< Zachariasza 12 >

1 Brzemię słowa PANA nad Izraelem. [Tak] mówi PAN, który rozpostarł niebiosa, założył fundamenty ziemi i stwarza ducha człowieka w jego wnętrzu:
Hili ni tamko la neno la Yahwe kwa Israeli - Bwana asema, azitandaye mbingu na kuweka msingi wa dunia, aiumbaye roho ya mtu ndani yake,
2 Oto uczynię Jerozolimę kielichem odurzenia dla wszystkich okolicznych narodów, gdy nastanie oblężenie przeciwko Judzie i przeciwko Jerozolimie.
“Tazama, nitaifanya Yerusalemu kuwa kikombe kiwafadhaishacho watu wote wamzungukao. Itakuwa hivyo hivyo pia kwa Yuda wakati wa kuhusuriwa kwa Yerusalemu.
3 W tym dniu uczynię Jerozolimę ciężkim kamieniem dla wszystkich narodów. Wszyscy, którzy będą go dźwigać, bardzo się zranią, choćby się zgromadziły przeciwko niemu wszystkie narody ziemi.
Katika siku hiyo, nitaifanya Yerusalemu kuwa jiwe zito kwa watu wa jamaa zote. Kila atakayejaribu kuliinua jiwe hilo atajihumiza sana, na mataifa yote ya dunia yatakusanyika kinyume cha mji huo.
4 Tego dnia, mówi PAN, każdego konia porażę trwogą i jego jeźdźca – szaleństwem; ale nad domem Judy otworzę swoje oczy, a każdego konia narodów porażę ślepotą.
Katika siku hiyo asema Yahwe - nitampiga kila farasi kwa ushangao na kila mpanda farasi kwa wendawazimu. Nitaiangalia nyumba ya Yuda kwa upendeleo na nami nitawapiga kwa upofu farasi wa majeshi.
5 I przywódcy Judy powiedzą w swoim sercu: Mieszkańcy Jerozolimy będą naszą siłą w PANU zastępów, swoim Bogu.
Ndipo watawala wa Yuda watakapojisemea mioyoni mwao, 'Wakaao Yerusalemu ndio nguvu yetu kwa sababu ya Yahwe wa majeshi, Mungu wao.'
6 W tym dniu uczynię przywódców Judy jak węgle ogniste wśród drwa i jak płonącą pochodnię pośród snopów; i pożrą wszystkie okoliczne narody na prawo i na lewo. I Jerozolima pozostanie na swoim miejscu, w Jerozolimie.
Katika siku hiyo nitawafanya watawala wa Yuda kuwa kama mitungi ya moto katika miti na kama miali ya moto kati ya nafaka isimamayo, kwani utateketeza watu wote walio karibu upande wao wa kulia na kushoto. Yerusalemu atakaa mahali pake tena.
7 I najpierw PAN wybawi namioty Judy, aby chwała domu Dawida i chwała mieszkańców Jerozolimy nie wywyższały się przeciwko Judzie.
Yahwe ataziokoa hema za Yuda kwanza, ili kwamba utukufu ya nyumba ya Daudi na utukufu wa wale waishio Yerusalemu hautazidi sehemu iliyosalia ya Yuda.
8 W tym dniu PAN będzie bronił mieszkańców Jerozolimy, a najsłabszy pośród nich stanie się tego dnia podobny do Dawida, a dom Dawida podobny do Boga, podobny do Anioła PANA na ich czele.
Katika siku hiyo Yahwe atakuwa mtetezi wa wakao Yerusalemu, na siku hiyo waliodhaifu miongoni mwao watakuwa kama Daudi, wakati nyumba ya Daudi watakuwa kama Mungu, kama malaika wa Yahwe mbele yao.
9 I stanie się w tym dniu, że będę zmierzać do zniszczenia wszystkich narodów, które wyruszą przeciwko Jerozolimie.
“Itakuwa kwamba katika siku hiyo nitaanza kuyaharibu mataifa yote yajayo kinyume cha Yerusalemu.
10 I wyleję na dom Dawida i na mieszkańców Jerozolimy ducha łaski i modlitwy. Będą patrzyć na mnie, którego przebili, i będą go opłakiwać, jak się opłakuje jedynaka; będą gorzko płakać nad nim, jak się płacze gorzko nad pierworodnym.
Lakini nitamwaga roho ya huruma na kuiombea nyumba ya Daudi na wakao Yerusalemu, hivyo wataniangalia mimi, waliomchoma kwa mkuki. Wataniombolezea, kama amwombolezeaye mwana wa pekee; watamwombolezea kwa uchungu sana kama aombolezaye kifo cha mzaliwa wa kwanza.
11 W tym dniu będzie wielki lament w Jerozolimie, jak lament w Hadad-Rimmon na równinie Megiddo.
Katika siku hiyo maombolezo huko Yerusalemu yatakuwa kama maombolezo ya Hadadi Rimoni katika tambarare za Megido.
12 Ziemia będzie lamentować, każdy ród osobno: ród domu Dawida osobno i jego kobiety osobno; ród domu Natana osobno i jego kobiety osobno;
Nchi itaomboleza, kila ukoo peke yao. Ukoo wa nyumba ya Daudi utakuwa peke yake na wake zao watakuwa peke yao mbali na wanaume. Ukoo wa nyumba ya Nathani utakuwa peke yao na wake zao watakuwa peke yao mbali na waume.
13 Ród domu Lewiego osobno i jego kobiety osobno; ród Szimejego osobno i jego kobiety osobno;
Ukoo wa nyumba ya Lawi utakuwa peke yao na wake zao watakuwa peke yao mbali na waume. Ukoo wa Washimei utakuwa peke yao na wake zao watakuwa peke yao mbali na waume.
14 Wszystkie pozostałe rody, każdy ród osobno i ich kobiety osobno.
Kila ukoo uliosalia - kila mmoja utakuwa peke yake na wake watakuwa pekee mbali na waume.

< Zachariasza 12 >