< II Samuela 9 >

1 Tedy rzekł Dawid: Jestże jeszcze kto, coby pozostał z domu Saulowego, abym uczynił nad nim miłosierdzie dla Jonatana?
Daudi akasema, “Je kuna yeyote aliyesalia wa familia ya Sauli ambaye naweza kumwonyesha kwa fadhiri kwa ajili ya Yonathani?
2 I był z domu Saulowego sługa, którego zwano Syba: tego zawołano do Dawida. I rzekł król do niego: Tyżeś jest Syba? A on odpowiedział: Jam jest, sługa twój.
Alikuwepo mtumishi katika familia ya Sauli jina lake Siba, akaitwa kwa Daudi. Mfalme akamuuliza, “Je wewe ndiye Siba?” Akajibu, “Mimi ni mtumishi wako, ndiye.”
3 Potem rzekł król: Jestże jeszcze kto z domu Saulowego, abym nad nim uczynił miłosierdzie Boże? Odpowiedział Syba królowi: Jest jeszcze syn Jonatana, chromy na nogi.
Hivyo mfalme akasema, “Je hakuna aliyesalia wa familia ya Sauli ambaye naweza kumuonesha wema wa Mungu?” Siba akamjibu mfalme, “Yonathani ana mwana, ambaye ni mlemavu wa miguu.
4 I rzekł do niego król: Gdzieli jest? A Syba odpowiedział królowi: Oto, jest w domu Machira, syna Ammijelowego, w Lodebarze.
Mfalme akamwambia, “Yupo wapi?” Siba akamjibu mfalme, “Tazama, yupo katika nyumba ya Makiri mwana wa Amieli huko Lo Debari.
5 Przetoż posłał król Dawid, i wziął go z domu Machira, syna Ammijelowego z Lodebaru.
Ndipo mfalme Daudi akatuma watu na kumtoa katika nyumba ya Makiri mwana wa Amieli huko Lo Debari.
6 A gdy przyszedł Mefiboset, syn Jonatana, syna Saulowego, do Dawida, upadł na oblicze swe, i pokłonił się. I rzekł Dawid: Mefibosecie! Który odpowiedział: Oto, sługa twój.
Hivyo Mefiboshethi mwana wa Yonathani mwana wa Sauli, akaja kwa Daudi naye akainama uso wake hadi katika sakafu kwa kumheshimu Daudi. Daudi akasema, “Mefiboshethi.” Naye akajibu, “Angalia, mimi ni mtumishi wako!
7 I rzekł do nigo Dawid: Nie bój się: bo zapewne uczynię z tobą miłosierdzie dla Jonatana, ojca twego, i przywrócęć wszystkę rolą Saula, dziada twego. a ty będziesz jadł chleb u stołu mego zawżdy.
Daudi akamwambia, “Usiogope, maana hakika nitakufadhiri kwa ajili ya Yonathani baba yako, nami nitakurudishia ardhi yote ya Sauli babu yako, nawe utakula katika meza yangu daima.”
8 Tedy ukłoniwszy się, rzekł: Coż jest sługa twój, żeś się obejrzał na psa zdechłego, jakom ja jest?
Mefiboshethi akainama na kusema, “Mtumishi wako ni nani, hata ukamwangalia kwa fadhiri mbwa mfu kama nilivyo?”
9 Zatem wezwał król Syby, sługi Saulowego i rzekł mu: Cokolwiek miał Saul, i wszystek dom jego, dałem synowi pana twego.
Kisha mfalme akamwita Siba, mtumishi wa Sauli, na kumwambia, “Yote yaliyo ya Sauli na familia yake nimempa mjukuu wa bwana wako.
10 Będziesz tedy sprawował rolą jego, ty, synowie twoi, i słudzy twoi, a będziesz dodawał, aby miał chleb syn pana twego, któryby jadł; ale Mefiboset, syn pana twego, będzie zawżdy jadał chleb u stołu mego. A Syba miał piętnaście synów i dwadzieścia sług.
Wewe, wanao, na watumishi wako mtalima mashamba kwa ajili yake nanyi mtavuna mazao ili kwamba mjukuu wa bwana wako apate chakula. Kwa maana Mefiboshethi, mjukuu wa bwana wako, atakula katika meza yangu daima.” Basi Siba alikuwa na wana kumi na watano na watumishi ishirini.
11 I odpowiedział Syba królowi: Wszystko, co rozkazał król, pan mój, słudze swemu, tak uczyni sługa twój, aczkolwiek Mefiboset mógłby jadać u stołu mego, jako jeden z synów królewskich.
Kisha Siba akamwambia mfalme, “Mtumishi wako atafanya yote ambayo bwana wangu mfalme amemwamuru mtumishi wake.” Mfalme akaongeza kusema, kwa Mefiboshethi yeye atakula katika meza yangu, kama mmojawapo ya wana wa mfalme.”
12 Miał też Mefiboset syna małego, imieniem Micha; a wszyscy, którzy mieszkali w domu Sybowym, byli sługami Mefibosetowymi.
Mefiboshethi alikuwa na mwana mdogo jina lake Mika. Na wote waliokuwa wanaishi katika nyumba ya Siba walikuwa watumishi wa Mefiboshethi.
13 A tak Mefiboset mieszkał w Jeruzalemie, bo on u stołu królewskiego zawżdy jadał; a był chromy na obie nogi.
Hivyo Mefiboshethi akaishi Yerusalemu, naye akala chakula cha daima katika meza ya mfalme, japokuwa alikuwa mlemavu wa miguu yote.

< II Samuela 9 >