< Psalmów 150 >

1 Halleluja. Chwalcie Boga w świątnicy jego; chwalcie go na rozpostarciu mocy jego.
Msifuni Bwana. Msifuni Mungu katika patakatifu pake, msifuni katika mbingu zake kuu.
2 Chwalcie go ze wszelkiej mocy jego; chwalcie go według wielkiej dostojności jego.
Msifuni kwa matendo yake makuu, msifuni kwa kadiri ya wingi wa ukuu wake.
3 Chwalcie go na głośnych trąbach; chwalcie go na lutni i na harfie.
Msifuni kwa mvumo wa tarumbeta, msifuni kwa kinubi na zeze,
4 Chwalcie go na bębnie, i na piszczałce; chwalcie go stronach i na organach.
msifuni kwa matari na kucheza, msifuni kwa kinanda cha nyuzi na filimbi,
5 Chwalcie go na cymbałach głośnych; chwalcie go cymbałach krzykliwych.
msifuni kwa matoazi yaliayo, msifuni kwa matoazi yavumayo sana.
6 Niech wszelki duch chwali Pana! Halleluja.
Kila chenye pumzi na kimsifu Bwana. Msifuni Bwana!

< Psalmów 150 >