< Jeremiasza 18 >

1 Słowo, które się stało do Jeremijasza od Pana mówiąc:
Neno la Bwana lilimjia Yeremia, kusema,
2 Wstań, a wstąp do domu garncarzowego, a tam sprawię, że usłyszysz słowa moje.
“Simama, uende kwa nyumba ya mfinyanzi; kwa maana nitakusikilizisha neno langu huko.
3 I wstąpiłem do domu garncarzowego, a oto on robił robotę na kręgu.
Basi, nikaenda nyumbani kwa mfinyanzi, na tazama! Mfinyanzi alikuwa akifanya kazi kwenye gurudumu la mfinyanzi.
4 A gdy się zepsuło naczynie w ręce garncarzowej, które on czynił z gliny, tedy zaś uczynił z niej naczynie insze, jako się mu najlepiej zdało uczynić.
Lakini chombo cha udongo ambacho alikuwa akikifinyanga kiliharibika mkononi mwake, kwa hiyo alibadili mawazo yake na akafanya kitu kingine ambacho kilionekana kuwa kizuri machoni pake.
5 I stało się słowo Pańskie do mnie, mówiąc:
Ndipo neno la Bwana likanijia, kusema,
6 Izalibym tak nie mógł z wami postąpić, jako ten garncarz, o domie Izraelski? mówi Pan. Oto jako glina w ręce garncarzowej, takeście wy w ręce mojej, o domie Izraelski!
“Je, siwezi kuwa kama huyu mfinyanzi kwenu, nyumba ya Israeli? Angalia! Kama udongo katika mkono wa mfinyanzi-ndivyo ulivyo mkononi mwangu, nyumba ya Israeli.
7 Jeźlibym rzekł nagle przeciwko narodowi, i przeciwko królestwu, że je wykorzenię, i zepsuję, i wygubię;
Kwa wakati mmoja, ninaweza kutangaza jambo fulani juu ya taifa au ufalme, kwamba nitaufukuza, kuuvunja, au kuuharibu.
8 Wszakże jeźliby się odwrócił on naród od złości swojej, przeciw któremum mówił; i Jabym żałował tego złego, którem mu umyślił uczynić.
Lakini kama taifa ambalo nimefanya tamko hilo linageuka na kuacha maovu yake, basi nitaghairi nisitende maafa niliyokuwa nimepanga.
9 Zasię, jeźlibym rzekł nagle o narodzie i o królestwie, że je pobuduję i wszczepię;
Wakati mwingine, ninaweza kutangaza jambo fulani kuhusu taifa au ufalme, kwamba nitaujenga au kuupanda.
10 Wszakże jeźliby czynił, co złego jest przed oczyma memi, nie słuchając głosu mego: i Jabym żałował tego dobrodziejstwa, którem mu obiecał uczynić.
Lakini ikiwa watafanya mabaya machoni pangu kwa kutosikiliza sauti yangu, basi nitaghairi mema ambayo nilikuwa nimewaambia nitawafanyia.
11 A przetoż rzecz teraz do mężów Judzkich, i do obywateli Jeruzalemskich, mówiąc: Tak mówi Pan: Oto Ja gotuję na was złą rzecz, i myślę coś przeciwko wam. Nawróćcież się już każdy od złej drogi swojej, a poprawcie każdy dróg waszych, i spraw waszych.
Basi sasa, waambie watu wa Yuda na wenyeji wa Yerusalemu, ukisema, 'Bwana asema hivi: Tazameni, nitawaangamiza. Mimi ni karibu kufinyanga mabaya dhidi yenu. Tubuni, kila mtu kutoka njia yake mbaya, hivyo njia zako na matendo yako yatakuletea mema.'
12 Ale oni rzekli: Nic z tego; bo za myślami naszemi pójdziemy, a każdy upór serca swojego złego czynić będziemy.
Lakini watasema, 'Hili halina maana. Tutafanya kulingana na mipango yetu wenyewe. Kila mmoja wetu atafanya mabaya kwa kuufuata uchupavu wa moyo wake.'
13 Przetoż tak mówi Pan: Pytajcie teraz między poganami, któż słyszał co takowego? Sprosność wielką popełniła panna Izraelska.
Kwa hiyo Bwana asema hivi, 'Uliza watu wa mataifa, ambao wamewahi kusikia habari kama hii? Bikira wa Israeli amefanya kitendo cha kutisha.
14 Izali kto opuści pola moje dla skał i dla śniegu na Libanie? Izali kto opuści wody ciekące dla wody bardzo zimnej?
Je, theluji ya Lebanoni imetoka milima yenye miamba juu ya pande zake? Je, mito ya mlima inayotoka mbali iliharibiwa, mito hiyo ya baridi?
15 Ale lud mój zapomniawszy na mię, marności kadzą i potykają się na drogach swych, na ścieszkach starodawnych, chodząc ścieszkami drogi nieutorowanej;
Hata hivyo watu wangu wamesahau. Wamefanya sadaka kwa sanamu zisizo na maana na wamefanya mashaka katika njia zao; wameacha njia za kale za kutembea katika njia ndogo.
16 Tak, abym podał ziemię ich na spustoszenie, na świstanie wieczne, aby każdy, ktoby szedł przez nią, zdumiał się, i kiwał głową swoją.
Nchi yao itakuwa ya hofu, kitu cha kuzomewa milele. Kila mtu atakayepita karibu naye atashuhudia na kutingisha kichwa chake.
17 Wiatrem wschodnim rozproszę ich przed nieprzyjacielem; tył a nie twarz ukażę im w dzień zatracenia ich.
Nitawaangamiza mbele ya adui zao kama upepo wa mashariki. Nitawageuzia kisogo, wala sio uso wangu, siku ya msiba wao.'”
18 I rzekli: Pójdźcie a wymyślmy co przeciwko Jeremijaszowi; bo nie zginie zakon od kapłana, ani rada od mądrego, ani słowo od proroka; pójdźcież, a ubijmy go językiem, a nie dbajmy na żadne słowa jego.
Basi watu wakasema, “Njoni, tufanye njama dhidi ya Yeremia, maana sheria haitapotea kabisa kwa makuhani, wala ushauri kutoka kwa wenye hekima, au maneno ya manabii. Njoo, mshambulie kwa maneno yetu na tusisikilize tena chochote anachosema.”
19 Pilnuj mię Panie! a słuchaj głosu tych, którzy się spierają ze mną.
Sikiliza, Ee Bwana! Na kusikiliza sauti ya adui yangu.
20 Izali się ma oddawać złem za dobre, że ukopali dół duszy mojej? Wspomnij, żem stawał przed obliczem twojem, abym za nimi mówił ku ich dobremu, i odwrócił zapalczywość twoję od nich.
Je, maafa kutoka kwao itakuwa malipo yangu kwa kuwa mema kwao? Kwa maana wamenichimbia shimo. Kumbuka jinsi nilivyosimama mbele yako ili niseme mema kwa ajili yao na kugeuza ghadhabu yako isiwapate.
21 Dlatego dopuść głód na synów ich, a spraw, że okrutnie będą pobici od miecza, że będą żony ich osierociałe i owdowiałe, a mężowie ich że będą haniebnie zamordowani, a dzieci ich pobite mieczem na wojnie.
Basi uwape watoto wao njaa, na uwatie mikononi mwa wale wanaotumia upanga. Basi, waache wanawake wao wafiwe na kuwa wajane, na watu wao watauawa, na vijana wao wauawe kwa upanga wa vita.
22 Niech będzie słyszany krzyk z domów ich, gdy na nich nagle wojsko przywiedziesz; bo ukopali dół, aby mię ułapili a sidła ukryli na nogi moje.
Kelele ya kusikitisha isikiwe kutoka katika nyumba zao, kama utakapoleta washambuliaji ghafla juu yao. Kwa kuwa wamechimba shimo kunikamata na wameficha mitego katika miguu yangu.
23 Aleś ty, Panie! powiadomy wszystkiej rady ich przeciwko mnie na śmierć: nie bądź miłościw nieprawościom ich, a grzechu ich przed obliczem twojem nie zagładzaj; ale niech się potkną przed oblicznością twoją, czasu zapalczywośli twojej surowo się o bchodź z nimi.
Lakini wewe, Bwana, unajua mipango yao yote dhidi yangu ya kuniua. Usisamehe uovu na dhambi zao. Usiondoe dhambi zao mbali nawe. Badala yake, waache waangamizwe mbele yako. Tenda juu yao wakati wa ghadhabu yako.

< Jeremiasza 18 >