< I Piotra 1 >

1 Piotr, Apostoł Jezusa Chrystusa, przychodniom rozproszonym w Poncie, w Galacyi, w Kapadocyi, w Azji i w Bitynii;
Petro, mtume wa Yesu Kristo: Kwa wateule wa Mungu, wageni katika ulimwengu, waliotawanyika kote katika Ponto, Galatia, Kapadokia, Asia na Bithinia.
2 Wybranym według przejrzenia Boga Ojca przez poświęcenie Ducha, ku posłuszeństwu i pokropieniu krwi Jezusa Chrystusa. Łaska wam i pokój niech będzie rozmnożony.
Ni ninyi ambao mlichaguliwa tangu mwanzo na Mungu Baba kulingana na alivyotangulia kuwajua, kupitia kwa kazi ya utakaso wa Roho, katika utiifu kwa Yesu Kristo na kunyunyiziwa damu yake: Neema na amani ziwe kwenu kwa wingi.
3 Błogosławiony niech będzie Bóg i Ojciec Pana naszego, Jezusa Chrystusa, który według wielkiego miłosierdzia swego odrodził nas ku nadziei żywej przez zmartwychwstanie Jezusa Chrystusa od umarłych,
Ahimidiwe Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo! Kwa rehema zake kuu ametuzaa sisi mara ya pili katika tumaini lenye uzima kupitia kwa kufufuka kwa Yesu Kristo kutoka kwa wafu,
4 Ku dziedzictwu nieskazitelnemu i niepokalanemu, i niezwiędłemu, w niebiesiech dla was zachowanemu,
ili tuupate urithi usioharibika, usio na uchafu, ule usionyauka: uliotunzwa mbinguni kwa ajili yenu,
5 Którzy mocą Bożą strzeżeni bywacie przez wiarę ku zbawieniu, które zgotowane jest, aby było objawione czasu ostatecznego.
ninyi ambao mnalindwa na nguvu za Mungu kwa njia ya imani, hadi uje ule wokovu ulio tayari kufunuliwa nyakati za mwisho.
6 W czem weselicie się teraz maluczko, (jeźliże potrzeba) zasmuceni w rozmaitych pokusach,
Katika hili mnafurahi sana, ingawa sasa kwa kitambo kidogo mmehuzunishwa kwa majaribu ya namna nyingi.
7 Aby doświadczenie wiary waszej daleko droższe niż złoto, które ginie, którego jednak przez ogień doświadczają, znalezione było wam ku chwale i ku czci, i ku sławie w objawienie Jezusa Chrystusa,
Haya yamewajia ili kwamba imani yenu, iliyo ya thamani kuliko dhahabu ipoteayo, ingawa hujaribiwa kwa moto, ionekane kuwa halisi na imalizie katika sifa, utukufu na heshima wakati Yesu Kristo atadhihirishwa.
8 Którego nie widziawszy, miłujecie, którego teraz nie widząc, wszakże weń wierząc, weselicie się radością niewymowną i chwalebną,
Ingawa hamjamwona, mnampenda; tena ingawa sasa hammwoni, mnamwamini na kujawa na furaha isiyoneneka yenye utukufu usioelezeka.
9 Odnosząc koniec wiary waszej: zbawienie dusz.
Maana mnaupokea wokovu wa roho zenu, ambao ndio lengo la imani yenu.
10 O którem zbawieniu wywiadywali się i badali się prorocy, którzy o tej łasce, która na was przyjść miała, prorokowali.
Kwa habari ya wokovu huu, wale manabii waliosema kuhusu neema ambayo ingewajia ninyi, walitafuta kwa bidii na kwa uangalifu mkubwa,
11 Badając się, na który albo na jaki czas objawiał Duch Chrystusowy, który w nich był, świadcząc pierwej o utrapieniach, które miały przyjść na Chrystusa i o wielkiej za tem chwale.
wakijaribu kujua ni wakati upi na katika mazingira gani ambayo Roho wa Kristo aliyekuwa ndani yao alionyesha, alipotabiri kuhusu mateso ya Kristo na utukufu ule ambao ungefuata.
12 Którym objawione jest, iż nie samym sobie, ale nam tem usługiwali, co wam teraz zwiastowano przez tych, którzy wam kazali Ewangieliję przez Ducha Świętego z nieba zesłanego, na które rzeczy pragną patrzyć Aniołowie.
Walidhihirishiwa kwamba walikuwa hawajihudumii wao wenyewe, bali waliwahudumia ninyi, waliponena kuhusu mambo hayo, ambayo sasa yamehubiriwa kwenu na wale waliowahubiria ninyi Injili kwa Roho Mtakatifu aliyetumwa kutoka mbinguni. Hata malaika wanatamani kuyafahamu mambo haya.
13 Przetoż przepasawszy biodra myśli waszej i trzeźwymi będąc, doskonałą miejcie nadzieję ku tej łasce, która wam dana będzie w objawienie Jezusa Chrystusa,
Kwa hiyo, tayarisheni nia zenu kwa kazi; mwe na kiasi, mkitumainia kikamilifu ile neema mtakayopewa Yesu Kristo atakapodhihirishwa.
14 Jako synowie posłuszni, którzy się nie przypodobywacie przeszłym w nieumiejętności waszej pożądliwościom;
Kama watoto watiifu, msifuate tamaa zenu mbaya wakati mlipoishi kwa ujinga.
15 Ale jako ten, który was powołał, święty jest, i wy bądźcie świętymi we wszelkiem obcowaniu,
Bali kama yeye aliyewaita alivyo mtakatifu, nanyi kuweni watakatifu katika mwenendo wenu wote.
16 Dlatego że napisano: Świętymi bądźcie, iżem Ja jest święty.
Kwa maana imeandikwa: “Kuweni watakatifu, kwa kuwa mimi ni mtakatifu.”
17 A ponieważ Ojcem nazywacie tego, który bez braku osób każdego sądzi według uczynku, patrzcież, abyście w bojaźni czas pielgrzymowania waszego trawili,
Kwa sababu mnamwita Baba ahukumuye kila mtu kulingana na matendo yake pasipo upendeleo, enendeni kwa hofu ya kumcha Mungu wakati wenu wa kukaa hapa duniani kama wageni.
18 Wiedząc, iż nie skazitelnemi rzeczami, srebrem albo złotem, wykupieni jesteście od marnego obcowania waszego, od ojców podanego.
Kwa maana mnafahamu kwamba mlikombolewa kutoka mwenendo wenu usiofaa ambao mliurithi kutoka kwa baba zenu, si kwa vitu viharibikavyo kama fedha na dhahabu,
19 Ale drogą krwią, jako baranka niewinnego i niepokalanego, Chrystusa;
bali kwa damu ya thamani ya Kristo, yule Mwana-Kondoo asiye na dosari wala doa.
20 Przejrzanego przed założeniem świata, a objawionego czasów ostatecznych dla was,
Yeye alichaguliwa kabla ya kuwekwa kwa misingi ya ulimwengu, lakini akadhihirishwa katika siku hizi za mwisho kwa ajili yenu.
21 Którzy przez niego wierzycie w Boga, który go wzbudził od umarłych i dał mu chwałę, aby wiara i nadzieja wasza była w Bogu.
Kupitia kwake mmemwamini Mungu, aliyemfufua kutoka kwa wafu na akampa utukufu, ili imani yenu na tumaini lenu ziwe kwa Mungu.
22 Oczyszczając dusze wasze w posłuszeństwie prawdy przez Ducha Świętego ku nieobłudnej braterskiej miłości, z czystego serca jedni drugich miłujcie uprzejmie,
Basi kwa kuwa mmejitakasa nafsi zenu kwa kuitii ile kweli hata mkawa na upendo wa ndugu usio na unafiki, basi pendaneni kwa dhati kutoka moyoni.
23 Odrodzeni będąc nie z nasienia skazitelnego, ale z nieskazitelnego przez słowo Boże żywe i trwające na wieki. (aiōn g165)
Kwa maana mmezaliwa upya, si kwa mbegu ile iharibikayo, bali kwa ile isiyoharibika, kupitia kwa neno la Mungu lililo hai na linalodumu milele. (aiōn g165)
24 Ponieważ wszelkie ciało jest jako trawa i wszelka chwała człowieka jako kwiat trawy; uwiędła trawa i kwiat jej opadł;
Maana, “Wanadamu wote ni kama majani, nao utukufu wao ni kama maua ya kondeni; majani hunyauka na maua huanguka,
25 Ale słowo Pańskie trwa na wieki. A toć jest słowo, które wam jest zwiastowane. (aiōn g165)
lakini neno la Bwana ladumu milele.” Hili ndilo neno lililohubiriwa kwenu. (aiōn g165)

< I Piotra 1 >