< Psalmów 113 >

1 Halleluja. Chwalcie słudzy Pańscy, chwalcie imię Pańskie.
Msifuni Bwana. Enyi watumishi wa Bwana msifuni, lisifuni jina la Bwana.
2 Niechaj będzie imię Pańskie błogosławione, odtąd aż na wieki.
Jina la Bwana na lisifiwe, sasa na hata milele.
3 Od wschodu słońca, aż do zachodu jego, niech będzie chwalebne imię Pańskie.
Kuanzia mawio ya jua hadi machweo yake, jina la Bwana linapaswa kusifiwa.
4 Pan jest nad wszystkie narody wywyższony; chwała jego nad niebiosa.
Bwana ametukuka juu ya mataifa yote, utukufu wake juu ya mbingu.
5 Któż taki, jako Pan Bóg nasz, który mieszka na wysokości?
Ni nani aliye kama Bwana Mungu wetu, Yeye ambaye ameketi juu kwenye kiti cha enzi,
6 Który się zniża, aby widział, co jest na niebie i na ziemi.
ambaye huinama atazame chini aone mbingu na nchi?
7 Podnosi z prochu nędznego, a z gnoju wywyższa ubogiego,
Huwainua maskini kutoka mavumbini, na kuwanyanyua wahitaji kutoka kwenye jalala,
8 Aby go posadził z książętami, z książętami ludu swego;
huwaketisha pamoja na wakuu, pamoja na wakuu wa watu wake.
9 Który sprawia, że niepłodna w domu bywa matką weselącą się z dziatek. Halleluja.
Humjalia mwanamke tasa kutulia nyumbani mwake, akiwa mama watoto mwenye furaha. Msifuni Bwana.

< Psalmów 113 >