< II Królewska 8 >

1 Potem Elizeusz rzekł do onej niewiasty, której był syna wskrzesił, mówiąc: Wstań a idź, ty i dom twój, a bądź gościem, kędy będziesz mogła być; bo zawołał Pan głodu, i przyjdzie na ziemię przez siedm lat.
Basi, Elisha alikuwa amemwambia yule mwanamke ambaye alimfufulia mtoto wake. Akamwambia, “Inuka na uenede pamoja na nyumba yako, na uishi popote uwezapo katika nchi nyingine, kwa sababu Yahwe ameiita njaa ambayo itakuja katika hii nchi kwa miaka saba.”
2 Wstała tedy ona niewiasta, i uczyniła według słowa męża Bożego; a poszła ona i dom jej, i była gościem w ziemi Filistyńskiej przez siedm lat.
Basi yule mwanamke akainuka na akatii lile neno la mtumishi wa Mungu. Akaenda na nyumba yake na kuishi kwenye nchi ya Wafilisti miaka saba.
3 I stało się po wyjściu siedmiu lat, że się wróciła ona niewiasta z ziemi Filistyńskiej, i poszła, aby wołała na króla o dom swój, i o rolę swoję.
Ikafika kama mwishoni mwa miaka saba yule mwanamke akarudi kutoka kwenye ile nchi ya Wafilisti, na kwenda kwa mfalme kumuomba nyumba yake na kwa ajili ya nchi yake.
4 A na ten czas król rozmawiał z Giezym, sługą męża Bożego, mówiąc: Powiedz mi proszę wszystkie zacne sprawy, które czynił Elizeusz.
Basi mfalme alikuwa anaongea na Gehazi yule mtumishi wa Mungu, akisema, “Tafadhali niambie yale mambo makubwa ambayo Elisha ameyafanya.”
5 A gdy on powiadał królowi, jako wskrzesił umarłego, oto niewiasta, której był wskrzesił syna, zawołała na króla o dom swój i o rolę swoję. I rzekł Giezy: Królu panie mój, tać to jest niewiasta, i ten syn jej, którego wskrzesił Elizeusz.
Basi alipokuwa akimwambia yule mfalme jinsi gani Elisha alivyomfufua yule mtoto aliyekufa, huyo mwanamke ambaye mtoto wake aliyekuwa amefufuliwa akaja kumuomba yule mfalme kwa ajili ya nyumba yake na nchi yake. Gehazi akasema, “Bwana wangu, mfalme, huyu ndiye yule mwanamke, na huyu ndiye mtoto wake, ambaye Elisha amemfufua.”
6 I pytał król niewiasty, a ona mu powiedziała. I przydał jej król komornika jednego, mówiąc: Przywróć jej wszystko, co jej było, i wszystkie dochody z pola od onego dnia, którego opuściła ziemię, aż dotąd.
Wakati yule mfalme alipomuuliza yule mwanamke kuhusu mtoto wake, alimwelezea yule mfalme. Ndipo mfalme akamwagizia ofisa makini, akisema, “Mrudishie vyote vilivyokuwa vyake na mavuno yake yote ya kwenye mashamba tangu siku alipoondoka hadi sasa.”
7 Potem przyszedł Elizeusz do Damaszku, a Benadad, król Syryjski, chorował. I powiedziano mu, mówiąc: Przyszedł tu mąż Boży.
Elisha akaja Damaskasi ambako Ben Hadadi yule mfalme wa Shamu alikuwa anaumwa. Yule mfalme aliambiwa, “Yule mtu wa Mungu amekuja hapa.”
8 I rzekł król do Hazaela: Weźmij w rękę swą upominek, a idź przeciwko mężowi Bożemu, i pytaj się Pana przezeń, mówiąc: Wstanęli z tej choroby?
Mfalme akamwambia Hazaeli, “Chukua zawadi kwenye mkono wako na uende ukakutane na mtu wa Mungu, na ukazungumze na Yahwe kupitia yeye, ukisema, “Je nitapona huu ugonjwa wangu?”
9 Przetoż szedł Hazael przeciwko niemu, a wziąwszy upominek w rękę swą, i ze wszystkich dóbr Damaskich brzemion na czterdzieści wielbłądów. I przyszedł, a stanął przed nim, mówiąc: Syn twój Benadad, król Syryjski, posłał mię do ciebie, mówiąc: Wstanęli z tej choroby?
Basi Hazaeli akaenda kuonana naye na kuchukua zawadi zake za kila kitu kizuri cha Damskasi, akabeba ngamia arobaini. Hivyo Hazaeli akaja na kusimama mbele ya Elisha na kusema, “Mtoto wako Ben Hadadi mfalme wa Shamu amenituma kwako, kusema, “Je nitapona huu ugonjwa?”
10 I odpowiedział mu Elizeusz: Idź, powiedz mu: Wprawdziebyści mógł żyć; wszakże okazał mi Pan, że pewnie umrzesz.
Elisha akamwambia, “Nenda, kwa Ben Hadadi, 'Utapona hakika,' lakini Yahwe amenionyesha kwamba atakufa hahkika.”
11 Wtem pokazał mu, i stawił twarz swoję smutną, i płakał mąż Boży.
Basi Elisha akamtumbulia macho Hazaeli hadi alipojisikia aibu, na yule mtu wa Mungu akalia machozi.
12 Któremu rzekł Hazael: Czemuż pan mój płacze? I odpowiedział: Iż wiem, co uczynisz złego synom Izraelskim. Twierdze ich popalisz ogniem, a młodzieńce ich mieczem pomordujesz, i dzieci ich poroztrącasz, i brzemienne ich porozcinasz.
Hazaeli akauliza, kwa nini unalia, bwana wangu?” Akajibu, “Kwa sababu najua uovu ambao utakaoufanya kwa watu wa Israeli. Utazichoma moto ngome zao kwa moto, na utawaua vijana wao kwa upanga, kuwaseta vipande vipande watoto wao wachanga, na kuwapasua mimba zao wanawake wenye mimba.”
13 Tedy rzekł Hazael: Co? Izali sługa twój pies, żeby miał czynić tak wielką rzecz? I odpowiedział Elizeusz: Okazał mi Pan, że ty będziesz królem nad Syrią.
Hazaeli akajibu, Ni nani mtumwa wako, ambaye atafanya jambo hili kubwa? Yeye ni mbwa tu.” Elisha akajibu, “Yahwe amenionyesha kwamba utakuwa mfalme juu ya Shamu.”
14 I odszedł od Elizeusza, a przyszedł do pana swego, który rzekł do niego: Cóż ci powiedział Elizeusz? A on rzekł: Powiedział mi, żebyś pewnie mógł żyć.
Ndipo Hazaeli akamwacha Elisha na kuja kwa bwana wake, ambaye alimwambia, “Je Elisha alikwambiaje?” Akajibu, “Ameniambia kwamba utapona bila shaka.”
15 A nazajutrz wziął Hazael kołdrę i zamaczał ją w wodzie, i rozciągnął na twarzy jego. I umarł (Benadad), a Hazael królował miasto niego.
Basi siku ya pili yake Hazaeli akachukua blangeti na kulichovya kwenye maji, na kulitandaza kwenye uso wa Ben Hadadi hivyo akafa. Basi Hazaeli akawa mfalme katika sehemu sehemu yake.
16 A roku piątego Jorama, syna Achaba, króla Izraelskiego, i Jozafata króla Judzkiego, począł królować Joram, syn Jozafata, król Judzki.
Katika mwaka wa kumi na tano wa Yoramu mwana wa Ahabu, mfalme wa Israeli, Yehoramu akaanza kutawala. Alikuwa mwana wa Yehoshafati mfalme wa Yuda. Alianza wakati Yehoshafati alikuwa mfalme wa Yuda.
17 Trzydzieści i dwa lata miał, gdy królować począł, a ośm lat królował w Jeruzalemie.
Yoramu alikuwa na umri wa miaka thelathini na mbili alipoanza kutawala, na alitawala kwa mda wa miaka minane katika Yerusalemu.
18 Ale chodził drogami królów Izraelskich, sprawując się jako dom Achabowy; bo córkę Achabową miał za żonę, i czynił złe przed oczyma Pańskiemi.
Yoramu akatembea kwenye njia ya huyo mfalme wa Israeli, kama walivyokuwa wakifanya kwenye nyumba ya Ahabu; kwa kuwa alikuwa na binti wa Ahabu kama mke wake, na alifanya uovu usoni kwa Yahwe.
19 Wszakże nie chciał Pan wytracić Judy, dla Dawida, sługi swego, jako mu był powiedział, iż mu miał dać pochodnię między synami jego, po wszystkie dni.
Walakini, kwa sababu ya mtumishi wake Daudi, Yahwe hakutaka kuiharibu Yuda, tangu alipomwambia kwamba atampatia wazao.
20 Za dni jego odstąpił Edom, aby nie był pod mocą Judy; i postanowili nad sobą króla.
Katika siku za Yoramu, Edomu akaasi kutoka chini ya mkono wa Yuda, na wakamfanya mfalme juu yao wenyewe.
21 Przetoż przyciągnął Joram do Seiru, i wszystkie wozy z nim; a wstawszy w nocy poraził Edomczyki, którzy go byli otoczyli, i hetmany wozów, tak iż lud uciekał do namiotów swoich.
Basi Yehoramu akaenda na maamri jeshi na magari ya farasi yote. Ilitokea kwamba akaamka usiku na kushambulia na kuwazunguka Waedomu, waliokuwa wamemzunguka na wale maamri jeshi wa magari ya farasi. Ndipo wanajeshi wa Yehoramu wakakimbilia wajumbani kwao.
22 Wszakże odstąpił Edom, aby nie był pod mocą Judy, aż do dnia tego. Odstąpiło także i Lobne onegoż czasu.
Hivyo Edomu aliasi dhidi ya utawala wa Yuda katika siku hizi. Libna pia aliasi katika kipindi hicho hicho.
23 A inne sprawy Joramowe, i wszystko co czynił, izali nie jest napisane w kronikach o królach Judzkich?
Kwa mambo mengine yamhusuyo Yehoramu, yote aliyoyafanya, je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya mfalme wa Yuda?
24 I zasnął Joram z ojcami swymi, a pogrzebiony jest z ojcami swymi w mieście Dawidowem; i królował Ochozyjasz, syn jego, miasto niego.
Yehoramu akafa na kuzikwa pamoja na baba zake, na akalala pamoja na baba zake katika mji wa Daudi. Ndipo Ahazi mtoto wake akawa mfalme katika sehemu yake.
25 Roku dwunastego Jorama, syna Achaba, króla Izraelskiego, począł królować Ochozyjasz, syn Jorama, króla Judzkiego.
Katika mwaka wa kumi na mbili wa Yohoramu mwana wa Ahabu, mfalme wa Israeli, Ahazi mwana wa Yehoramu, mfalme wa Yuda, alianza kutawala.
26 We dwudziestu i dwóch latach był Ochozyjasz, gdy królować począł, a rok jeden królował w Jeruzalemie; a imię matki jego było Atalija, córka Amrego, króla Izraelskiego.
Ahazi alikuwa ana umri wa miaka ishirini na mbili wakati alipoanza kutawala; alitawala kwa mda wa mwaka mmoja katika Yerusalemu. Mama yake alikuwa anaitwa Athalia; alikuwa mtoto wa Omri, mfalme wa Israeli.
27 Ten chodził drogą domu Achabowego, i czynił złe przed oczyma Pańskiemi, jako i dom Achabowy; bo był zięciem domu Achabowego.
Ahazia alitembelea katika nyumba ya Ahabu; alifanya yale yaliyo maovu katika uso wa Yahwe, kama nyumba ya Ahabu ilivyokuwa ikifanya, kwa kuwa Ahazia alikuwa mkwe kwenye nyumba ya Aabu.
28 Przetoż wychadzał z Joramem, synem Achabowym, na wojnę przeciw Hazaelowi, królowi Syryjskiemu, do Ramot Galaadskiego; ale porazili Syryjczycy Jorama.
Ahazia akaenda pamoja na Yoramu mwana wa Ahabu, kupigana dhidi ya Hazaeli, mfalme wa Shamu, katika Ramath Geleadi. Washami wakamjeruhi Yoramu.
29 A tak wrócił się król Joram, aby się leczył w Jezreelu na rany, które mu byli zadali Syryjczycy w Ramacie, gdy walczył z Hazaelem, królem Syryjskim. A Ochozyjasz, syn Jorama, króla Judzkiego, przyjechał nawiedzać Jorama, syna Achabowego, do Jezreela; bo tam chorował.
Mfalme Yoramu akarudi ili auguzwe huko Yezreeli kwenye yale majeraha ambayo Washami walimpatia huko Rama. Wakati alipopigana dhidi ya Hazaeli mfalme wa Shamu. Hivyo Ahazi mwana wa Yehoramu, mfalme Yuda, akashuka kwa Yezreeli kumuona Yoramu mwana wa Ahabu, kwa sababu Yoramu alikuwa amejeruhiwa.

< II Królewska 8 >