< Oséias 13 >

1 Quando Ephraim falava, tremia-se; foi exalçado em Israel; mas quando se fez culpado em Baal, então morreu.
Efraimu alipozungumza, kulikuwa na tetemeko. Alijikuza katika Israeli, lakini akawa na hatia kwa sababu ya ibada ya Baali, naye akafa.
2 E agora acumularam pecados sobre pecados, e da sua prata fizeram uma imagem de fundição, ídolos segundo o seu entendimento, que todos são obra de artífices, dos quais dizem: Os homens que sacrificam beijem os bezerros.
Sasa wanafanya dhambi zaidi na zaidi. Wanatengeneza sanamu za chuma kutoka kwenye fedha zao, sanamu kwa kadiri ya ufanisi wao, zote ni kazi ya mafundi. Watu wanasema juu yao, 'Watu hawa watoao dhabihu na kumbusu ndama.'
3 Por isso serão como a nuvem de manhã, e como orvalho da madrugada, que passa: como folhelho que a tempestade lança da eira, e como o fumo da chaminé.
Kwa hiyo watakuwa kama mawingu ya asubuhi, kama umande unaoondoka mapema, kama makapi yanayotokana na upepo kutoka kwenye sakafu, na kama moshi utokao kwenye bomba.
4 Eu pois sou o Senhor teu Deus desde a terra do Egito; portanto não reconhecerás outro Deus fora de mim, porque não há Salvador senão eu.
Lakini mimi ndimi Bwana, Mungu weko, tangu nchi ya Misri. Hutamjua Mungu mwingine bali mimi; wala zaidi yangu, hakuna mkombozi mwingine.
5 Eu te conheci no deserto, na terra mui seca.
Nilikujua jangwani, katika nchi yenye kame.
6 Depois eles se fartaram à proporção do seu pasto; estando pois fartos, ensoberbeceu-se o seu coração, por isso se esqueceram de mim.
Wakati ulipokuwa na malisho, ulishiba; na wakati uliposhiba, moyo wako ukainuliwa. Kwa sababu hiyo umenisahau.
7 Portanto serei para eles como leão; como leopardo espiarei no caminho.
Nitakuwa kama simba; kama chui nitaangalia kando ya njia.
8 Como urso que tem perdido seus filhos, os encontrarei, lhes romperei as teias do seu coração, e ali os devorarei como leão; as feras do campo os despedaçarão.
Nitawaangamiza kama dubu aliyenyang'anywa watoto wake. Nami nitararua vifua vyao, na huko nitawaangamiza kama simba, kama vile mnyama wa mwitu atakayerarua vipande vipande.
9 Isso te lançou a perder, ó Israel, que te rebelaste contra mim, a saber, contra a tua ajuda.
Nitawaangamiza, Israeli; nani atakayekusaidia?
10 Onde está agora o teu rei, para que te guarde em todas as tuas cidades? e os teus juízes, dos quais disseste: Dá-me rei e príncipes?
Mfalme wako yuko wapi, ili akuokoe katika miji yako yote? Wako wapi wakuu, ambao kwao umeniambia hivi, 'Nipe mfalme na wakuu'?
11 Dei-te um rei na minha ira, e to tirarei no meu furor.
Nimekupa mfalme kwa hasira yangu, nikamchukua kwa ghadhabu yangu.
12 A iniquidade de Ephraim está atada, o seu pecado está entesourado.
Uovu wa Efraimu umehifadhiwa; hatia yake imehifadhiwa.
13 Dores de mulher de parto lhe virão: ele é um filho insensato: porque não permanece o seu tempo na paridura.
Atakuwa na uchungu wa kujifungua, lakini ni mwana mjinga, kwa maana wakati wa kuzaliwa, hatatoka tumboni.
14 Eu pois os remirei da violência do inferno, e os resgatarei da morte: onde estão, ó morte, as tuas pestes? onde está ó inferno, a tua perdição? o arrependimento será escondido de meus olhos. (Sheol h7585)
Je, nitawaokoa na mkono wa kaburi? Je, nitawaokoa na kifo? Ewe Mauti yako wapi mapigo yako? Ewe kaburi kuko wapi kuharibu kwako? Huruma itafichwa na macho yangu. (Sheol h7585)
15 Ainda que ele dê fruto entre os irmãos, virá o vento leste, vento do Senhor, subindo do deserto, e secar-se-á a sua veia, e secar-se-á a sua fonte: ele saqueará o tesouro de todos os vasos desejáveis.
Ingawa Efraimu anafanikiwa kati ya ndugu zake, upepo wa mashariki utakuja; upepo wa Bwana utapiga kutoka jangwani. Kijito cha maji cha Efraimu kitauka, na kisima chake hakitakuwa na maji. Adui yake atapora ghala lake la kila kitu cha thamani.
16 Samaria virá a ser deserta, porque se rebelou contra o seu Deus: cairão à espada, seus filhos serão despedaçados, e as suas grávidas serão fendidas pelo meio.
Samaria itakuwa na hatia, kwa sababu amemuasi dhidi ya Mungu wake. Wataanguka kwa upanga; watoto wao wadogo watavunjwa, na wanawake wao wajawazito watatambuliwa wazi.

< Oséias 13 >