< Psalmów 1 >

1 Błogosławiony mąż, który nie chodzi w radzie niepobożnych, a na drodze grzesznych nie stoi, i na stolicy naśniewców nie siedzi;
Amebarikiwa mtu yule asiye enenda katika ushauri wa waovu, au kusimama katika njia ya wenye dhambi, au kukaa katika kusanyiko la wenye mizaha.
2 Ale w zakonie Pańskim jest kochanie jego, a w zakonie jego rozmyśla we dnie i w nocy.
Bali yeye huifurahia sheria ya Yahwe, na huitafakari sheria yake mchana na usiku.
3 Albowiem będzie jako drzewo nad strumieniem wód w sadzone, które owoc swój wydaje czasu swego, a liść jego nie opada; i wszystko, cokolwiek czynić będzie, poszczęści się.
Atakuwa kama mti uliopandwa karibu na mkondo wa maji ambao huzaa matunda yake kwa majira yake, ambao majani yake hayakauki; lolote afanyalo litafanikiwa.
4 Lecz nie tak niepobożni; ale są jako plewa, którą wiatr rozmiata.
Waovu hawako hivyo, wao badala yake ni kama makapi yapeperushwayo na upepo.
5 Przetoż się niepobożni na sądzie nie ostoją, ani grzesznicy w zgromadzeniu sprawiedliwych.
Kwa hivyo waovu hawatasimama katika hukumu, wala wenye dhambi katika kusanyiko la wenye haki.
6 Albowiem zna Pan drogę sprawiedliwych; ale droga niepobożnych zginie.
Kwa kuwa Yahweh huikubali njia ya wenye haki, njia ya waovu itaangamizwa.

< Psalmów 1 >