< Ezechiela 39 >

1 A ty, synu człowieczy! prorokuj przeciwko Gogowi, a mów: Tak mówi panujący Pan: Otom Ja przeciwko tobie, Gogu, księciu główny w Mesechu i w Tubalu!
“Kisha wewe, mwanadamu, tabiri dhidi ya Gogu na sema, 'Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! ni kinyume nawe, Gogu, mkuu wa Mesheki na Tubali.
2 I zawrócę cię, a sześcioraką plagą ścisnę cię, i wywiodę cię z stron północych, a przywiodę cię na góry Izraelskie;
Nitakugeuza na kukuongoza; nitakupandisha juu kutoka mbali kaskazini na kukuleta hata milima ya Israeli.
3 A wytrącę łuk twój z ręki twojej lewej, i strzały twoje z prawej ręki twojej wybiję.
Kisha nitaufunga upinde wako utoke katika mkono wako wa kushoto na kuifanya mishale kuanguka kutoka kwenye mkono wako wa kuume.
4 Na górach Izraelskich upadniesz, ty i wszystkie hufy twoje, i narody, które z tobą będą; ptastwu i wszelkiej rzeczy skrzydlastej, i zwierzowi polnenu podam cię na pożarcie.
Utaanguka juu ya milima ya Israeli-wewe na jeshi lako late na maaskari walio pamoja nawe. Nitawapatia ndege mbua na wanyama pori wa mashambani kwa ajili ya chakula.
5 Na obliczu pola upadniesz; bom Ja to wyrzekł, mówi panujący Pan.
Utaanguka juu ya uso wa shamba, kwa kuwa mimi mwenyewe nimesema hivyo-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
6 I puszczę ogień na Magoga, i na tych, co bezpiecznie na wyspach mieszkają; a dowiedzą się, żem Ja Pan.
Kisha nitapeleka moto juu ya Magogu na kwa wale waishio salama juu ya pwani, na watajua yakwamba mimi ni Yahwe.
7 A imię świętobliwości mojej oznajmię w pośrodku ludu mego Izraelskiego, i nie dopuszczę więcej zmazać imienia świętobliwości mojej; i dowiedzą się narody, żem Ja Pan, święty w Izraelu.
Kwa kuwa nitalifanya jina langu takatifu lijulikane kati ya watu wangu Israeli, na sitaruhusu tena jina langu takatifu litukanwe; mataifa watajua kwamba mimi ni Yahwe, Mtakatifu katika Israeli.
8 Oto przyjdzie i stanie się to, mówi panujący Pan, tegoż dnia, o któremem mówił.
Tazama! Siku inakuja, na itachukua nafasi-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
9 Tedy wynijdą obywatele miast Izraelskich, a zapaliwszy spalą oręże i tarcze, i drzewca, łuki i strzały, kije ręczne i włócznie, i będą z nich niecić ogień przez siedm lat;
Hao wakaao katika miji ya Israeli watatoka nje na watatumia silaha kuwasha moto na kutengeneza moto na kuwachoma-ngao ndogo, ngao kubwa, pinde, mishale, rungu, na mikuki; watatengeneza mioto pamoja nao kwa muda wa siku saba.
10 A nie będą drew nosić z pola, ani ich rąbać w lasach, ale z oręża ogień niecić będą a złupią tych, którzy ich łupili, i splundrują tych, którzy ich plundrowali, mówi panujący Pan.
Hawatakusanya kuni kutoka mashambani wala kukata miti kutoka kwenye misitu, kwa kuwa watazichoma hizo silaha; watawateka nyara wale watakaotaka kuwateka nyara-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”
11 I stanie się dnia onego, że dam Gogowi miejsce na grób, tam w Izraelu, dolinę, którędy chodzą na wschód słońca ku morzu, która zatka usta mimo idących; i pogrzebią tam Goga i wszystkie zgraje jego, a będą ją zwać doliną mnóstwa Gogowego;
Kisha itakuwa katika hiyo siku ambayo nitaifanya sehemu huko kwa ajili ya Gogu-kaburi la Israeli, bonde kwa ajili ya wale wanaosafiri hata mashariki ya bahari. Litawazuia wale wanaotegemea kupita. Huko watamzika Gogu pamoja na kundi lake lote. Watapaita bonde la Hamon-Gogu.
12 Bo ich grześć będzie dom Izrelski przez siedm miesięcy aby oczyścili ziemię.
Kwa muda wa siku saba nyumba ya Israeli itawazika ili kuitakasa nchi.
13 A tak pogrzebie ich wszystek lud onej ziemi, i obróci się im to w sławę, w dzień, którego Ja będę uwielbiony, mówi panujący Pan.
Kwa kuwa watu wa nchi watawazika; itakuwa siku ya kukumbukwa kwao wakati nitakapotukuzwa-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
14 I obiorą mężów ustwaicznych, którzyby się przechodzili po onej ziemi, przechodzili, mówię, a chowali tych, którzyby zostali na ziemi, aby ją wyczyścili, a po wyjściu siedmiu miesięcy szukać poczną.
Kisha watawateua watu kuendelea kwenda kwenye nchi, kuwatafuta wale waliokuwa wakisafiri, lakini waliokufa na miili yao kubaki juu ya uso wa nchi, ili kwamba waweze kuwazika, kwa ajili ya kusafisha nchi. Katika siku ya mwisho ya mwezi wa saba wataanza kutafuta.
15 A ci przechodząc chodzić będą po ziemi, a ujrzawszy kości człowiecze postawią przy nich znak, aby je pochowali ci, co chowają umarłych, w dolini mnóstwa Gogowego.
Kama hawa watu wapitao kwenye nchi, watakapoona mfupa wowote wa binadamu, wataweka alama kwa huo, hadi wachimba kaburi watakapokuja na kuizika katika bonde la Hamoni Gogu.
16 Owszem, to mnóstwo jego będzie ku sławie miastu, gdy oczyszczą onę ziemię.
Kutakuwa na mji huko unaitwa Hamona. Wataitakasa nchi kwa njia hii.
17 A ty synu człowieczy! tak mówi panujący Pan: Rzecz ptastwu i wszelkiej rzeczy skrzydlastej, i każdej bestyi polnej: Zbierzcie się, a przyjdźcie, zgromadźcie się zewsząd na ofiarę moję, którą Ja wam sprawuję, ofiarę wielką na górach Izraelskiech, żebyście jedli mięso, i pili krew.
Kwako wewe, mwanadamu, Bwana Yahwe asema hivi: Waambie ndege wote wenye mabawa na wanyama wote wa porini katika mashamba, 'Kusanyikeni pamoja na mje. Kusanyikeni kutoka pande zote kwenda kwenye dhabihu yote ambayo mimi mwenyewe ninayoifanya kwa ajili yako, dhabihu kubwa juu ya milima ya Israeli, ili kwamba mle nyama na kunywa damu.
18 Mięso mocarzy jeść będziecie, a krew książąt ziemskich pić będziecie, baranów, baranków, i kozłów, i cielców, którzy wszyscy potyli w Basan.
Mtakula nyama ya walio hodari na kunywa damu ya wakuu wa dunia; watakuwa kondoo waume, wana kondoo, mbuzi, na ng'ombe, wote walikuwa wanene katika Basheni.
19 Najecie się tłustości do sytości a napijecie się krwi do upicia z tej ofiary mojej, którą wam nagotuję.
Kisha mtakula mafuta hata kuridhika kwenu; mtakunywa damu hadi kulewa; hii itakuwa dhabihu nitakayoichinja kwa ajili yenu.
20 I nasycicie się z stołu mego końmi, i jeźdźcami, mocarzami, i każdym mężem walecznym, mówi panujący Pan.
Mtatosheka kwenye meza yangu pamoja na farasi, magari ya farasi, shujaa, na kila mtu wa vita-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.'
21 A tak objawię chwałę moję między narodami, i oglądają wszystkie narody sąd mój, którym uczynił, i rękę moję, którąm na nie wyciągnął;
Nitauweka utukufu wangu kati ya mataifa, na mataifa yote yataona hukumu yangu ninayoionyesha na mkono wangu nimeuweka juu yao.
22 A dowie się dom Izraelski, żem Ja Pan, Bóg ich od onego dnia i na potem.
Nyumba ya Israeli itajua yakwamba mimi ni Yahwe Mungu wao kutoka hiyo siku na kuendelea.
23 Poznają też i narody, iż dla nieprawości swojej zawiedzieni są do więzienia dom Izraelski, dlatego, iż wystąpili przeciwko mnie. Dlategom też był zakrył oblicze swoje przed nimi, a podałem ich w ręce nieprzyjaciół ich, aby wszyscy od miecza polegli.
Mataifa yatajua kwamba nyumba ya Israeli wameenda uhamishoni kwa sababu ya udhalimu wao kwa kunisaliti, hivyo naficha uso wangu kwao na kuwaweka kwenye mkono wa maadui zao ili kwamba wote waanguke kwa upanga.
24 Według nieczystości ich, i według przewrotności ich obszedłem się z nimi, i zakryłem oblicze moje przed nimi.
Nimewafanyia kutokana na uchafu wao na dhambi zao, nitakapokuwa nimeuficha uso wangu kwao.
25 Przetoż tak mówi panujący Pan: Jużci przywrócę więźniów Jakóbowych; a zmiłuję się nad wszystkim domem Izraelskim; i gorliwym będę dla imienia świętobliwości mojej,
Kwa hiyo Bwana Yahwe asema hivi: Sasa nitawarudisha watu wa Yakobo, na kuwa na huruma juu ya nyumba yote ya Israeli, wakati nitakapoona wivu kwa ajili ya jina langu.
26 Gdy odniosą pohańbienie swoje i wszystko przestępstwo swoje, którem wystąpili przeciwko mnie, gdy bezpiecznie mieszkali w ziemi swojej, a nie był, ktoby ich trwożył;
Kisha watabeba aibu yao na uhaini mkubwa walio nihaini. Watayasahau haya yote watakapopumzika katika nchi yao katika usalama, wala hakuna mtu atakaye waogofya.
27 A gdy ich przywrócę z narodów, i zgromadzę ich z ziem nieprzyjaciół ich, i będę poświęcony w nich przed oczyma wielu narodów.
Wakati nitakapokuwa nimewarudisha kutoka kwa watu na kuwakusanya kutoka kwenye nchi za maadui zao, nitajionyesha mimi mwenyewe kuwa mtakatifu kwenye uso wa mataifa mengi.
28 Tedy się dowiedzą, żem Ja Pan, Bóg ich, gdy zawiódłszy ich do narodów zasię ich zgromadzę do ziemi ich, a nie zostawię tam więcej żadnego z nich.
Kisha watajua kwamba mimi ni Yahwe Mungu wao, kwa kuwa nimewapeleka utumwani kati ya mataifa, lakini kisha nitawakusanya kuwarudisha hata nchi yao. Sitamuacha hata mmoja wao kati ya mataifa.
29 I nie zakryję więcej oblicza mego przed nimi, gdyż wyleję ducha mojego na dom Izraelski, mówi panujący Pan.
Sitawaficha uso wangu kwao wakati nitakapomwaga Roho wangu katika nyumba ya Israeli-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”

< Ezechiela 39 >