< Estery 10 >

1 Potem ułożył król Aswerus podatek na ziemię swoję, i na wyspy morskie.
Mfalme Ahasuero alitoza ushuru katika ufalme wake wote hadi kwenye miambao yake ya mbali.
2 Awszystkie sprawy mocy jego, i możności jego, z opisaniem zacności Mardocheuszowej, którą go wielmożnym uczynił król, to zapisano w księgach kronik o królach Medskich i Perskich.
Matendo yake yote ya nguvu na uwezo, pamoja na habari zote za ukuu wa Mordekai ambao mfalme alikuwa amemkuza, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Umedi na Uajemi?
3 Albowiem Mardocheusz Żyd był wtórym po królu Aswerusie, i wielkim u Żydów, i zacny u mnóstwa braci swych, starając się o dobro ludu swego, i sprawując pokój wszystkiemu narodowi swemu.
Mordekai Myahudi alikuwa wa pili kwa cheo kutoka Mfalme Ahasuero, naye alikuwa bora kabisa miongoni mwa Wayahudi, akipandishwa katika heshima ya juu na ndugu zake Wayahudi kwa sababu aliwatendea mema watu wake, na alizungumza kwa ajili ya ustawi wa Wayahudi wote.

< Estery 10 >