< Lucas 4 >

1 Jesus, cheio do Espírito Santo, voltou do Jordão e foi conduzido pelo Espírito ao deserto
Kisha, Yesu akiwa amejaa Roho Mtakatifu, alirudi kutoka Mto Jordani, na aliongozwa na Roho jangwani
2 durante quarenta dias, sendo tentado pelo diabo. Ele não comeu nada naqueles dias. Depois, quando foram completados, ele estava com fome.
kwa siku arobaini, na huko alijaribiwa na Ibilisi. Wakati huo hakula chochote, na mwisho wa wakati huo alihisi njaa.
3 O diabo disse-lhe: “Se você é o Filho de Deus, mande que esta pedra se torne pão”.
Ibilisi akamwambia, “Kama wewe ni Mwana wa Mungu, liamru jiwe hili kuwa mkate.”
4 Jesus respondeu-lhe, dizendo: “Está escrito: 'O homem não viverá só de pão, mas de toda palavra de Deus'”.
Yesu akamjibu, “Imeandikwa; 'mtu hataishi kwa mkate pekee.”
5 O diabo, levando-o para cima de uma alta montanha, mostrou-lhe todos os reinos do mundo em um momento de tempo.
Kisha Ibilisi alimwongoza juu kwenye kilele cha mlima, na akamwonyesha falme zote za dunia kwa muda mfupi.
6 O diabo lhe disse: “Eu lhe darei toda esta autoridade e sua glória, pois ela me foi entregue, e eu a dou a quem eu quiser”.
Ibilisi akamwambia, “Nitakupa mamlaka ya kutawala falme hizi zote pamoja na fahari zake. Naweza kufanya hivyo kwa sababu vyote vimekabidhiwa kwangu nivitawale, na ninaweza kumpa yeyote nitakaye kumpa.
7 Portanto, se vós adorardes diante de mim, tudo será vosso”.
Kwahiyo, kama utaniinamia na kuniabudu, vitu hivi vyote vitakuwa vyako.”
8 Jesus respondeu-lhe: “Vai para trás de mim, Satanás! Pois está escrito: 'Adorarás ao Senhor teu Deus, e só a ele servirás'”.
Lakini Yesu alijibu na kumwambia, “Imeandikwa, “lazima umwabudu Bwana Mungu wako, na lazima umtumikie Yeye peke yake.”
9 Ele o levou a Jerusalém e o colocou no pináculo do templo, e lhe disse: “Se você é o Filho de Deus, atire-se daqui para baixo,
Baadaye Ibilisi alimwongoza Yesu hadi Yerusalemu na kumweka sehemu ya juu kabisa ya jengo la hekalu na kumwambia, “Kama wewe ni Mwana wa Mungu, jitupe chini kutoka hapa.
10 pois está escrito, “Ele colocará seus anjos a seu cargo, para guardá-lo;
Kwa sababu imeandikwa, “Atawaagiza malaika zake wakutunze na kukulinda,
11 e, “Em suas mãos eles o levarão para cima, para não correr o pé contra uma pedra””.
na watakuinua juu mikononi mwao ili kwamba usiumize miguu yako juu ya jiwe.”
12 Jesus, respondendo, disse-lhe: “Foi dito: 'Não tentarás o Senhor teu Deus'”.
Yesu akijibu alimwambia, “Imenenwa, “usimjaribu Bwana Mungu wako.”
13 Quando o diabo completou cada tentação, ele se afastou dele até outro momento.
Ibilisi alipomaliza kumjaribu Yesu, alienda zake na kumwacha hadi wakati mwingine.
14 Jesus voltou com o poder do Espírito para a Galiléia, e as notícias sobre ele se espalharam por toda a área ao redor.
Kisha Yesu alirudi Galilaya kwa nguvu za Roho, na habari kumhusu yeye zikaenea na kusambaa katika mikoa jirani yote.
15 Ele ensinou em suas sinagogas, sendo glorificado por todos.
Alifundisha katika masinagogi yao, na kila mmoja alimsifu.
16 Ele veio para Nazaré, onde tinha sido criado. Ele entrou, como era seu costume, na sinagoga no dia de sábado, e levantou-se para ler.
Siku moja alikwenda Nazareti, mji ambao alilelewa na kukulia. Kama ilivyokuwa desturi yake aliingia kwenye sinagogi siku ya sabato, na alisimama kusoma maandiko.
17 Foi-lhe entregue o livro do profeta Isaías. Ele abriu o livro e encontrou o lugar onde ele foi escrito,
Alikabidhiwa gombo la nabii Isaya, hivyo, alilifungua gombo na akatafuta sehemu iliyoandikwa,
18 “O Espírito do Senhor está sobre mim”, porque ele me ungiu para pregar boas notícias aos pobres. Ele me enviou para curar o coração partido, para proclamar a libertação aos cativos, recuperação da visão para os cegos, para entregar aqueles que são esmagados,
“Roho wa Bwana yuu juu yangu, kwa sababu alinitia mafuta kuhubiri habari njema kwa maskini. Amenituma kutangaza uhuru kwa wafungwa, na kuwafanya wasioona waweze kuona tena. Kuwaweka huru wale wanaogandamizwa,
19 e para proclamar o ano aceitável do Senhor”.
kuutangaza mwaka ambao Bwana ataonesha wema wake.”
20 Ele fechou o livro, devolveu-o ao atendente e sentou-se. Os olhos de todos na sinagoga estavam fixos nele.
Kisha akalifunga gombo, akamrudishia kiongozi wa sinagogi, na akaketi chini. Macho ya watu wote waliokuwa katika sinagogi yalimwangalia yeye.
21 Ele começou a dizer-lhes: “Hoje, esta Escritura foi cumprida em sua audiência”.
Alianza kuzungumza nao akisema, “Leo andiko hili limetimizwa masikioni mwenu.”
22 Todos testemunharam sobre ele e se perguntaram sobre as palavras graciosas que saíam de sua boca; e disseram: “Este não é o filho de José?”.
Kila mmoja pale alishuhudia kile alichokisema Yesu, na wengi miongoni mwao walishangazwa na maneno ya hekima yaliyokuwa yakitoka katika kinywa chake. Walikuwa wakisema, “huyu ni kijana tu wa Yusufu, siyo hivyo?”
23 Ele disse-lhes: “Sem dúvida, vocês me dirão este provérbio: 'Médico, cure-se! O que quer que tenhamos ouvido fazer em Cafarnaum, faça também aqui, em sua cidade natal”.
Yesu akawaambia, “hakika mtasema methali hii kwangu, “Tabibu, jiponye mwenyewe. Chochote tulichosikia ukifanya Kapernaumu, kifanye hapa pia kijijini kwako.”
24 Ele disse: “Certamente, nenhum profeta é aceitável em sua cidade natal”.
Pia alisema, “hakika nawaambia ninyi, hakuna nabii anayekubalika katika nchi yake.”
25 Mas em verdade vos digo, havia muitas viúvas em Israel nos dias de Elias, quando o céu estava fechado três anos e seis meses, quando uma grande fome invadiu toda a terra.
Lakini nawaambia ninyi kweli kwamba kulikuwa na wajane wengi Israel katika kipindi cha Eliya, wakati mbingu ilipofungwa kusiwe na nvua kwa miaka mitatu na nusu, wakati kulipokuwa na njaa kubwa katika nchi yote.
26 Elias não foi enviado a nenhuma delas, exceto a Zarephath, na terra de Sidon, a uma mulher que era viúva.
Lakini Eliya hakutumwa kwa yeyote mmoja wao, lakini kwa mjane mmoja tu aliyeishi Sarepta karibu na mji wa Sidoni.
27 Havia muitos leprosos em Israel no tempo do profeta Eliseu, mas nenhum deles foi limpo, exceto Naaman, o sírio”.
Pia, kulikuwa na wakoma wengi Israel katika kipindi cha Elisha nabii, lakini hakuna hatammoja wao aliyeponywa isipokuwa Naamani mtu wa Siria.
28 Todos eles estavam cheios de ira na sinagoga quando ouviram estas coisas.
Watu wote ndani ya sinagogi walijawa na gadhabu walipoyasikia haya yote.
29 Eles se levantaram, expulsaram-no da cidade e o levaram para o topo da colina onde sua cidade foi construída, para que o jogassem do penhasco.
Walisimama na kumsukumizia nje ya mji, na kumwongoza mpaka kwenye ukingo wa mlima wa mji ambapo mji wao ulijengwa juu yake, ili waweze kumtupa chini.
30 Mas ele, passando pelo meio deles, seguiu seu caminho.
Lakini alipita salama katikati yao na akaenda zake.
31 Ele veio para Cafarnaum, uma cidade da Galiléia. Ele os ensinava no dia de sábado,
Kisha alitelemkia Kapernaumu, katika mji wa Galilaya. Sabato moja alikuwa akifundisha watu ndani ya sinagogi.
32 e eles ficaram surpresos com seu ensinamento, pois sua palavra era com autoridade.
Walishangazwa na mafundisho yake, kwasababu alifundisha kwa mamlaka.
33 Na sinagoga havia um homem que tinha o espírito de um demônio impuro; e ele gritou com voz alta,
Sasa siku hiyo ndani ya sinagogi, kulikuwa na mtu aliyekuwa na roho ya pepo mchafu, na alilia kwa sauti ya juu,
34 saying, “Ah! o que temos a ver com você, Jesus de Nazaré? Você veio para nos destruir? Eu sei quem você é: o Santo de Deus”!
“Tuna nini nawe, Yesu wa Nazareti? Umekuja kutuangamiza? Ninajua wewe ni nani! Wewe ni mtakatifu wa Mungu!”
35 Jesus o repreendeu, dizendo: “Silêncio e saia dele”! Quando o demônio o jogou no meio deles, ele saiu dele, não lhe tendo feito nenhum mal.
Yesu alimkemea pepo akisema, “Nyamaza kimya, na umtoke mtu huyu!” Pepo yule alipomtupa mtu yule chini katikati yao, alimtoka yule mtu bila ya kumsababishia maumivu yoyote.
36 Amazement veio sobre todos e eles falaram juntos, um com o outro, dizendo: “Que palavra é esta? Pois com autoridade e poder ele comanda os espíritos impuros, e eles saem”!
Watu wote walishangaa, na waliendelea kuzungumzia jambo hilo kila mmoja na mwenzake. Wakasema, “Ni maneno ya aina gani haya?” Anawaamuru roho wachafu kwa mamlaka na nguvu na watondoka.”
37 News sobre ele saiu em todos os lugares da região ao seu redor.
Hivyo, habari juu ya Yesu zilienea kila sehemu katika maeneo yanayozunguka mkoa huo.
38 Ele se levantou da sinagoga e entrou na casa de Simon. A sogra de Simon estava aflita com uma grande febre, e eles lhe imploraram que a ajudasse.
Kisha Yesu aliondoka katika mji huo na akaingia katika nyumba ya Simoni. Sasa, mama mkwe wake na Simoni alikuwa anaumwa homa kali, na wakamsihi kwa niaba yake.
39 Ele ficou em cima dela e repreendeu a febre, que a deixou. Imediatamente ela se levantou e os serviu.
Hivyo, Yesu alimsogelea, akaikemea ile homa na ikamwachia. Ghafla alisimama na akaanza kuwatumikia.
40 Quando o sol se punha, todos aqueles que tinham alguma enfermidade com várias doenças lhe trouxeram; e ele impôs suas mãos sobre cada uma delas, e as curou.
Jua lilipokuwa likizama, watu walimletea Yesu kila mmoja aliyekuwa mgonjwa wa maradhi ya aina mbalimbali. Aliweka mikono yake juu ya kila mgonjwa na akawaponya wote.
41 Demônios também saíram de muitos, gritando e dizendo: “Você é o Cristo, o Filho de Deus”! Reprimindo-os, ele não lhes permitiu falar, porque eles sabiam que ele era o Cristo.
Mapepo pia yaliwatoka wengi wao yakilia kwa sauti na kusema, “Wewe ni mwana wa Mungu!” Yesu aliwakemea mapepo na hakuwaruhusu waongee, kwa sababu walijua kwamba yeye alikuwa ni Kristo.
42 Quando já era dia, ele partiu e foi para um lugar desabitado e a multidão o procurou, veio até ele e o agarrou, para que ele não se afastasse deles.
Wakati kulipopambazuka, alienda eneo lisilokuwa na watu. Makutano ya watu walikuwa wakimtafuta na wakaja katika eneo alilokuwapo. Walijaribu kumzuia asiende mbali na wao.
43 Mas ele lhes disse: “Eu devo pregar a boa nova do Reino de Deus também para as outras cidades”. Por esta razão, fui enviado”.
Lakini akawaambia, “Lazima pia nihubiri habari njema za ufalme wa Mungu katika miji mingine mingi, kwa kuwa hii ndiyo sababu nilitumwa hapa.”
44 Ele estava pregando nas sinagogas da Galiléia.
Kisha aliendelea kuhubiri ndani ya masinagogi katika uyahudi wote.

< Lucas 4 >