipoambiwa: Ninyi si wangu hapo wataitwa: Watoto wa Mungu hai.”
27 Isaías chora a respeito de Israel, “Se o número dos filhos de Israel for como a areia do mar, é o remanescente que será salvo;
Naye nabii Isaya, kuhusu Israeli anapaaza sauti: “Hata kama watoto wa Israeli ni wengi kama mchanga wa pwani, ni wachache tu watakaookolewa;
28 pois ele terminará o trabalho e o encurtará em retidão, porque o Senhor fará um curto trabalho sobre a terra”.
maana, Bwana ataitekeleza upesi hukumu yake kamili juu ya ulimwengu wote.”
29 Como Isaías já disse antes, “A menos que o Senhor dos Exércitos nos tivesse deixado uma semente, teríamos nos tornado como Sodoma, e teria sido feito como Gomorra”.
Ni kama Isaya alivyosema hapo awali: “Kama Bwana Mwenye Nguvu asingalituachia baadhi ya watoto wa Israeli, tungalikwisha kuwa kama Sodoma, tungalikwisha kuwa ma Gomora.”
30 O que devemos dizer então? Que os gentios, que não seguiram a retidão, alcançaram a retidão, mesmo a retidão que é da fé;
Basi, tuseme nini? Ni hivi: watu wa mataifa ambao hawakutafuta kukubaliwa kuwa waadilifu, wamekubaliwa kuwa waadilifu kwa njia ya imani,
31 mas Israel, seguindo uma lei de retidão, não chegou à lei de retidão.
hali watu wa Israeli waliokuwa wakitafuta Sheria iletayo kukubaliwa kuwa waadilifu, hawakuipata.
32 Por quê? Porque não a buscaram pela fé, mas como que por obras da lei. Eles tropeçaram na pedra de tropeço,
Kwa nini? Kwa sababu walitegemea matendo yao badala ya kutegemea imani. Walijikwaa juu ya jiwe la kujikwaa
33 mesmo como está escrito, “Eis que deposito em Sião uma pedra de tropeço e uma rocha de ofensa”; e ninguém que acredite nele ficará desapontado”.
kama yesemavyo Maandiko Matakatifu: “Tazama! Naweka huko Sioni jiwe likwazalo, mwamba utakaowafanya watu waanguke. Mtu atakayemwamini yeye aliye hilo jiwe, hataaibishwa!”

< Romanos 9 >