< Salmos 26 >

1 Julga-me, Senhor, pois tenho andado em minha sinceridade; tenho confiado tambem no Senhor; não vacillarei.
Unihukumu mimi, Yahwe, kwa kuwa nimeenenda katika uadilifu; nimeamini katika Yahwe bila kusita.
2 Examina-me, Senhor, e prova-me: esquadrinha os meus rins e o meu coração.
Unichunguze, Yahwe, na unijaribu; uujaribu usafi wa sehemu zangu za ndani na moyoni mwangu!
3 Porque a tua benignidade está diante dos meus olhos; e tenho andado na tua verdade.
Kwa maana uaminifu wa agano lako uko mbele ya macho yangu, na mwenendo wangu ni katika uaminifu wako.
4 Não me tenho assentado com homens vãos, nem converso com os homens dissimulados.
Mimi sichangamani na watu waovu, wala sichangamani na watu wanafiki.
5 Tenho aborrecido a congregação de malfeitores; nem me ajunto com os impios.
Ninachukia waovu, na siishi na waovu.
6 Lavo as minhas mãos na innocencia; e assim andarei, Senhor, ao redor do teu altar.
Ninaosha mikono yangu kounesha sina hatia, na kuikaribia madhabahu yako, Yahwe,
7 Para publicar com voz de louvor, e contar todas as tuas maravilhas.
kuimba wimbo wa sauti ya sifa na kutoa taarifa ya matendo yako yote ya ajabu.
8 Senhor, eu tenho amado a habitação da tua casa e o logar onde permanece a tua gloria.
Yahwe, ninaipenda nyumba ninayoishi, mahali ambapo utukufu wako unaishi!
9 Não apanhes a minha alma com os peccadores, nem a minha vida com os homens sanguinolentos,
Usiniangamize pamoja na wenye dhambi, au maisha yangu na watu wenye kiu ya kumwaga damu,
10 Em cujas mãos ha maleficio, e cuja mão direita está cheia de subornos.
ambao katika mikono yao kuna njama, na ambao mkono wa kuume umejaa rushwa.
11 Mas eu ando na minha sinceridade; livra-me e tem piedade de mim.
Lakini kwangu mimi, nitaenenda katika uadilifu; uniokoe na unihurumie.
12 O meu pé está posto em caminho plano; nas congregações louvarei ao Senhor.
Miguu yangu husimama sehemu salama; katika kusanyiko la watu nitambariki Yahwe!

< Salmos 26 >