< I Kronik 9 >

1 A tak wszyscy Izraelczycy obliczeni są; a oto zapisani są w księgach królów Izraelskich i Judzkich, a przeniesieni są do Babilonu dla przestępstwa swego.
Waisraeli wote waliorodheshwa katika koo zilizoandikwa kwenye kitabu cha wafalme wa Israeli. Watu wa Yuda walichukuliwa mateka kwenda Babeli kwa sababu ya kukosa uaminifu kwa Mungu.
2 Lecz którzy pierwsi mieszkali w osiadłościach swych i w miastach swoich, Izraelczycy, kapłani, Lewitowie, i Netynejczycy.
Basi watu wa kwanza kurudi kukaa kwenye milki zao katika miji yao walikuwa baadhi ya Waisraeli, makuhani, Walawi na watumishi wa Hekalu.
3 W Jeruzalemie mieszkali z synów Judowych, i z synów Benjaminowych, i z synów Efraimowych, i Manasesowych;
Wale waliotoka Yuda, Benyamini, Efraimu na Manase ambao waliishi Yerusalemu walikuwa:
4 Uttaj, syn Ammiuda, syna Amry, syna Imry, syna Bonny, z synów Faresa, syna Judowego.
Uthai mwana wa Amihudi, mwana wa Omri, mwana wa Imri, mwana wa Bani, wa wana wa Peresi, mwana wa Yuda.
5 A z Sylona: Asajasz pierworodny, i synowie jego.
Wazao wa Washiloni waliorudi ni: Asaya mzaliwa wa kwanza na wanawe.
6 A z synów Zerachowych: Jehuel i braci ich sześć set i dziewięćdziesiąt.
Kwa wana wa Zera: Yeueli. Watu wa Yuda jumla yao walikuwa watu 690.
7 A z synów Benjaminowych: Salu, syn Mesullama, syna Hodowiego, syna Asenuowego.
Kwa Benyamini walikuwa: Salu mwana wa Meshulamu, mwana wa Hodavia, mwana wa Hasenua;
8 A Ibnijasz, syn Jerochamowy, i Ela, syn Uzego, syna Michry, i Mesullam, syn Sefatyjasza, syna Rehuelowego, syna Ibnijaszowego.
Ibneya mwana wa Yerohamu, Ela mwana wa Uzi, mwana wa Mikri; na Meshulamu mwana wa Shefatia, mwana wa Reueli, mwana wa Ibniya.
9 Także braci ich według narodów ich było dziewięć set i pięćdziesiąt i sześć: ci wszyscy mężowie byli książętami rodzajów według domów ojców swoich.
Watu kutoka Benyamini kama walivyoorodheshwa katika koo zao jumla yao ni 956. Watu hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao.
10 Z kapłanów zasię: Jedejasz, i Jechojaryk, i Jachyn,
Wa jamaa za makuhani walikuwa: Yedaya, Yehoyaribu na Yakini;
11 I Azaryjasz, syn Helkijasza, syna Mesullamowego, syna Sadokowego, syna Merajatowego, syna Achytobowego, był książęciam domu Bożego.
Azaria mwana wa Hilkia, mwana wa Meshulamu, mwana wa Sadoki, mwana wa Merayothi, mwana wa Ahitubu aliyekuwa afisa kiongozi wa nyumba ya Mungu.
12 I Adajasz, syn Jerohama, syna Fassurowego, syna Melchyjaszowego, i Maasaj, syn Adyjela, syna Jechserowego, syna Mesulla, owego, syna Mesullemitowego, syna Immerowego.
Adaya mwana wa Yerohamu, mwana wa Pashuri, mwana wa Malkiya; Maasai, mwana wa Adieli, mwana wa Yahzera, mwana wa Meshulamu, mwana wa Meshilemithi, mwana wa Imeri.
13 A braci ich książęt według domów ojców ich było tysiąc i siedm set i sześćdziesiąt, mążów dużych ku sprawowaniu posługi w domu Bożym.
Makuhani waliokuwa viongozi wa jamaa zao walikuwa 1,760. Walikuwa watu wenye uwezo, waliowajibika kuhudumu katika nyumba ya Mungu.
14 A z Lewitów: Semejasz, syn Hassuba, syna Asrykamowego, syna Hasabijaszowego, z synów Merarego;
Jamaa za Walawi walikuwa: Shemaya, mwana wa Hashubu, mwana wa Azrikamu, mwana wa Hashabia, wa wana wa Merari.
15 I Bakkabar, Cheres, i Galal, i Matanijasz, syn Michy, syna Zychrego, syna Asafowego;
Bakbakari, Hereshi, Galali na Matania mwana wa Mika, mwana wa Zikri, mwana wa Asafu.
16 Obadyjasz też, syn Semahajasza, syna Galalowego, syna Jedytunowego, i Barachyjasz, syn Asy, syna Elkanowego, który mieszkał we wsiach Netofatyckich.
Obadia mwana wa Shemaya, mwana wa Galali, mwana wa Yeduthuni. Berekia mwana wa Asa, mwana wa Elikana, ambao waliishi katika vijiji vya Wanetofathi.
17 A odźwierni: Sallum, i Akkub, i Talmon, i Ahyman, i nracia ich; Sallum książę między nimi.
Mabawabu katika Hekalu la Bwana waliorudi walikuwa: Shalumu, Akubu, Talmoni, Ahimani na ndugu zao. Shalumu alikuwa mlinzi wao mkuu.
18 Który aż dotąd w bramie królewskiej stawał na wschód słońca; ci byli odźwiernymi według pocztów synów Lewiego.
Walikuwa wamewekwa katika lango la mfalme lililokuwa upande wa mashariki, mpaka wakati huu. Hawa walikuwa mabawabu wa kutoka kwenye kambi ya Walawi.
19 Ale Sallum, syn Korego, syna Abijazafowego, syna Korego, i bracia jego z domu ojca jego, Korytczycy byli ku odprawowaniu posługi, stróżami progów namiotu; a ojcowie ich byli nad obozem Pańskim stróżami wejścia.
Shalumu mwana wa Kore, mwana wa Ebiasafu, mwana wa Kora, pamoja na mabawabu wenzake kutoka jamaa yake ya Kora waliwajibika kulinda malango ya Hema, kama vile baba zao walivyokuwa wamewajibika kulinda ingilio la Maskani ya Bwana.
20 A Finees syn Eleazarowy, był książęciem nad nimi, a Pan był z nimi.
Hapo zamani Finehasi mwana wa Eleazari alikuwa kiongozi wa mabawabu, naye Bwana alikuwa pamoja naye:
21 Zacharyjasz zasię, syn Mesellemijaszowy, był odźwiernym drzwi u namiotu zgromadzenia.
Zekaria mwana wa Meshelemia alikuwa bawabu katika ingilio la Hema la Kukutania.
22 Cić wszyscy są obrani za odźwiernych do drzwi, dwieście osób i dwanaście: ci we wsiach swych policzeni są, których postanowił Dawid i Samuel widzący, dla wierności ich,
Jumla ya waliochaguliwa kuwa mabawabu katika sakafu za kupuria nafaka walikuwa watu 212. Waliandikishwa kwa koo zao kwenye vijiji vyao. Mabawabu hawa waliwekwa katika nafasi zao za kuaminiwa na Daudi pamoja na mwonaji Samweli.
23 Aby oni i synowie ich byli we drzwiach domu Pańskiego, w domu namiotu na straży.
Wao na wazao wao walikuwa viongozi wa kulinda malango ya nyumba ya Bwana, nyumba iliyoitwa Hema.
24 I byli odźwierni po czterech stronach, na wschód, na zachód, na północy, i na południe.
Mabawabu walikuwa pande zote nne: mashariki, magharibi, kaskazini na kusini.
25 Bracia zasię ich byli we wsiach swych, przychodząc każdego siódmego dnia, od czasu aż do czasu odmieniając się z nimi.
Ndugu zao katika vijiji vyao walikuwa wakija mara kwa mara na kuwasaidia katika kazi zao kwa vipindi mbalimbali vya siku saba.
26 Albowiem pod sprawą tych czterech przedniejszych odźwiernych byli Lewitowie, a byli przełożeni nad gmachami i nad skarbami domu Bożego;
Lakini mabawabu wanne wakuu, waliokuwa Walawi, walikabidhiwa wajibu kwa ajili ya vyumba na hazina katika nyumba ya Mungu.
27 A około domu Bożego nocowali, gdyż im należała straż jego; a oni go na każdy poranek otwierali.
Walikesha mahali walipowekwa kuizunguka nyumba ya Mungu, kwa sababu iliwapasa kuilinda. Pia walitunza funguo kwa ajili ya kufungua mlango kila siku asubuhi.
28 A z nich niektórzy byli nad naczyniem ku posługiwaniu; albowiem pod liczbą wnosili je, i pod liczbą wynosili je.
Baadhi yao walikuwa viongozi wa kutunza vifaa vilivyotumika katika huduma ndani ya Hekalu; walivihesabu kila vilipoingizwa ndani na kila vilipotolewa.
29 Niektózry zasię z nich byli postanowieni nad innem naczyniem, i nad wszystkiem naczyniem świątnicy, i nad mąką pszenną i winem, i oliwą, i kadzidłem, i nad rzeczami wonnemi.
Wengine walipangiwa kutunza mapambo na vifaa vingine vya patakatifu, pamoja na unga, divai, mafuta, uvumba na vikolezo.
30 A niektórzy z synów kapłańskich sprawowali maści z rzeczy wonnych.
Lakini baadhi ya makuhani walifanya kazi ya kuchanganya vikolezo.
31 Matatyjasz też z Lewitów, pierworodny Salluma Korytczyka, był przełożony nad rzeczami, które w panwiach smażono.
Mlawi aliyeitwa Matithia, mwana mzaliwa wa kwanza wa Shalumu, wa ukoo wa Kora, alikabidhiwa wajibu kwa ajili ya kuoka mikate ya sadaka.
32 A z synów Kaatowych z braci ich, byli niektórzy przełożonymi nad chlebami pokładnemi, aby je gotowali na każdy sabat.
Baadhi ya ndugu zao wa ukoo wa Kohathi walikuwa viongozi wa kuandaa mikate ya Wonyesho kwa ajili ya kila Sabato, mikate iliyokuwa inawekwa mezani.
33 A z tych byli śpiewacy, przedniejsi z domów ojcowskich, między Lewitami mieszkający w gmachach, od inszych prac wolni; bo we dnie i w nocy powinności swej pilnować musieli.
Wale waliokuwa waimbaji, viongozi wa jamaa za Walawi, waliishi katika vyumba vya Hekalu, nao hawakufanya shughuli nyingine yoyote kwa sababu iliwapasa kuwajibika kwa kazi hiyo usiku na mchana.
34 Ci przedniejsi z domów ojcowskich między Lewitami, według narodów swych przedniejsi; ci mieszkali w Jeruzalemie.
Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa za Walawi, wakuu kama walivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu.
35 A w Gabaonie mieszkali ojciec Gabaończyków Jehyjel, a imię żony jego Maacha;
Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni. Mke wake aliitwa Maaka,
36 A syn jego pierworodny Abdon, po nim Sur, i Cys, i Baal, i Neer, i Nadab,
mwanawe mzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, akafuatiwa na Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,
37 I Giedeor, i Achyjo, i Zacharyjasz, i Michlot;
Gedori, Ahio, Zekaria na Miklothi.
38 (A Michlot spłodził Symmama) a ci także przweciw braci swych mieszkali w Jeruzalemie z braćmi swymi.
Miklothi akamzaa Shimeamu. Wao pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.
39 A Neer spłodził Cysa, a Cys spłodził Saula, a Saul spłodził Jonatana, i Melchisuego, i Abidanaba, i Esbaala.
Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli. Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.
40 A syn Jonatana Merybbaal; a Merybbaal spłodził Michasa.
Yonathani akamzaa Merib-Baali, naye Merib-Baali akamzaa Mika.
41 Synowie zaś Michasowi: Fiton, i Melech, i Tarea, i Achaz.
Wana wa Mika walikuwa: Pithoni, Meleki, Tarea, na Ahazi.
42 A Achaz spłodził Jarę; a Jara spłodził Alemeta, i Asmaweta, i Zynrego; a Zymry spłodził Mosę.
Ahazi akamzaa Yara, Yara akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa.
43 A Mosa spłodził Binę; a Refajasz syn jego, Elasa syn jego, Asel syn jego.
Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Refaya, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli.
44 A Asel miał sześć synów; a teć imiona ich: Asrykam, i Bochru, i Ismael, i Searyjasz, i Obadyjasz, i Hanan. Cić są synowie Aselowi.
Aseli alikuwa na wana sita, na haya ndiyo majina yao: Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia na Hanani. Hawa ndio waliokuwa wana wa Aseli.

< I Kronik 9 >