< Jozuego 6 >

1 A Jerycho było zamknione, i opatrzone przed synami Izraelskimi, i nikt z niego nie wychodził, ani do niego wchodził.
Basi, milango yote ya Yeriko ilikuwa imefungwa kwasababu ya jeshi la Israeli. Hapakuwa na mtu wa kutoka nje au kuingia ndani.
2 Tedy rzekł Pan do Jozuego: Otom dał w ręce twoje Jerycho, i króla jego, i możne wojska jego.
Yahweh akamwambia Yoshua, “Tazama, nimeweka Yeriko katika mkono wako, mfalme wake pamoja na wanajeshi wake waliofunzwa.
3 A tak obchodzić będziecie miasto, wszyscy mężowie waleczni, około miasta chodząc raz na dzień; tak uczynicie po sześć dni.
Ni lazima kutembea kwa kuuzunguka mji, wanaume wote wa vita wauzunguke mji mara moja. Ni lazima mfanye hivi kwa siku sita.
4 Przytem siedem kapłanów poniosą siedem trąb z rogów baranich, przed skrzynią; a dnia siódmego obejdziecie miasto siedem kroć, a kapłani trąbić będą w trąby.
Makuhani saba lazima wabebe tarumbeta za pembe za kondoo waume mbele za sanduku. Na katika siku ya saba, ni lazima mtembee kwa kuuzunguka mji mara saba, na makuhani lazima wapulize tarumbeta.
5 A gdy przewłocznie trąbić będą w trąby z rogów baranich, skoro usłyszycie głos trąby, wszystek lud uczyni okrzyk bardzo wielki, i upadnie mur miasta na miejscu swem, i wnijdzie lud do miasta, każdy przeciw miejscu, gdzie stał.
Kisha watapuliza pembe za kondoo waume kwa nguvu kuu, na mtakaposikia sauti za tarumbeta watu wote na wapige kelele kwa mshindo mkuu, na ukuta wa mji utaanguka chini pale pale. Wanajeshi ni lazime washambulie, kila mmoja eende mbele moja kwa moja.
6 Tedy wezwawszy Jozue, syn Nunów, kapłanów, rzekł do nich: weźmijcie skrzynię przymierza, a siedem kapłanów niech niosą siedem trąb z baranich rogów przed skrzynią Pańską.
Ndipo Yoshua mwana wa Nuni, aliwaita makuhani na kuwaambia, “Lichukueni sanduku la agano, na waacheni makuhani saba wabebe tarumbeta za pembe za kondoo waume mbele ya sanduku la Yahweh.”
7 Potem rzekł do ludu: Idźcie a obejdźcie miasto, a zbrojni niech idą przed skrzynią Pańską.
Yoshua aliwaambia watu, “Nendeni na mkatembee kuuzunguka mji, na watu wa vita wataenda mbele ya sanduku la Yahweh.”
8 A gdy to Jozue ludowi powiedział, siedem kapłanów wziąwszy siedem trąb z rogów baranich, szli przed skrzynią Pańską, i trąbili w trąby, a skrzynia przymierza Pańskiego szła za nimi.
Makuhani saba walibeba tarumbeta saba za pembe za kondoo mbele ya Yahweh kama Yoshua alivyowaambia watu. Na walivyokuwa akiendelea mbele, walipuliza tarumbeta.
9 A zbrojni szli przed kapłany trąbiącymi w trąby; ostatek też ludu pospolitego szedł za skrzynią, gdy idąc trąbiono w trąby.
Sanduku la Yahweh liliwafuata kwa nyuma yao. Watu wa vita walitembea mbele ya makuhani, na walipuliza tarumbeta zao, lakini walinzi wa nyuma walilifuata sanduku kwa nyuma, na makuhani waliendelea kupuliza tarumbeta zao.
10 A ludowi przykazał Jozue, mówiąc: Nie będziecie wołać, ani będzie słyszan głos wasz, ani wynijdzie z ust waszych słowo, aż do dnia, którego wam rzekę: Wołajcie; i uczynicie okrzyk.
Lakini Yoshua aliwaagiza watu, akisema, “Msipige kelele. Sauti yoyote isitoke vinywani mwenu mpaka siku nitakayowaambia kupiga kelele. Ndipo hapo mtakapopiga kelele.”
11 Tedy obeszła skrzynia Pańska miasto w około raz; i wrócili się do obozu, i zostali w obozie przez noc.
Hivyo, alisababisha sanduku la Yahweh kuuzunguka mji mara moja kwa siku hiyo. Kisha wakaingia katika kambi yao, wakakaa usiku ule katika kambi.
12 Wstał zasię Jozue rano, a kapłani wzięli skrzynię Pańską.
Basi Yoshua aliamka asubuhi na mapema, na makuhani wakalichukua sanduku la Yahweh.
13 A siedem kapłanów wziąwszy siedem trąb z rogów baranich, przed skrzynią Pańską szli, idąc i trąbiąc w trąby; a zbrojni szli przed nimi, ostatek też ludu pospolitego szedł za skrzynią Pańską, gdy idąc trąbiono w trąby.
Makuhani saba waliobeba tarumbeta saba za pembe za kondoo waume walikuwa mbele ya sanduku la Yahweh, wakitembea kwa ushupavu, huku wakipuliza tarumbeta. Wanajeshi wenye silaha walikuwa wakitembea mbele yao, lakini walinzi wa nyuma walitembea nyuma ya sanduku la Yahweh, huku tarumbeta ziliendelea kupigwa.
14 A tak obeszli miasto drugi raz dnia wtórego, i wrócili się do obozu; i tak czynili po sześć dni.
Walitembea kuuzunguka mji mara moja katika siku ya pili na kisha wakarudi kambini. Walifanya hivi kwa siku sita.
15 Ale dnia siódmego wstali rano na świtaniu, i obeszli miasto tymże sposobem siedem kroć; tylko dnia tego obeszli miasto siedem kroć.
Ilikuwa ni katika siku ya saba ambayo waliamka mapema katika mapambazuko, na walitembea kuuzunguka mji kwa namna ile kama ilivyokuwa kawaida yao, katika siku hii walifanya mara saba.
16 I stało się, gdy siódmy raz obchodzili, a kapłani trąbili w trąby, rzekł Jozue do ludu: Krzyczcież teraz; albowiem Pan podał wam miasto.
Ilikuwa ni katika siku ya saba ambapo makuhani walipiga tarumbeta, na ya kwamba Yoshua aliwaagiza watu, “Pigeni kelele! Kwa kuwa Yahweh amewapa ninyi mji.
17 I niech będzie to miasto przeklęstwem Panu, ono, i wszystko co w niem jest; tylko Rachab wszetecznica żywo zostanie, ona i wszyscy, którzy z nią są w domu, gdyż utaiła posłów, któreśmy byli posłali.
Mji pamoja na vitu vyote ndani yake vitatengwa kwa Yahweh kwa ajili ya uharibifu. Ni Rahabu yule kahaba pekee ataishi - yeye pamoja wote waliokuwa pamoja naye katika nyumba - kwasababu aliwaficha watu tuliowatuma.
18 A wszakże się wy strzeżcie od rzeczy przeklętych, abyście się nie stali przeklęstwem, biorąc co z rzeczy przeklętych, abyście nie wprawili obozu Izraelskiego w przeklęstwo, i nie zamieszali go.
Lakini kwenu, iweni waangalifu juu ya kuchukua vitu vilivyotengwa kwa ajili ya uharibifu, ili baada ya kuvitia alama kwa ajili ya kuharibiwa, msichukue hata kimoja wapo. Na kama mtafanya hivi, mtaifanya kambi ya Waisraeli iharibiwe na mtaleta matatizo katika kambi.
19 Ale wszystko srebro i złoto i naczynia miedziane i żelazne, święte będą Panu; do skarbu Pańskiego złożone będą.
Fedha zote, dhahabu na vitu vilivyotengenezwa kwa shaba na chuma vilitengwa kwa ajli ya Yahweh.”
20 Tedy krzyczał lud, gdy zatrąbiono w trąby, albowiem gdy usłyszał lud głos trąb, krzyczał i lud wielkim głosem, i upadł mur na miejscu swem, i wszedł lud do miasta, każdy przeciw miejscu, gdzie stał, i wzięli miasto;
Hivyo, watu wakapiga kelele, na wakatoa sauti kwa kupuliza tarumbeta. Ilikuwa watu waliposikia sauti za tarumbeta, walipiga kelele kwa sauti kuu, na ukuta ulianguka chini kabisa na kwamba watu waliungia mji, kila mmoja alisonga mbele moja kwa moja. Na waliuteka mji.
21 I wytracili wszystko, co było w mieście, męże i niewiasty, dzieci i starce; woły też i owce, i osły ostrzem miecza pobili.
Waliteketeza kabisa kila kitu kilichokuwa katika mji kwa makali ya upanga - wanaume kwa wanawake, wadogo kwa wakubwa, ng'ombe, kondoo na punda.
22 Ale dwom mężom, którzy szpiegowali onę ziemię, rzekł Jozue: Wnijdźcie do domu niewiasty wszetecznej, a wywiedźcie stamtąd niewiastę, i wszystko, co jej jest, jakoście jej przysięgli.
Kisha Yoshua akawaambia wale watu wawili walioipeleleza nchi, “Nendeni katika nyumba ya kahaba, mtoeni mwanamke na wote walio pamoja naye, kama mlivyomwapia.”
23 Tedy wszedłszy młodzieńcy oni, co byli wyszpiegowali ziemię, Rachabę, i ojca jej, matkę jej i bracią jej, i wszystko co było jej, i wszystkę rodzinę jej wywiedli, i zostawili je za obozem Izraelskim.
Basi, vijana wale walioipeleleza nchi waliingia ndani na kumtoa Rahabu nje. Walimtoa nje baba yake, mama, kaka, na ndugu wote waliokuwa pamoja naye. waliwaleta katika sehemu ya nje ya kambi ya Waisraeli.
24 Ale miasto spalili ogniem, i wszystko, co w niem było; tylko srebro i złoto, i naczynie miedziane, i żelazne, złożyli do skarbu domu Pańskiego.
Na ndipo waliuteketeza mji na kila kitu ndani yake. Isipokuwa fedha, dhahabu na vyombo vya fedha na chuma viliwekwa kwa hazina ya nyumba ya Yahweh.
25 Rachabę także wszetecznicę, i dom ojca jej, i wszystko, co było jej, Jozue żywo zostawił, i mieszkała w pośrodku Izraela aż do teraźniejszego dnia, dla tego, iż utaiła posłów, które był posłał Jozue ku przeszpiegowaniu Jerycha.
Bali Yoshua alimruhusu Rahabu kahaba, nyumba ya baba yake, na wote waliokuwa pamoja naye waishi. Mpaka leo hivi anaishi Israeli kwasababu aliwaficha watu waliotumwa na Yoshua kuipeleleza Yeriko.
26 I wydał klątwę Jozue onego czasu, mówiąc: Przeklęty mąż przed Panem, któryby powstał a budował to miasto Jerycho; na pierworodnym swoim założy je, a na najmniejszym postawi bramy jego.
Kisha katika kipindi hicho, Yoshua aliwaamuru kwa kiapo na kusema, “Alaaniwe machoni pa Yahweh mtu yule anayeujenga mji huu, Yeriko. Ataujenga msingi kwa gharama ya mzaliwa wake wa kwanza, na kwa gharama ya mzaliwa wake wa pili atapachika milango yake.”
27 I był Pan z Jozuem, a rozchodziła się sława jego po wszystkiej ziemi.
Basi Yahweh alikuwa pamoja na Yoshua, na umaarufu wake ulienea katika nchi yote.

< Jozuego 6 >