< Ezechiela 43 >

1 Wiódł mię potem ku bramie, która brama patrzyła ku drodze na wschód słońca.
Yule mtu kisha akanileta hata kwenye lango lililokuwa linaelekea mashariki.
2 A oto chwała Boga Izraelskiego przychodziła drogą od wschodu, a szum jej był jako szum wód wielkich, a ziemia się lśniła od chwały jego.
Tazama! Utukufu wa Mungu wa Israeli ukaja kutoka mashariki; sauti yake ilikuwa kama sauti ya maji mengi, na nchi iling'aa kwa utukufu wake.
3 A podobne było ono widzenie, którem widział, cale onemu widzeniu, którem widział, gdym przychodził, abym psuł miasto; widzenie, mówię, podobne onemu widzeniu, którem widział u rzeki Chebar, i upadłem na twarz moję.
Yalikuwa yanalingana na sura ya ono nililolona, kulingana na ono nililokuwa nimeliona wakati alipokuja kuuteketeza mji, na maono yalikuwa kama maono ambayo niliyokuwa nimeyaona Keberi Kanali nikaanguka kifudi fudi.
4 A gdy chwała Pańska wchodziła do domu drogą bramy, która patrzała ku drodze na wschód słońca,
Hivyo utukufu wa Yahwe ukaja kwenye nyumba ya karibu na njia ya lango lililokuwa wazi kwa upande wa magharibi.
5 Tedy mię podniósł duch, i wwiódł mię do sieni wewnętrznej, a oto dom pełen był chwały Pańskiej.
Kisha Roho akanichukua na kunileta kwenye ua wa ndanni. Tazama! Utukufu wa Yahwe ulikuwa umeijaza nyumba.
6 I usłyszałem, a oto mówiono do mnie z domu, a on mąż stał podle mnie,
Mtu alisimama karibu na mimi, na nikamsikia mtu mwingine akizungumza na mimi kutoka kwenye nyumba.
7 I mówił do mnie: Synu człowieczy! miejsce stolicy mojej, i miejsce stóp nóg moich, na którem mieszkać będę w pośród synów Izraelskich na wieki; nie splugawi więcej dom Izraelski imienia świętobliwości mojej, ani oni, ani królowie ich w szeteczeńs twy swemi i trupami królów swych, ani wyżynami swemi.
Akanambia, “Mwanadamu, hapa ndipo mahali pangu pa enzi na mahali kwa ajili ya ya miguu yangu, ambapo nitaishi kati ya watu wa Israeli milele. Nyumba ya Israeli haitalikufuru tena jina langu takatifu-wao au wafalme wao katika mahali patakatifu pao.
8 Gdy kładli próg swój podle progu mego, a podwoje swoje podle podwoi moich, a ścianę między mną i między sobą; a tak splugawiali imię świętobliwości mojej obrzydliwościami swemi, które czynili, przetożem ich zniszczył w popędliwości mojej.
Hawatalikufuru tena jina langu takatifu kwa kuweka kizingiti chao karibu na kizingiti changu, na nguzo yao ya lango karibu na nguzo yangu ya lango, bila kitu lakini ukuta kati yangu na wao. Wamelikufuru jina langu kwa matendo yao machafu, hivyo nimewala kwa hasira yangu.
9 Ale teraz niech odrzucą wszeteczeństwo swoje, i trupy królów swoich odemnie, a będę mieszkał w pośrodku ich na wieki.
Sasa waache waondoe udanganyifu wao na maiti za wafalme wao kutoka kwangu, na nitaishi katikati yao milele.
10 Ty, synu człowieczy! powiedz domowi Izraelskiemu o tym domu, a niech się wstydzą za nieprawości swoje, i niech sobie rozmierzą wizerunek jego.
Mwanadamu, wewe mwenyewe utaiambia nyumba ya Israeli kuhusu nyumba hii hivyo watajiskia aibu ya uovu wao. Wanaweza kutafakari kuhusu haya maelezo.
11 A jeźliby się zawstydzili za wszystko, co czynili, tydy im oznajmij wizerunek domu tego, i wymiar jego, wyjście jego, i wejście jego, i wszystkie kształty jego, i wszystkie ustawy jego, wszystkie, mówię, kształty, i wszystkie prawa jego, a napisz przed oczyma ich, aby przestrzegali wszystkiego kształtu jego, i wszystkich ustaw jego, i czynili je.
Kwa kuwa wameaibika kwa yote waliyoyafanya, kisha waonyeshe mchoro wa nyumba, maelezo yake, matokeo yake, maingio yake, na mchoro wake, sheria zake zote na kanuni. Kisha andika hivi chini mbele ya macho yao ili waweze kutunza michoro yote na kanuni zake zote, hivyo kama wazitiivo.
12 A tenci jest zakon domu tego: Na wierzchu góry wszystko ogrodzenie jego wszędzie w około najświętsze jest; oto tenci jest zakon domu tego.
Hii ndiyo sheria kwa ajili ya nyumba: Kutoka kwenye kilele cha mlima hata mpaka wote unaoizunguka, patakuwa patakatifu sana. Tazama! Hii ndiyo sheria kwa ajili ya nyumba.
13 A teć są pomiary ołtarza według tychże łokci, a miara łokcia na łokieć i na dłoń; podstawek jego na łokieć wzwyż, a wszerz także na łokieć, a kraniec jego aż do kraju jego w około był na piędź jedną; a tać była wystawa ołtarza;
Hivi vitakuwa vipimo vya madhabahu katika dhiraa-hiyo dhiraa kuwa dhiraa ya kawaida na urefu wa kiganja. Hivyo mfereji ulio uzunguka madhabahu utakuwa dhiraa moja chini, na upana wake pia utakuwa dhiraa moja. Mpaka wa karibu uizungukayo machinjio shubiri moja. Hii itakuwa kitako cha madhabahu.
14 To jest od podstawku, który był przy ziemi, aż do przepasania niższego, dwa łokcie, a szerokość na jeden łokieć; a od mniejszego przepasania aż do przepasania większego cztery łokcie, a szerokość na łokieć;
Usawa wa kutoka kwenye mferji hadi kwenye machinijo ya chini ya madhabahu itakuwa dhiraa mbili, na hiyo machinjio yenyewe itakuwa dhiraa moja upana. Kisha kutoka machinjio madogo hadi kwenye machinjio makubwa ya madhabahu, itakuwa dhiraa nne, na machinjio makubwa yatakuwa dhraa moja upana.
15 Ale sam ołtarz niech będzie na cztery łokcie, a z ołtarza w górę cztery rogi.
Meko juu ya madhabahu kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa ni dhiraa nne juu, na kuna pembe nne zilizoelekea juu kwenye meku.
16 A ołtarz na dwanaście łokci wdłuż, a na dwanaście wszerz czworograniasty po czterech stronach swoich;
Meku ina dhiraa kumi na moja urefu na dhiraa kumi na mbili upana, za mraba.
17 A przepasanie jego na czternaście łokci wdłuż, a na czternaście wszerz, po czterech stronach jego, a kraniec około niego na pół łokcia, a podstawek jego na łokieć w około, a wschód jego na wschód słońca.
Mpaka wake ni dhiraa kumi na nne urefu na dhiraa kumi na nne upana pande zake zote nne, na ukingo wake ni nusu dhiraa upana. Mfereji ni dhiraa moja upana kuzuka kote pamoja na ngazi zielekeazo mashariki.”
18 I rzekł do mnie: Synu człowieczy! tak mówi panujący Pan: Teć są ustawy około ołtarza w dzień, w który zbudowany będzie, aby na nim ofiarowano całopalenia, i krwią na nim kropiono.
Kisha akanambia, “Mwanadamu, Bwana Yahwe asema hivi: Hizi ndizo sheria kwa ajili ya madhabahu katika siku watakayoitengeza, kwa ajili kutoa sadaka ya kuteketezwa kwenye hiyo, na kwa jili ya kunyunyiza damu juu yake.
19 A kapłanom Lewitom, którzy są z nasienia Sadokowego, a przystępują do mnie, mówi panujący Pan, aby mi służyli, dasz cielca młodego na ofiarę za grzech;
Utatoa ng'ombe kutoka kwenye kundi kama sadaka ya dhambi kwa ajili ya Walawi makuhani ambao ni uzao wa Zadoki, wale wajao karibu nami kunitumikia-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
20 Weźmiesz tedy ze krwi jego, a włożysz na cztery rogi jego, i na cztery węgły przepasania, i na kraniec w około; a tak go oczyścisz, i poświęcisz go.
Kisha utachukua baadhi ya damu yake na kuiweka juu pembe nne za madhabahu na pande nne za machinjio na kuuzunguka ukingo; utaitakasa na kufanya upatanisho kwa ajili yake.
21 Potem weźmiesz onego cielca za grzech, a spalisz go na miejscu postanowionem w onym domu zewnątrz przed świątnicą.
Kisha chukua ng'ombe kama sadaka ya dhambi na iteketezwe katika eneneo lililotengwa la nje ya patakatifu.
22 A wtórego dnia będziesz ofiarował kozła z kóz bez wady za grzech, i oczyszczą ołtarz, tak jako go cielcem oczyścili.
Kisha katika siku ya pili utatoa mbuzi dume asiyekuwa na dosari kutoka kundini kama sadaka ya dhambi; makuhani wataisafisha madhabahu kama walivyoisafisha kwa ng'ombe.
23 A gdy dokończysz oczyszczania, będziesz ofiarował cielca młodego bez wady, i barana z trzody bez wady.
Utakapomaliza kusafisha, toa ng'ombe asiyekuwa na dosari kutoka kwenye mifugo na kondoo dume asiyekuwa na dosari kutoka kundini.
24 Które gdy ofiarować będziesz przed Panem, wrzucą kapłani na nie soli, i uczynią z nich ofiarę całopalenia Panu.
Watoe mbele ya Yahwe; makuhani watanyunyiza chumvi juu yao na kuwainua juu kama sadaka ya kutekezwa kwa Yahwe.
25 Przez siedm dni będziesz ofiarował kozła za grzech na każdy dzień, także i cielca młodego, i barana z trzody bez wady ofiarować będą,
Utaandaa mbuzi dume kama sadaka ya dhambi kila siku kwa mda wa siku saba, na makuhani pia wataandaa ng'ombe asiye na dosari kutoka kwenye kundi na kondoo dume kutoka kwenye kundi.
26 Przez siedm dni oczyszczać będą ołtarz, i oczyszczą go, a poświęcą ręce swoje.
Wataipatanisha madhabahu kwa siku saba na kuitakasa, wataitakasa kwa njia hii.
27 A wypełniwszy te dni, ósmego dnia napotem sprawować będą kapłani na ołtarzu całopalenia wasze, i spokojne ofiary wasze, i przyjmę was łaskawie, mówi panujący Pan.
Watamaliza hizi siku saba, na katika siku ya nane na kuendelea itakuwa kwamba makuhani wataandaa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani kwenye madhabahu, ndipo nitakapowakubali-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”

< Ezechiela 43 >