< I Królewska 21 >

1 I stało się potem: Miał Nabot Jezreelita winnicę, która była w Jezreelu podle pałacu Achaba, króla w Samaryi.
Basi ikawa baada ya hayo, Nabothi Myezreeli alikuwa na shamba la mizabibu kule Yezreeli, karibu na ikulu ya Ahabu, mfalme wa Samaria.
2 I rzekł Achab do Nabota, mówiąc: Daj mi winnicę twoję, abym miał z niej ogród dla jarzyn, albowiem bliska jest domu mego; a dam ci za nię winnicę lepszą, niżli ta jest; albo jeźlić się zda, dam ci pieniędzy, ile stoi.
Ahabu akamwambia Nabothi, akisema, “Nipe shamba lako, ili nilifanye kuwa bustani ya mboga, kwa sababu iko karibu na nyumba yangu. Badala yake nitakupa shamba zuri la mizabibu, au, kama ukipenda nitakulipa thamani yake kwa fedha.”
3 I odpowiedzał Nabot Achabowi: Nie daj tego Panie, abym ci miał dać dziedzictwo ojców moich.
Nabothi akamjibu Ahabu, “BWANA na alizuie hilo nisije nikatoa urithi wa mababu zangu kwako.”
4 Tedy przyszedł Achab do domu swego smutny i zagniewany dla słowa, które mu rzekł Nabot Jezreelita, mówiąc: Nie dam ci dziedzictwa ojców moich; i układł się na łożu swem, a odwrócił twarz swoję, i nie jadł chleba.
Ahabu akaingia kwenye ikulu yake akiwa mchovu na mwenye hasira kwa sababu ya jibu ambalo Nabothi Myezreeli alimpa aliposema, “Sitakupa urithi wa mababu zangu.” Akalala kitandani kwake, akiwa amegeuza uso wake upande ule, na akagoma kula chakula chochote.
5 Wtem przyszedłszy do niego Jezabela, żona jego, rzekła mu: Przedże duch twój tak smutny, że nie jesz chleba?
Yezebeli mke wake akaiingia kwake, akamwambia “Kwa nini moyo wako una huzuni, kiasi kwamba hutaki kula?”
6 I odpowiedział jej: Przeto żem mówił z Nabotem Jezreelitą, i rzekłem mu: Daj mi winnicę twoję za pieniądze, albo jeźli chcesz, dam ci winnicę za nię; ale on odpowiedział: Nie dam ci winnicy mojej.
Naye akamjibu,” Niliongea na Nabothi Myezreeli nikamwambia, 'Nipe shamba lako nami nitakupa pesa, au kama inakupendeza, nitakupa shamba jingine ili liwe lako.' Naye akanijibu, 'Sitakupa shamba langu.'”
7 Tedy rzekła do niego Jezabela, żona jego: I także ty sprawujesz królestwo Izraelskie? Wstań, jedz chleb, a bądź dobrej myśli; ja tobie dam winnicę Nabota Jezeelity.
Naye Yezebeli mkewe akamjibu, “Je, wewe si mtawala wa ufalme wa Israeli? Inuka ule; na moyo wako uwe na amani. Nitalichukua hilo shamba la mizabibu la Nabothi Myezreeli kwa ajili yako.
8 A tak napisała list imieniem Achabowem, który zapieczętowała pieczęcią jego, i posłała on list do starszych i do przedniejszych, którzy byli w mieście jego, i mieszkali z Nabotem.
Kwa hiyo Yezebeli akaandika barua kwa jina la Ahabu, akaitia muhuri wake, akazituma kwa wazee na kwa watu tajiri alioketi nao kwenye vikao, na ambao pia waliishi karibu na Nabothi.
9 A napisała on list w ten sposób: Zapowiedźcie post, a posadźcie Nabota między przedniejszymi z ludu;
Katika ile barua aliyoandika, ilisema hivi, “Pigeni mbiu ya kufunga mkamkalishe Nabothi juu mbele ya watu.
10 I postawcie dwóch mężów przewrotnych przeciw niemu, którzyby przeciwko niemu świadczyli, mówiąc: Złożeczyłeś Bogu i królowi; potem wywiedźcie go, a ukamionujcie go, aby umarł.
Pia mwaweke watu wawili wasiokuwa waaminifu pamoja naye na wale watu watoe ushahidi kinyume naye, waseme, 'Ulimlaani Mungu na mfalme.”Halafu mchukueni nje mkampige kwa mawe mpaka afe.
11 I uczynili mężowie onego miasta starsi i przedniejsi, którzy mieszkali w onem mieście jego, jako była wskazała do nich Jezabela, według tego, jako napisano było w liście, który posłała do nich.
Kwa hiyo watu wa mji wake, wazee na watu tajiri waishio kwenye huo mji, wakafanya kama Yezebeli alivyowaeleza, kama ilivyoandikwa kwenye zile baraua ambazo alikuwa amewatumia.
12 Zapowiedzieli post, i posadzili Nabota między przedniejszymi z ludu.
Wakapiga mbiu ya kufunga wakamkalisha Nabothi juu mbele ya watu.
13 Potem przyszli dwaj mężowie przewrotni, i usiedli przeciw niemu, a świadczyli przeciwko niemu oni mężowie przewrotni, to jest przeciw Nabotowi przed ludem, mówiąc: Złożeczył Nabot Bogu i królowi. I wywiedli go za miasto, i ukamionowali go, i umarł.
Na wale watu wawili wasiokuwa waaminifu wakaja wakakaa mbele ya Nabothi; nao wakatoa ushuhuda wao dhidi ya Nabothi kuwa amemlaani Mungu na mfalme.” Kisha wakamchukua nje ya mji wakampiga kwa mawe mpaka akafa.
14 I posłali do Jezabeli, mówiąc: Ukamionowan jest Nabot, i umarł.
Kisha wazee wakatuma neno kwa Yezebeli, wakisema, “Nabothi ameshapigwa mawe na amekufa.”
15 I stało się, gdy usłyszała Jezabela, że ukamionowany był Nabot, a iż umarł, rzekła Jezabela do Achaba: Wstań, posiądź winnicę Nabota Jezreelity, któryć jej nie chciał dać za pieniądze; albowiem nie żyje Nabot, ale umarł.
Naye Yezebeli aliposikia kuwa Nabothi ameshapigwa mawe na alikuwa amekufa, akamwabia Ahabu, “Inuka na ukamiliki shamba la mizabibu la Nabothi Myezreeli, ambalo alikataa kukuuzia, kwa sababu Nabothi hayuko hai, bali amekufa.”
16 A tak usłyszawszy Achab, że umarł Nabot, wstał, a szedł do winnicy Nabota Jezreelity, aby ją posiadł.
Ahabu aliposikia kuwa Nabothi amekufa, akainuka ili aende kwenye lile shamba la mizabibu la Nabothi Myezreeli na kulimiliki.
17 Tedy się stało słowo Pańskie do Elijasza Tasbity, mówiąc:
Ndipo neno la BWANA likamjia Eliya Mtishibi, likisema,
18 Wstań, idź przeciw Achabowi, królowi Izraelskiemu, który jest w Samaryi; oto jest na winnicy Nabotowej, do której szedł, aby ją posiadł.
“Inuka uende ukakutane na Ahabu mfalme wa Israeli, ambaye anaishi Samaria. Yumo kwenye shamba la Nabothi, ambako ameenda kuchukua umiliki wa shamba hilo.
19 I rzeczesz do niego, mówiąc: Tak mówi Pan: Azaś nie zabił i nie posiadł? Powiedzże mu, mówiąc: Tak mówi Pan: Tak jako psy lizali krew Nabotowę, tak też pewnie psy będą lizać krew twoję.
Ukaongee naye umwambie kwamba BWANA anasema, 'Je, umeua na kujimilikisha?' na utamwambia kwamba BWANA anasema, 'Mahali pale ambapo mbwa wameramba damu ya Nabothi, ndipo mbwa watakaporamba damu yako, ndiyo, damu yako.'”
20 I rzekł Achab do Elijasza: A jużeś mię znalazł nieprzyjacielu mój? A on odpowiedział: Znalazłem; albowiemeś się zaprzedał, abyś czynił złość przed oczyma Pańskiemi.
Ahabu akamwambia Eliya, “Je, umenipatia, adui yangu?” Eliya akamjibu, “Nimekupata wewe kwa sababu, umejiuza mwenyewe kufanya yaliyo maovu mbele ya macho ya BWANA.
21 Oto Ja przywiodę na cię złe, a odejmę potomki twe, i wytracę z domu Achabowego, aż do najmniejszego szczenięcia, i więźnia, i opuszczonego w Izraelu.
BWANA anakwambia hivi: 'Tazama, Nitaleta janga kwako na litakuangamiza kabisa na kufutilia mbali kila mtoto mume na mtumwa na mtu huru katika Israeli.
22 A uczynię z domem twoim, jako z domem Jeroboama, syna Nabatowego, i jako z domem Baazy, syna Ahyjaszowego, dla rozdraźnienia, któremeś mię do gniewu pobudził, i przywiodłeś do grzechu Izraela.
Nitaifanya familia yako kama familia ya Yeroboamu mwana wa Nebati, na kama familia ya Baasha mwana wa Ahiya, kwa sababu umenighadhabisha na umewasababisha Israeli kufanya dhambi.
23 Także i o Jezabeli rzekł Pan, mówiąc: Psy zjedzą Jezabelę między murami Jezreelskimi.
Pia BWANA ameongea kuhusu Yezebeli, amesema, “mbwa watamla Yezebeli pembeni mwa ukuta wa Yezreeli.'
24 Tego, który umrze z domu Achabowego w mieście, psy zjedzą, a tego, który umrze na polu, zjedzą ptaki powietrzne.
Yeyote ambaye ni mtu wa familia ya Ahabu ambaye atafia mjini - mbwa watamla. Na yeyote ambaye atafia shambani - ataliwa na ndege wa angani.”
25 Albowiem nie był nikt jako Achab, któryby siebie samego zaprzedał, aby czynił złe przed oczyma Pańskiemi; bo go poduszczała Jezabela, żona jego.
Hapakuwepo na mtu kama Ahabu, ambaye alijiuza mwenyewe kufanya maovu mbele ya macho ya BWANA, ambaye mke wake Yezebeli alimchochea kufanya dhambi.
26 Albowiem się dopuścił rzeczy bardzo obrzydłych, chodząc za bałwanami według wszystkiego, jako czynili Amorejczycy, których wygnał Pan przed obliczem synów Izraelskich.
Ahabu alifanya matendo yachukizayo kwa ajili ya sanamu alizofanya, kama vile yale yote ambayo Waamori walifanya, BWANA akawafukuza mbele ya watu wa Israeli.
27 A gdy usłyszał Achab te słowa, rozdarł odzienie swoje, a włożywszy wór na ciało swoje, pościł i leżał w worze, a chodził po maluczku.
Ahabu aliposikis maneno haya, Akachana mavazi yake na akavaa magunia kwenye mwili wake na akfaunga, na akalala kwenye magunia na akahuzunika sana.
28 I stało się słowo Pańskie do Elijasza Tesbity, mówiąc:
Kisha neno la BWANA likamjia Eliya Mtishibi likisema,
29 Widziałżeś, jako się upokorzył Achab przed twarzą moją? Ponieważ się tedy upokorzył przed twarzą moją, nie przywiodę tego złego za dni jego; ale za dni syna jego przywiodę to złe na dom jego.
“Je, unamwona jinsi Ahabu anavyojinyenyekeza mbele yangu? Kwa sababu anajinyeyenyekeza mwenyewe mbele yangu, Sitaleta lile janga katika siku zake; Ni katika siku za mwanae, nitakpolileta hilo janga katika familia yake.”

< I Królewska 21 >