< Rzymian 1 >

1 Paweł, sługa Jezusa Chrystusa, powołany Apostoł, odłączony ku opowiadaniu Ewangielii Bożej;
Paulo, mtumishi wa Yesu Kristo, aliyeitwa kuwa mtume, na kutengwa kwa ajili ya Injili ya Mungu.
2 Którą przedtem obiecał przez proroki swoje w pismach świętych,
Hii ndio ile Injili aliyoiahidi zamani kupitia manabii wake katika maandiko matakatifu.
3 O Synu swoim, który się narodził z nasienia Dawidowego według ciała;
Ni kuhusu Mwana wake, aliyezaliwa kutoka ukoo wa Daudi kwa jinsi ya mwili.
4 A pokazał się Synem Bożym możnie, według Ducha poświęcenia, przez zmartwychwstanie, to jest o Jezusie Chrystusie, Panu naszym.
Yeye alitangazwa kwa Mwana wa Mungu kwa nguvu ya Roho ya utakatifu kwa ufufuo wa wafu, Yesu Kristo Bwana wetu.
5 Przez którego wzięliśmy łaskę i urząd apostolski ku posłuszeństwu wiary między wszystkimi narody, dla imienia jego;
Kupitia yeye tumepokea neema na utume kwa utii wa imani kati ya mataifa yote, kwa ajili ya jina lake.
6 Między którymi jesteście i wy powołani od Jezusa Chrystusa.
Kati ya mataifa haya, ninyi pia mmeitwa kuwa wa Yesu Kristo.
7 Wszystkim, którzy jesteście w Rzymie, umiłowanym Bożym, powołanym świętym, łaska niech będzie wam i pokój od Boga, Ojca naszego, i od Pana Jezusa Chrystusa.
Barua hii ni kwa wote walioko Rumi, wapendwao na Mungu, walioitwa kuwa watu watakatifu. Neema na iwe kwenu, na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo.
8 Najprzód tedy dziękuję Bogu mojemu przez Jezusa Chrystusa za was wszystkich, iż wiara wasza słynie po wszystkim świecie.
Kwanza, namshukuru Mungu wangu katika Yesu Kristo kwa ajili yenu nyote, kwa sababu imani yenu inahubiriwa katika dunia nzima.
9 Świadkiem mi bowiem jest on Bóg, któremu służę w duchu moim w Ewangielii Syna jego, iż bez przestanku wzmiankę o was czynię,
Kwa maana Mungu ni shahidi wangu, ambaye ninamtumikia kwa roho yangu katika injili ya Mwana wake, jinsi ninavyodumu katika kuwataja.
10 Zawsze w modlitwach moich prosząc, iżby mi się wżdy kiedykolwiek droga zdarzyła za wolą Bożą przyjść do was.
Daima naomba katika sala zangu kwamba kwa njia yoyote nipate mwishowe kuwa na mafanikio sasa kwa mapenzi ya Mungu katika kuja kwenu.
11 Albowiem pragnę was widzieć, abym wam mógł udzielić jakiego daru duchownego ku utwierdzeniu waszemu;
Maana natamani kuwaona, ili nipate kuwapa ninyi baadhi ya karama za rohoni, nipate kuwaimarisha.
12 To jest, abyśmy się u was zobopólnie ucieszyli przez społeczną wiarę, i waszę, i moję.
Yaani, natazamia kutiwa moyo pamoja nanyi, kwa njia ya imani ya kila mmoja wetu, yenu na yangu.
13 A nie chcę, abyście i wy wiedzieć nie mieli, bracia! żem często zamyślał pójść do was; (alem był dotąd zawściągniony), abym miał jaki pożytek i między wami, jako i między inszymi pogany.
Sasa ndugu, sitaki mkose kufahamu kwamba, mara nyingi nimekusudia kuja kwenu, lakini nimezuiliwa mpaka sasa. Nilitaka hivi ili kuwa na matunda kwenu kama ilivyo pia miongoni mwa watu wa mataifa.
14 I Grekom, i grubym narodom, i mądrym, i głupim jestem dłużnikiem,
Nadaiwa na Wayunani na wageni pia, werevu na wajinga.
15 Tak, iż ile ze mnie jest, gotowym jest i wam, którzyście w Rzymie, Ewangieliję opowiadać.
Kwa hiyo, kwa upande wangu, mimi niko tayari kutangaza injili kwenu pia ninyi mlio huko Roma.
16 Albowiem nie wstydzę się za Ewangieliję Chrystusową, ponieważ jest mocą Bożą ku zbawieniu każdemu wierzącemu, Żydowi najprzód, potem i Greczynowi.
Kwa maana siionei haya injili, kwa kuwa ni uweza wa Mungu uletao wokovu kwa kila aaminiye, kwa Myahudi kwanza na kwa Myunani pia.
17 Bo sprawiedliwość Boża w niej bywa objawiona z wiary w wiarę, jako napisano: Że sprawiedliwy z wiary żyć będzie.
Kwa maana haki ya Mungu imedhihirishwa kutoka imani hata imani, kama ilivyo andikwa, “Mwenye haki ataishi kwa imani.”
18 Bo gniew Boży objawia się z nieba przeciwko wszelkiej niepobożności i niesprawiedliwości tych ludzi, którzy zatrzymują prawdę Bożą w niesprawiedliwości.
Maana ghadhabu ya Mungu imedhihirishwa kutoka mbinguni dhidi ya uasi na uovu wote wa watu, ambao kwa njia ya udhalimu huificha kweli.
19 Przeto iż co może być wiedziano o Bogu, jest w nich jawno, gdyż im Bóg objawił.
Hii ni kwa sababu, yote yanayoweza kujulikana juu ya Mungu ni wazi kwao. Maana Mungu amewafahamisha.
20 Bo rzeczy jego niewidzialne od stworzenia świata, przez rzeczy uczynione widzialne bywają, to jest ona wieczna jego moc i bóstwo, na to, aby oni byli bez wymówki. (aïdios g126)
Maana mambo yake yasioonekana vizuri yamekuwa wazi tangu kuumbwa kwa ulimwengu. Yanaeleweka kupitia vitu vilivyoumbwa. Mambo haya ni uwezo wake wa milele na asili ya uungu. Matokeo yake, watu hawa hawana udhuru. (aïdios g126)
21 Przeto iż poznawszy Boga, nie chwalili jako Boga, ani mu dziękowali, owszem znikczemnieli w myślach swoich i zaćmiło się bezrozumne serce ich;
Hii ni kwa sababu, ingawa walijua kuhusu Mungu, hawakumtukuza yeye kama Mungu, wala hawakumpa shukrani. Badala yake, wamekuwa wapumbavu katika mawazo yao, na mioyo yao yenye ujinga ilitiwa giza.
22 Mieniąc się być mądrymi, zgłupieli;
Walijiita kuwa ni werevu, lakini wakawa wajinga.
23 I odmienili chwałę nieskazitelnego Boga w podobieństwo obrazu skazitelnego człowieka i ptaków, i czworonogich zwierząt, i płazów.
Waliubadili utukufu wa Mungu asie na uharibifu kwa mfano wa sura ya binadamu aliye na uharibifu, na ya ndege, ya wanyama wenye miguu minne, na ya viumbe vitambaavyo.
24 A przetoż podał je Bóg pożądliwościom serc ich ku nieczystości, aby lżyli ciała swoje między sobą,
Kwa hiyo Mungu aliwaacha wafuate tamaa za mioyo yao kwa uchafu, kwa miili yao kufedheheshwa baina yao.
25 Jako te, którzy odmienili prawdę Bożą w kłamstwo i chwalili stworzenie, i służyli mu raczej niż Stworzycielowi, który jest błogosławiony na wieki. Amen. (aiōn g165)
Ni wao walioibadili kweli ya Mungu kuwa uongo, na ambao waliabudu na kutumikia viumbe badala ya Muumbaji, ambaye anasifiwa milele. Amina. (aiōn g165)
26 Dlatego podał je Bóg w namiętności sromotne, gdyż i niewiasty ich odmieniły używanie przyrodzone w ono, które jest przeciwko przyrodzeniu.
Kwa sababu hii, Mungu aliwaacha wafuate tamaa zao za aibu, kwa kuwa wanawake wao walibadilisha matumizi yao ya asili kwa kile kilicho kinyume na asili.
27 Także i mężczyźni opuściwszy przyrodzone używanie niewiasty, zapalili się w swej pożądliwości jedni ku drugim, mężczyzna z mężczyzną hańbę płodząc, a nagrodę należącą błędowi swemu na się biorąc.
Hali kadhalika, wanaume pia wakaacha matumizi yao ya asili kwa wanawake na kuwakwa na tamaa dhidi yao wenyewe. Hawa walikuwa wanaume ambao walifanya na wanaume wenzao yasiyo wapasa, na ambao walipokea adhabu iliyostahili upotovu wao.
28 A jako się im nie upodobało mieć w znajomości Boga, tak też Bóg je podał w umysł opaczny, aby czynili, co nie przystoi;
Kwa sababu walikataa kuwa na Mungu katika fahamu zao, aliwaacha wafuate akili zao zisizofaa, wafanye mambo yale yasiyofaa.
29 Napełnieni będąc wszelakiej nieprawości, wszeteczeństwa, przewrotności, łakomstwa, złości, pełni zazdrości, morderstwa, sporu, zdrady, złych obyczajów;
Wamejawa na udhalimu wote, uovu, tamaa na ubaya. Wamejawa na wivu, uuaji, ugomvi, udanganyifu, na nia mbaya.
30 Zausznicy, obmówcy, Boga nienawidzący, potwarcy, pyszni, chlubni, wynalazcy złych rzeczy, rodzicom nieposłuszni,
Wao pia ni wasengenyaji, wasingiziaji, na wenye kumchukia Mungu. Wenye vurugu, kiburi, na majivuno. Wao ni watunga mabaya, na wasiotii wazazi wao.
31 Bezrozumni, przymierza nie trzymający, bez przyrodzonej miłości, nieprzejednani i niemiłosierni;
Wao hawana ufahamu; wasioaminika, hawana mapenzi ya asili, na wasio na huruma.
32 Którzy poznawszy prawo Boże, iż ci, co takowe rzeczy czynią, godni są śmierci, nie tylko sami je czynią, ale też przestawają z tymi, co je czynią.
Wanaelewa kanuni za Mungu, ya kwamba watu watendao mambo ya jinsi hiyo wanastahili kifo. Lakini si tu wanafanya mambo hayo, wao pia wanakubaliana na wale wanaofanya mambo hayo.

< Rzymian 1 >