< Amosa 2 >

1 Tak mówi Pan: Dla trzech występków Moaba, owszem, dla czterech, nie przepuszczę mu, przeto, iż spalił kości króla Edomskiego na popiół;
Hivi ndivyo Yahwe asemavyo: “Kwa dhambi tatu za Moabu, hata kwa nne, sintobadilisha adhabu, kwa sababu amechoma moto mifupa ya mfalme wa Edomu hadi kuwa chokaa.
2 Ale poślę ogień na Moaba, który pożre pałace Karyjot; i umrze Moab w huku, w krzyku i w głosie trąby.
Nitatuma moto juu ya Moabu, na utaangamiza ngome za Keriothi. Moabu atakufa katika gasia, pamoja na kelele na sauti ya tarumbeta.
3 I wygładzę sędziów z pośrodku jego, i wszystkich książąt jego pobiję z nim, mówi Pan.
Nitamuharibu mwamuzi kati yake, na nitawaua wana wa mfalme pamoja na yeye,” asema Yahwe.
4 Tak mówi Pan: Dla trzech występków Judzkich, owszem, dla czterech, nie przepuszczę mu, przeto, że odrzucają zakon Pański, i ustaw jego nie przestrzegają, a dadzą się zwodzić kłamstwom swoim, których naśladowali ojcowie ich;
Hivi ndivyo Yahwe asemavyo: “Kwa dhambi tatu za Yuda, hata kwa nne, sintobadilisha adhabu, kwa sababu wameikataa sheria ya Yahwe na hawakuzishika amri zake. Uongo wao umesababisha kupotea, ambao baba zao pia waliufuata.
5 Ale poślę ogień na Judę, który pożre pałace Jeruzalemskie.
Nitatuma moto juu ya Yuda, na utaimeza ngome ya Yerusalemu.”
6 Tak mówi Pan: Dla trzech występków Izraelskich, owszem, dla czterech, nie przepuszczę mu, przeto, że sprawiedliwego za pieniądze sprzedawają, a ubogiego za parę trzewików;
Hivi ndivyo Yahwe asemavyo: “Kwa dhambi tatu za Israeli, hata kwa nne, sintobadilisha adhabu, kwa sababu wamewauza wasio na hatia kwa fedha na maskini kwa jozi moja ya makubadhi.
7 Którzy usiłują, aby na proch potarli głowy ubogich, a drogę pokornych podwracają; nadto syn i ojciec jego wchodzą do jednejże dziewki, aby splugawili imię świętobliwości mojej;
Nao hukanyaga juu ya vichwa vya maskini kama kukanyaga kwenye mavumbi juu ya aridhi; wanasukuma kukandamiza. Mtu mmoja na baba yake walilala na msichana mmoja na hivyo kukufuru jina langu takatifu.
8 I na szatach zastawionych kłaniają się przy każdym ołtarzu, a wino tych, co podpadli pod kaźń, piją w domu bogów swoich.
Nao hulala chini karibu na kila madhabahu kwenye nguo zilizowekwa dhamana, na katika nyumba ya Mungu wao hunywa divai ya wale ambao walitozwa faini.
9 Chociażem Ja wytracił Amorejczyka od oblicza ich, którego wysokość była jako wysokość cedrów, aczkolwiek warownie stał jako dąb, wszakżem skaził owoc jego z wierzchu, a korzenie jego ze spodku.
Bado nimemwangamiza Mwamori mbele yao, ambaye urefu wake ulikuwa kama urefu wa mierezi; alikuwa na nguvu kama mialoni. Kisha nikaharibu matunda yake juu na mizizi yake chini.
10 A was wywiodłem z ziemi Egipskiej, i prowadziłem was po puszczy czterdzieści lat, żebyście posiedli ziemię Amorejczyka.
Pia, niliwapandisha kutoka nchi ya Misri na kuwaongoza miaka arobaini nyikani ili mmiliki nchi ya Wamori.
11 Nadto wzbudzałem z synów waszych proroków, a z młodzieńców waszych Nazarejczyków; izali nie tak jest, o synowie Izraelowi? mówi Pan.
Nimewainua manabii kutoka miongoni mwa watoto wanu wawe Wanadhiri kutoka vijana wenu. Je sio hivyo, watu wa Israeli? -hivi ndivyo Yahwe asemavyo.
12 Aleście wy napawali Nazarejczyków winem, a prorokom zakazywaliście, mówiąc: Nie prorokujcie.
Lakini mmewashawishi Wanadhiri kunywa mvinyo na kuwaamuru manabii wasifanye unabii.
13 Oto Ja ścisnę ziemię waszę, tak jako ciśnie wóz napełniony snopami.
Tazama, nitawakanyaga kama mkokoteni uliojaa miganda inayoweza kumkanyaga mtu.
14 I zginie ucieczka od prędkiego, a mocarz nie pokrzepi mocy swojej, i duży nie wybawi duszy swojej;
Mtu akimbiaye hatapata kimbilio; mwenye nguvu hatoongeza nguvu zake mwenyewe; wala shujaa kujiokoa mwenyewe.
15 A ten, który trzyma łuk, nie ostoi się, i prędki na nogi swe nie uciecze, a ten, który jeździ na koniu, nie zachowa duszy swej,
Apindaye upinde hatasimama; mkimbiaji sana hatakimbia; mwendesha farasi hatajiokoa mwenyewe.
16 Ale i rycerz serca zmężałego między mocarzami nago uciecze w on dzień, mówi Pan.
Hata wapiganaji shujaa watakimbia uchi katika siku hiyo -hivi ndivyo Yahwe asemavy.”

< Amosa 2 >