< Jeremiasza 36 >

1 I stało się roku czwartego Joakima, syna Jozyjaszowego, króla Judzkiego; stało się, mówię, to słowo do Jeremijasza od Pana, mówiąc:
Ilikuja tokea katika mwaka wa nne wa Yehoyakimu mwana wa Yosiah mfalme wa Yuda, kwamba neno hili lilikuja kwa Yeremiah kutoka kwa Yahwe, na alisema,
2 Weźmij sobie księgi, a napisz na nich wszystkie słowa, którem mówił do ciebie przeciw Izraelowi, i przeciw Judzie, i przeciw wszystkim narodom, ode dnia, króregom mawiał z tobą, ode dni Jozyjaszowych aż do dnia tego;
“Chukua kitabu kwa ajili yako na uandike juu yake maneno yote ambayo nimekwisha kukuambia kuhusiana na Israel na Yuda, na kila taifa. Fanya hivi kwa kila kitu nilichokuambia tokea siku za Yosia mpaka siku ile.
3 Aza snać, gdy usłyszy dom Judzki o tem wszystkiem złem, które Ja im myślę uczynić, nawróci się każdy od złej drogi swej, abym był miłościw nieprawościom ich i grzechom ich.
Huenda watu wa Yuda watasikiliza majanga yote ambayo ninakusudia kuleta juu yao. Huenda kila mmoja ataacha njia zake mbaya, ili kwamba niweze kuwasamehe maovu yao na dhambi zao.”
4 Przetoż wezwał Jeremijasz Barucha, syna Neryjaszowego; i napisał Baruch w księgi z ust Jeremijaszowych wszystkie słowa Pańskie, które mówił do niego.
Kisha Yeremia alimwita Baruku mwana wa Neria, na Baruku aliandika kwenye kitabu, kwa imla ya Yeremia, maneno yote ya Yahwe yalizunguzwa kwake.
5 Potem przykazał Jeremijasz Baruchowi, mówiąc: Ja będąc zatrzymany nie mogę wnijść do domu Pańskiego;
Kisha Yeremia alitoa amri kwa Baruku. Alisema, “Niko gerezani na siwezi kwenda kwenye nyumba ya Yahwe.
6 Przetoż ty idź, a czytaj na tych księgach, coś napisał z ust moich, słowa Pańskie, przed uszyma ludu w domu Pańskim w dzień postu; także też przed uszyma wszystkich z Judy którzyby przyszli z miast swoich, czytaj je.
Kwa hiyo unapaswa uende na kusoma kutoka kwenye kitabu ulichoandika kwa imla yangu. Kwa siku ya kufunga, unapaswa usome maneno ya Yahwe kwenye masikio ya watu katika nyumba yake, na pia kwenye masikio ya Yuda yote waliokuja kutoka katika miji yao. Tangaza maneno haya kwao.
7 Owa snać przyjdzie modlitwa ich przed oblicze Pańskie, a nawróci się każdy od złej drogi swojej; bo wielka jest zapalczywość i gniew, w którym mówił Pan przeciwko temu ludowi.
Huenda maombi yao ya rehema yatakuja mbele ya Yahwe. Huenda kila mtu ataacha njia mbaya, kwani gathabu na hasira ya Yahwe imetangazwa dhidi ya watu kwa ukali.”
8 Tedy uczynił Baruch, syn Neryjaszowy, według wszystkiego, co mu rozkazał Jeremijasz prorok, czytając z ksiąg słowa Pańskie w domu Pańskim.
Kwa hiyo Baruku mwana wa Neria alifanya kila kitu ambacho Yeremia nabii alimwamuru yeye kufanya. Alisoma kwa sauti maneno ya Yahwe ndani mwa nyumba ya Yahwe.
9 I stało się roku piątego za Joakima. syna Jozyjaszowego, króla Judzkiego, w miesiącu dziewiątym, że zapowiedziano post przed twarzą Pańską wszystkiemu ludowi w Jeruzalemie, i wszystkiemu ludowi, który się był zszedł z miast Judzkich do Jeruzalemu.
Ilikuja tokea katika mwaka wa tano na mwezi wa tisa kwa Yehoyakimu mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, kwamba watu wote Yerusalemu na watu waliotoka Yerusalemu toka miji ya Yuda walitangaza kufunga kwa kumheshimu Yahwe.
10 I czytał Baruch z ksiąg słowa Jeremijaszowe w domu Pańskim, w pokoju Giemaryjasza, syna Safanowego, pisarza, w sieni wyższej, w wejściu bramy nowej domu Pańskiego przed uszyma wszystkiego ludu.
Baruku alisoma kwa sauti maneno ya Yeremia katika nyumba ya Yahwe, kutoka kwenye chumba cha Gamaria mwana wa Shafani mwandishi, katika ua wa juu, kwa mlango wa kuingilia wa nyumba ya Yahwe. Alifanya hivi kwa masikio ya watu wote.
11 A gdy usłyszał Micheasz, syn Giemaryjasza, syna Safanowego, wszystkie słowa Pańskie z ksiąg,
Basi Mikaya mwana wa Gemaria alisikia maneno yote ya Yahwe kwenye kitabu.
12 Zstąpił do domu królewskiego, do komory pisarzowej, a oto tam wszyscy książęta siedzieli: Elisama pisarz, i Delajasz, syn Semajaszowy, i Elnatan, syn Achborowy, i Giemaryjasz, syn Safanowy, i Sedekijasz, syn Chananijaszowy, i wszyscy książęta.
Alienda chini kwenye nyumba ya mfalme, kwenye chumba cha katibu. Tazama, maafisa wote walikuwa wamekaa hapo: Elishama mwandishi, Delaiah mwana wa Shemaiah, Elnathan mwana wa Achbor, Gemaria mwana wa Shefani, na Sedekia mwana wa Hananiah, na maafisa wote.
13 I powiedział im Micheasz wszystkie słowa, które słyszał, gdy czytał Baruch z ksiąg przed uszyma ludu.
Kisha Mikaya alitoa taarifa ya maneno yote kwao ambayo alikuwa amesikia ambayo Baruku alisoma kwa sauti kwenye masikio ya watu.
14 Przetoż posłali wszyscy książęta do Barucha Jehudę, syna Natanijaszowego, syna Selemijaszowego, syna Chusowego, aby rzekł: Księgi, na którycheś czytał przed uszyma ludu, weźmij w rękę twą a pójdź. Wziął tedy Baruch, syn Neryjaszowy, księgi w rękę swą i przyszedł do nich.
Kwa hiyo maafisa wote walimtuma Jehudi mwana wa Nethania mwana wa Shelemiah mwana wa Kushi, kwa Baruku. Jehudi alisema kwa Baruku, “Chukua kitabu katika mkono wako, kitabu ambacho ulikuwa unakisoma kwa masikio ya watu and kuja.” Kwa hiyo Baruku mwana wa Neria alichukua kitabu katika mkono wake na alienda kwa maafisa.
15 I rzekli do niego: Siądź proszę, a czytaj to przed uszyma naszemi. I czytał Baruch przed uszyma ich.
Kisha walisema naye,”Kaa chini na usome haya katika masikio yetu.” Kwa hiyo Baruku akasoma kitabu.
16 A gdy usłyszeli wszystkie one słowa, ulękłszy się wejrzał jeden na drugiego, i rzekli do Barucha: Zaiste oznajmiemy królowi te wszystkie słowa.
Ilitokea wakati waliposikia haya maneno yote, kila mtu alipatwa na hofu kwa mtu aliye karibu naye na kusema kwa Baruku, “Kwa hakika tunapaswa kutoa taarifa ya maneno haya yote kwa mfalme.”
17 I pytali Barucha, mówiąc: Powiedz nam teraz, jakoś pisał wszystkie te słowa z ust jego?
Kisha walimuuliza Baruku, “Tuambie, ulipataje kuandika maneno yote haya kwa imla ya Yeremia?”
18 I rzekł im Baruch: Z ust swych mówił do mnie wszystkie te słowa, a jam pisał na księgach inkaustem.
Baruku aliwaambia, “Alitoa imla ya maneno haya yote kwangu, na nikayaandika kwa wino kwenye kitabu hiki.”
19 Tedy rzekli książęta do Barucha: Idź, a skryj się, ty i Jeremijasz, a niech nikt nie wie, gdzieście.
Kisha maafisa walisema kwa Baruku, “Nenda, jifiche mwenyewe, na Yeremiah, pia. Usipatikane mtu yeyote kujua uko wapi.”
20 Potem weszli do króla do sieni, a księgi dali schować do komory Elisama, pisarza, i oznajmili przed królem te wszystkie słowa.
Kisha walienda kwa uwanja wa mfalme na wakatoa taarifa ya maneno haya kwake. Lakini kwanza walikihifadhi kitabu kwenye chumba cha katibu Elishama.
21 Posłał tedy król Juhudę, aby wziął one księgi; który je wziął z komory Elisama, pisarza. I czytał je Jehuda przed uszyma królewskiemi, i przed uszyma wszystkich książąt, którzy stali przed królem.
Basi mfalme alimtuma Yehudi kuchukua kitabu. Yehudi alikichukua toka chumba cha Elishama katibu. Kisha alikisoma kwa sauti kwa mfalme na wote maafisa walikuwa wamesimama karibu naye.
22 A król siedział w domu, w którym w zimie bywał, miesiąca dziewiątego, a na ognisku przed nim palił się ogień.
Sasa mfalme alikuwa amesimama kwenye nyumba ya majira ya baridi katika mwezi wa tisa, na mkaa ulikuwa unawaka mbele yake.
23 A gdy przeczytał Jehuda trzy albo cztery karty, porzezał je król nożykiem pisarskim, i wrzucił je w ogień, który był na ognisku, aż zgorzały wszystkie księgi w ogniu, który był na ognisku;
Ilitokea wakati Yehudi aliposoma kurusa tatu au nne, mfalme angeweza kuikata kwa kisu na kuitupa kwenye moto katika mkaa mpaka kitabu chote kiliteketea.
24 Ale się nie ulękli, ani rozdarli szat swoich, król i wszyscy słudzy jego, którzy słyszeli wszystkie te słowa.
Lakini wala mfalme wala yeyote wa mjakazi wake aliyesikia haya maneno yote aliogopa, wala hawakuchana nguo zao.
25 Owszem, jeszcze gdy Elnatan, i Delajasz, i Giemaryjasz przyczyniali się do króla, aby nie palił onych ksiąg, tedy ich nie usłuchał;
Elnathani, Delaya, na Gemaria walikuwa wamemuomba mfalme asikichome kitabu, lakini hakuwasikiliza.
26 Ale rozkazał król Jerameelowi, synowi królewskiemu, i Sarajaszowi, synowi Abdeelowemu, aby pojmali Barucha pisarza, i Jeremijasza proroka; ale ich Pan skrył.
Basi mfalme alimwamuru Yerameeli, ndugu, Seraya mwana wa Azrieli, na Shelemia mwana wa Abdeeli kumfunga Baruku mwandishi na Yeremia nabii, lakini Yahwe alikuwa amewaficha.
27 I stało się słowo Pańskie do Jeremijasza, gdy król spalił one księgi i słowa, które był spisał Baruch z ust Jeremijaszowych, mówiąc:
Kisha neno la Yahwe lilikuja kwa Yeremia baada ya mfalme kuwa amechoma kitabu na maneno ya Baruku yaliyokuwa yameandikwa kwa imla ya Yeremia, na alisema,
28 Weźmij sobie zasię księgi inne, a napisz na nich wszystkie słowa pierwsze, które były w onych księgach pierwszych, które spalił Joakim, król Judzki.
“Rudi, chukua kitabu kingine kwa ajili yako, na uandike maneno haya yote ambayo yalikuwa kwenye kitabu cha kwanza, ambacho Yehoyakimu mfalme wa Yuda alikichoma.
29 A o Joakimie, królu Judzkim, rzeczesz: Tak mówi Pan: Tyś spalił te księgi, mówiąc: Czemuś pisał na nich, rzekłszy: Zapewne przyciągnie król Babiloński, i spustoszy tę ziemię, i wygładzi z niej człowieka i bydlę.
Kisha unapaswa kusema hivi kwa mfalme Yehoyakimu mfalme wa Yuda: 'Ulichoma hicho kitabu! Na ulisema: Kwanini umeandika juu yake, “Mfalme wa Babeli hakika atakuja na kuharibu nchi hii, kwa kuwa atawaangamiza wanaume wote na wanyama ndani yake?”
30 Przetoż tak mówi Pan o Joakimie, królu Judzkim: Nie będzie miał, ktoby siedział na stolicy Dawidowej, a trup jego wyrzucony będzie na gorącość we dnie, a na mróz w nocy.
Kwa hiyo Yahwe anasema hivi kuhusu wewe, Yehoyakimu mfalme wa Yuda: “Hakuna mzao wako atawahi kukaa kwenye kiti cha Daudi. Kama wewe, maiti yako itatupwa kwenye siku ya joto na usiku wa baridi.
31 Bo nawiedzę na nim, i na nasieniu jego, i na sługach jego nieprawość ich, i przywiodę na nich i na obywateli Jeruzalemskich, i na mężów Judzkich to wszystko złe, o któremem mawiał do nich; ale nie słuchali.
Kwa kuwa nitakuadhibu, wazao wako, na wajakazi wako kwa maovu yenu yote. Nitaleta kwenu, kwa wakazi wote wa Yerusalemu, na kwa kila mtu Yuda majanga ambayo nimewatishia ninyi, lakini kwa hamkuwa makini.”
32 Tedy Jeremijasz wziął księgi inne, i dał je Baruchowi, synowi Neryjaszowemu, pisarzowi, który na nich spisał z ust Jeremijaszowych wszystkie słowa onych ksiąg, które był spalił ogniem Joakim, król Judzki; a nadto przydano do onych słów wiele rzec zy tym podobnych.
Kwa hiyo Yeremia alichukua kitabu kingine na akampa Baruku mwana wa Neria mwandishi. Baruku aliandika juu yake kwa imla ya Yeremia maneno yote ambayo yalikuwa katika kitabu kilichochomwa moto na mfalme Yehoyakimu mfalme wa Yuda. Zaidi, maneno mengi ya kufanana yaliongezwa kwenye kitabu hiki.

< Jeremiasza 36 >