< Dzieje 1 >

1 Dostojny Teofilu! W pierwszej księdze napisałem ci o tym, co Jezus czynił i czego nauczał
Kitabu cha zamani nilikiandika, Theofilo, nikisema yote Yesu aliyoanza kufanya na kufundisha,
2 aż do dnia, w którym mocą Ducha Świętego przekazał wybranym przez siebie apostołom ostatnie polecenia i został wzięty do nieba.
mpaka siku ambayo Yeye alipokelewa juu. Hii ilikuwa baada ya kutoa amri kupitia Roho Mtakatifu kwa mitume aliokuwa amewachagua.
3 Im też dał wiele dowodów na to, że żyje, pomimo doznanych cierpień i śmierci. Przez czterdzieści dni ukazywał się im i rozmawiał z nimi o królestwie Bożym.
Baada ya mateso yake, Yeye alionekana kwao akiwa hai pia na vithibitisho vingi vikishuhudia. Kwa siku arobaini alijidhihirisha kwao, na alizungumza kuhusu ufalme wa Mungu.
4 Podczas jednego ze wspólnych posiłków polecił im, aby jeszcze nie opuszczali Jerozolimy, ale poczekali na spełnienie się obietnicy danej przez Ojca.
Alipokuwa akikutana pamoja nao, aliwaamuru wasiondoke Yerusalemu, lakini wasubiri kwa ajili ya ahadi ya Baba, ambayo, alisema, “Mlisikia kutoka kwangu
5 —Już o niej słyszeliście—wyjaśnił. —Mówiłem wam, że Jan Chrzciciel zanurzał w wodzie, lecz wy za kilka dni zostaniecie zanurzeni w Duchu Świętym.
kwamba Yohana alibatiza kabisa kwa maji, lakini mtabatizwa kwa Roho Mtakatifu katika siku hizi chache.”
6 Innym razem, gdy spotkali się z Jezusem, zapytali Go: —Panie, czy teraz wyzwolisz Izrael i przywrócisz nasze królestwo?
Na walipokuwa wamekutanika pamoja walimuuliza, “Bwana, hivi huu ndio muda utakaowarudishia Israeli ufalme?”
7 —Nie musicie znać czasu i daty. Mój Ojciec ma władzę nad wszystkim i to On je ustalił—odpowiedział.
Yeye akawaambia, “Siyo sawa kwenu kujua wakati au majira ambayo Baba amekusudia kwa mamlaka yake mwenyewe.”
8 —Wy otrzymacie moc Ducha Świętego, gdy zstąpi na was, i będziecie opowiadać o mnie innym ludziom. Najpierw w Jerozolimie i całej Judei, później w Samarii, a potem wyruszycie aż po krańce ziemi.
Lakini mtapokea nguvu, wakati Roho Mtakatifu atakapokuja juu yenu, na ninyi mtakuwa mashahidi wangu kote katika Yerusalemu na Uyahudi yote na Samaria mpaka mwisho wa nchi.”
9 Po tych słowach wzniósł się na oczach uczniów i zniknął w obłoku.
Bwana Yesu alipokwisha yasema haya, wakiwa wanatazama juu, Yeye aliinuliwa juu, na wingu likamfunika wasimwone kwa macho yao.
10 A gdy wpatrywali się za Nim w niebo, nagle stanęli przy nich dwaj ubrani na biało mężczyźni,
Wakati wanatazama mbinguni kwa makini akienda, ghafla, watu wawili walisimama katikati yao wamevaa mavazi meupe.
11 którzy zapytali: —Galilejczycy! Po co tak stoicie i wpatrujecie się w niebo? Ten sam Jezus, zabrany od was do nieba, pewnego dnia powróci w taki sam sposób, w jaki widzieliście Go odchodzącego.
Walisema, “Enyi watu wa Galilaya, kwa nini mnasimama hapa mkitazama mbinguni?” Huyu Yesu aliyepaa juu mbinguni atarudi kwa namna ile ile kama mlivyomuona akienda mbinguni.
12 Działo się to na Górze Oliwnej, oddalonej od Jerozolimy o kilometr. Apostołowie wrócili do miasta
Ndipo wakarudi Yerusalemu kutoka kwenye mlima wa mizeituni, ambao uko karibu na Yerusalemu, mwendo wa siku ya Sabato.
13 i zebrali się w swoim pokoju na piętrze. Byli tam: Piotr, Jan, Jakub, Andrzej, Filip, Tomasz, Bartłomiej, Mateusz, Jakub—syn Alfeusza, Szymon Gorliwy i Juda—syn Jakuba.
Walipofika walikwenda ghorofani walikokuwa wakikaa. Nao ni Petro, Yohana, Yakobo, Andrea, Filipo, Thomaso, Batholomayo, Mathayo, Yakobo Mwana wa Alfayo, Simoni Zelote na Yuda Mwana wa Yakobo.
14 Wszyscy oni, razem z kobietami oraz Marią—matką Jezusa, i Jego braćmi, nieustannie spędzali czas na wspólnej modlitwie.
Wote waliungana kama mtu mmoja, kwa juhudi walikuwa wakiendelea katika maombi. Pamoja na hao walikuwepo wanawake, Mariamu Mama yake Yesu, na kaka zake.
15 Gdy pewnego razu zebrało się około stu dwudziestu wierzących, Piotr wstał i rzekł:
Katika siku zile Petro alisimama katikati ya ndugu, kama watu 120, akasema,
16 —Przyjaciele! Musiało się wypełnić proroctwo Pisma, które Duch Święty, poprzez króla Dawida, wypowiedział o Judaszu. To on doprowadził do aresztowania Jezusa,
Ndugu, ilikuwa lazima kwamba maandiko yatimizwe, ambapo zamani Roho Mtakatifu alisema kwa kinywa cha Daudi kuhusiana na Yuda, ambaye aliwaelekeza wale waliomkamata Yesu.
17 bo był jednym z nas, apostołów, i miał udział w tej służbie.
Kwa kuwa yeye alikuwa mmoja wetu na alipokea fungu lake la faida katika hii huduma.”
18 On to, za pieniądze splamione krwią, kupił pole. A potem zabił się, spadając głową w dół. Spotkał go straszny koniec: pękł na pół a jego wnętrzności wypłynęły na zewnątrz.
(Sasa mtu huyu alinunua eneo kwa kile alichokipokea kwa uovu wake na hapo alianguka akitanguliza kichwa, mwili ukapasuka na matumbo yake yote yakawa wazi yakamwagika.
19 Wieść o tym dotarła do wszystkich mieszkańców Jerozolimy i nazwano to miejsce po hebrajsku Hakeldamach (to znaczy: „Pole Krwi”).
Wote walioishi Yerusalemu walisikia kuhusu hili, hivyo eneo hilo wakaliita kwa lugha yao “Akeldama” hilo ni “shamba la damu.”)
20 Księga Psalmów mówi: „Niech opustoszeje jego dom i niech nikt w nim nie mieszka.” Oraz „Jego służbę niech przejmie ktoś inny”.
“Kwenye kitabu cha Zaburi imeandikwa, 'Ngoja eneo lake liwe hame na isiruhusiwe hata mmoja kuishi pale;' na, 'Ruhusu mtu mwingine achukue nafasi yake ya uongozi.'
21 Teraz, jako świadek zmartwychwstania Jezusa, musi dołączyć do nas ktoś, kto tak jak my był z Panem od samego początku
Hiyo ni muhimu, kwa hiyo, mmoja wa wanaume ambao waliambatana nasi wakati Bwana Yesu alipotoka na kuingia kati yetu,
22 —od dnia, w którym Jan Chrzciciel zanurzył Go w wodzie aż do chwili, w której został wzięty do nieba.
kuanzia kwenye ubatizo wa Yohana mpaka siku ile alipotwaliwa juu, lazima awe shahidi wa ufufuo pamoja nasi.
23 Wybrali dwóch kandydatów: Józefa (zwanego Barsabą, noszącego też pseudonim „Justus”) i Macieja,
“Wakaweka mbele wanaume wawili, Yusufu aitwaye Barnaba, ambaye pia aliitwa Yusto na Mathia.
24 po czym zaczęli się modlić: —Panie, Ty znasz każde serce. Wskaż nam, którego z nich wybrałeś
Wao waliomba wakisema, “Wewe, Bwana, ujuaye mioyo ya watu wote, hivyo weka wazi yupi kati ya wawili hawa ambaye umemchagua
25 do tej apostolskiej służby, którą Judasz porzucił, poszedłszy własną drogą.
kuchukua nafasi katika huduma na utume, ambapo Yuda alitenda uovu na kwenda mahali pake.”
26 Następnie podali im losy. Oznaczony los został wyciągnięty przez Macieja. Za aprobatą wszystkich dołączył więc do grona jedenastu apostołów.
Wakapiga kura kwa ajili yao, na kura ikamwangukia Mathia ambaye alihesabiwa pamoja na wale mitume kumi na moja.

< Dzieje 1 >